Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USILIE ETI UMRI UNAKWENDA HUOLEWI

NIJumanne tena, mikikimikiki ya siasa ndiyo habari ya nchi kwa sasa. Pole nyingi kwa familia ya Christopher Mtikila kwa kuondokewa na mwanasiasa huyo maarufu nchini.Mada yangu ya leo ni; usilie eti umri unakwenda huolewi’. Kilio cha kutoolewa ni kikubwa kwa wasichana (wanawake) kuliko cha kuoa kwa wavulana (wanaume). Sikumbuki kama nimewahi kukutana na mwanaume akadai anateswa na kutooa. Kama yupo maana yake anateswa kwa sababu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Uwiii! Eti, eti, Kajala anatumia nafasi ya kuonekana kwenye TV "kuvutia mabwana", Nora huyo karopoka

Muigizaji maarufu nchini aliyetamba mwanzoni mwa miaka ya 2000 Nora Nuru Nassoro aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana!

 

Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema fani ya uigizaji imevamiwa kwa sasa kwani kuna watu ambao wanaingia kwenye gemu ili wauze sura na kuonekana na...

 

5 years ago

Michuzi

MFUMO WA STAKABADHI GHALANI UNAKWENDA KUMNUFAISHA MKULIMA WA UFUTA -RC NDIKILO

NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
MKOA wa Pwani, umekemea wakulima wa ufuta waliofanya udanganyifu  msimu wa ununuzi uliopita kwa kuchanganya ufuta na mchanga, kwani umesababisha doa kwenye soko hivyo kwasasa mfumo utakaotumika ni wa stakabadhi ghalani ,ambao utadhibiti udanganyifu na kuinua pato la mkulima.
Aidha minada ya ununuzi wa ufuta mwaka huu yatafanyika kupitia mfumo huo na kwa njia ya kielektroniki kupitia soko la bidhaa Tanzania (TMX).
Akifungua kikao cha kujadili maandalizi ya msimu wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Umri ni amri? Mmmh jamani, suala la umri lachekesha

Nafurahi kuona kwamba hujang’ang’ania hoja ya uzee hata siku moja licha ya mvi zako. Wala sijakusikia ukitamba eti wewe una akili au busara zaidi eti kwa kuwa ni mzee. Sifa sana kwako.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Man Tuzzo aiachia ‘Usilie’

MSANII wa muziki wa kizazi kipya ‘Bongo Flava’, Muharami Nandule ‘Man Tuzzo, anayefanyia muziki wake visiwani Zanzibar anakotamba na kibao cha ‘Mwambie Atulie’, ameachia singo yake mpya inayokwenda kwa jina...

 

11 years ago

GPL

USILIE, ACHA KUJIUMIZA, MAPENZI HAYATAKIWI KUKUTESA!-3

NINA furaha kukutana nanyi tena hapa katika ukurasa huu ambapo tunajifunza mambo mbalimbali kuhusu maisha ya uhusiano na mapenzi. Bila shaka unapata elimu nzuri inayokusaidia kukuza uhusiano wako. Uwanja huu ni wa marafiki ambao hata lugha inayotumika hapa ni ya kirafiki zaidi ili kufikisha ujumbe kama ilivyokusudiwa. Kama ni mara yako ya kwanza kufungua ukurasa huu, amini kuwa umeingia kwenye chama sahihi. Utajifunza kila siku...

 

11 years ago

GPL

USILIE, ACHA KUJIUMIZA, MAPENZI HAYATAKIWI KUKUTESA!-2

WAKATI mwingine maumivu ya mapenzi huwa ni ya kujitakia. Kama mtu ukijua vyema kuhusu mapenzi, kwa hakika mateso yatakaa mbali na wewe. Kikubwa ni kuwa tayari kujifunza na kuchukua yale yanayoonekana yanafaa. Wiki iliyopita nilianza kwa kuelezea kisa cha Ben na Lucy. Naamini ulijifunza kitu kupitia kisa hicho. Sasa hebu tuangalie kisa kingine cha msichana niliyempachika jina la Amina halafu tutajifunza kitu. Amina akiwa darasa...

 

11 years ago

GPL

USILIE, ACHA KUJIUMIZA, MAPENZI HAYATAKIWI KUKUTESA!

NILIPATA kuzungumza na dada mmoja ofisini kwetu wikiendi iliyopita ambaye alinieleza namna anavyoteseka katika mapenzi. Ni hapo mada hii ilipozaliwa. Sitaki kueleza sana juu ya tatizo la msomaji wangu huyu mkazi wa Tabata-Kisukulu, jijini Dar es Salaam lakini kwa juujuu, ni kwamba, yeye ni binti mwenye umri wa miaka 28, ana mtoto mmoja ambaye baba yake alimkana! Anaishi kwa taabu kwa sababu hana kazi, kila siku amekuwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa albamu ‘Usilie’ Desemba 7, 2014

IMG_2621

Mkurugenzi wa kwaya ya ‘Family Singers’ Daniel Misheto (kulia). Picha zote na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog.

Na Mwandishi Wetu.

WAZIRI MKUU, Mizengo Pinda ametajwa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa albamu ‘Usilie’ ambayo itapatikana kwenye DVD Desemba 7, mwaka huu.

Akizungumza Dar es Salaam jana kwenye mkutano na waandishi wa habari, Mkurugenzi wa kwaya ya ‘Family Singers’ Daniel Misheto, alisema hafla hiyo itafanyika kwenye Ukumbi wa PTA uliopo Uwanja wa Sabasaba, Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani