INTRODUCING "TUTAMUONA BWANA" NEW ALBAM BY AGNESS NKUGWE
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi27 Dec
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.
Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Tibaijuka: Bwana alitoa, bwana ametwaa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-yuYnz3FKgJ9fvRcRWDnY3x6XYKoNGjRBdZKI8X2u7iJuD23J1iY3mz3UNOiCv5c0DfwQCTozWulknvE60mc1Y3/unga.jpg)
UNGA WAMTESA TENA AGNESS MASOGANGE
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-x3dDHHH6E78/VlCeta0v2xI/AAAAAAAIHkg/gNCxvoTLaug/s72-c/2cfff826581ae7a30db9bf5d0e466349.jpg)
WADAU ARCHBOLD NA AGNESS WAMEREMETA LEO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-x3dDHHH6E78/VlCeta0v2xI/AAAAAAAIHkg/gNCxvoTLaug/s640/2cfff826581ae7a30db9bf5d0e466349.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OU0qGUQzV_g/VlCiUDtiqBI/AAAAAAAIHnA/teXfFgrZCF8/s640/874a8fcdcd65f1fbbe5f122f2a09de8b.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ydf1kmxRPWM/VlCe0NLiIaI/AAAAAAAIHkw/AXmGAgP0ucY/s640/92c2615f02ec320794c53e75c5be4ff5%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qAwiKcehYvc/VlCfIisOpWI/AAAAAAAIHlA/UEb7EwT1UdM/s640/52dc6bf3-7697-4f13-a849-4f8638a88ac9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CnEDb_w2zVM/VlCfIsfaNeI/AAAAAAAIHlE/lsWDZ6qIwOk/s640/84c6dc2f-6388-4bcd-aae5-5a4ebd3907b2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_NZ823b-5-4/VlCff26z3vI/AAAAAAAIHlM/tI-z2kCLooM/s640/ba3b73ab-f39b-4380-ba31-007b1aab85fd.jpg)
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Haya ndio majibu ya Davido kuhusu ujauzito wa mrembo Agness Masogange!
Wiki moja iliyopita, Mtanzania Agness Masogange alikuwa topic kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya post yake kwenye Instagram kuzua mjadala mkubwa na kuibua uvumi mkubwa sana kati yake na Davido staa wa muziki kutoka Nigeria. Masogange alipost kipimo cha ujauzito kwenye page yake ya Instagram, post iliyoibua mjadala mkubwa Nigeria na Tanzania na kuacha […]
The post Haya ndio majibu ya Davido kuhusu ujauzito wa mrembo Agness Masogange! appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
CloudsFM22 Jul
TID KUACHIA ALBAM YAKE YA SABA
Staa nguli kwenye game ya Bongo Fleva,Khalid Mohammed ‘TID’ hivi karibuni anaachia album yake ya saba ila kabla hajaachia albam hiyo atafanya bonge la party pande za Dar Live, Mbagala,Jijini Dar. Albam yake ya Zeze ndiyo ilikuwa ya kwanza ikafuatia Sauti Ya Dhahabu,Burudani,Jembe,Sifai, na mwaka 2009 akaachia Prison Voice, baada ya hapo alikaa kimya zaidi ya miaka minne na mwaka huu anaiachia alabam yake ya saba iitwayo ‘Mnyama na Wanyama the album’.
Tid anafunguka kwanini album hii...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-y2UhKztxk4Y/U6yFpZ6fW_I/AAAAAAAFtLg/y2jzZj9MstM/s72-c/Balozi+Modest+Mero+na+Mkurugenzi+Mkuu+wa+Mamlaka+ya+Hali+ya+Hewa+Bi.+Agness+Kijazi+katika+picha+ya+pamoja,+kwenye+makazi+ya+bal.jpg)
Balozi Modest Mero afanya mazungumzo na Mh. Dkt. Seif Rashid, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii na Bi. Agness Kijazi, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa, Geneva, Uswisi
![](http://4.bp.blogspot.com/-y2UhKztxk4Y/U6yFpZ6fW_I/AAAAAAAFtLg/y2jzZj9MstM/s1600/Balozi+Modest+Mero+na+Mkurugenzi+Mkuu+wa+Mamlaka+ya+Hali+ya+Hewa+Bi.+Agness+Kijazi+katika+picha+ya+pamoja,+kwenye+makazi+ya+bal.jpg)
Hivi karibuni Mh. Modest Mero, Balozi wa Tanzania, Geneva alifanya mazungumzo ya pamoja na Mh. Dkt. Seif Rashid na Bi. Agness Kijazi, katika makazi ya Balozi, Geneva.
Ujumbe wa Mh. Waziri ulikuwa Geneva kwenye kikao cha Bodi ya " Global Alliance for Vaccines and Immunization", Geneva, ambapo Mh. Waziri ni mjumbe wa Bodi. Na pia...
10 years ago
CloudsFM10 Oct
NAKAAYA AZINDUA ALBAM YAKE IITWAYO BRESSING
MSANII wa muziki wa kizazi kipya Nakaaya Sumari hivi karibuni alikonga nyoyo za mashabiki wake kwa kuzindua albam mpya iendayo kwa jina la Blessing yenye nyimbo kumi na mbili (12).
Albam hiyo ambayo ni albam yake ya pili ilizinduliwa jijini Arusha na kuhudhuriwa na mashabiki wa muziki wake kutoka mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro. Huku akiungwa mkono na wasanii wenzake kutoka hapa hapa nchini na nje ya nchi.
Uzinduzi huo ulipambwa na burudani kabambe kutoka kwa Hisia, G Nako, Jambo...