UNGA WAMTESA TENA AGNESS MASOGANGE
![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-yuYnz3FKgJ9fvRcRWDnY3x6XYKoNGjRBdZKI8X2u7iJuD23J1iY3mz3UNOiCv5c0DfwQCTozWulknvE60mc1Y3/unga.jpg)
Stori: Imelda Mtema MAJANGA! Baada ya kuchomoka kwenye ule msala wa awali wa madawa ya kulevya, video queen matata Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ amejikuta akiteseka kwa ishu hiyo kwa mara nyingine. Video queen matata Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’. Kwa mujibu wa taarifa zilizolifikia Risasi Jumamosi, Masogange alipatwa na msala huo mara baada ya kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Haya ndio majibu ya Davido kuhusu ujauzito wa mrembo Agness Masogange!
Wiki moja iliyopita, Mtanzania Agness Masogange alikuwa topic kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya post yake kwenye Instagram kuzua mjadala mkubwa na kuibua uvumi mkubwa sana kati yake na Davido staa wa muziki kutoka Nigeria. Masogange alipost kipimo cha ujauzito kwenye page yake ya Instagram, post iliyoibua mjadala mkubwa Nigeria na Tanzania na kuacha […]
The post Haya ndio majibu ya Davido kuhusu ujauzito wa mrembo Agness Masogange! appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2NWg0CfvjCtC0H*w2XuvDSUzDmsbjVgjsmdM1baDnFThiWc*NDQG4saZT-H2pKdQRECoUUctXC7z0xNz8UtAFmT/MASOGANGE.jpg?width=650)
MASOGANGE: ALIYENIPA MZIGO WA 'UNGA' ALIVAA KININJA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTYIRj17r-pkgs69p3EYzIukSbbgFRM8yVcYLoe42uTujiS*WsMCQ14Kzk3vZuUne7ccW0Lb46MBb6XNCpUywQ-/unga.jpg?width=750)
9 years ago
Michuzi01 Nov
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-x3dDHHH6E78/VlCeta0v2xI/AAAAAAAIHkg/gNCxvoTLaug/s72-c/2cfff826581ae7a30db9bf5d0e466349.jpg)
WADAU ARCHBOLD NA AGNESS WAMEREMETA LEO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-x3dDHHH6E78/VlCeta0v2xI/AAAAAAAIHkg/gNCxvoTLaug/s640/2cfff826581ae7a30db9bf5d0e466349.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OU0qGUQzV_g/VlCiUDtiqBI/AAAAAAAIHnA/teXfFgrZCF8/s640/874a8fcdcd65f1fbbe5f122f2a09de8b.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ydf1kmxRPWM/VlCe0NLiIaI/AAAAAAAIHkw/AXmGAgP0ucY/s640/92c2615f02ec320794c53e75c5be4ff5%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qAwiKcehYvc/VlCfIisOpWI/AAAAAAAIHlA/UEb7EwT1UdM/s640/52dc6bf3-7697-4f13-a849-4f8638a88ac9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CnEDb_w2zVM/VlCfIsfaNeI/AAAAAAAIHlE/lsWDZ6qIwOk/s640/84c6dc2f-6388-4bcd-aae5-5a4ebd3907b2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_NZ823b-5-4/VlCff26z3vI/AAAAAAAIHlM/tI-z2kCLooM/s640/ba3b73ab-f39b-4380-ba31-007b1aab85fd.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Ujangili wamtesa JK
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akitarajia kuongoza mkutano wa kujadili jinsi ya kuokoa viumbe vilivyo hatarini kutoweka duniani, serikali yake imetajwa kuongoza kwa mauaji ya tembo. Mkutano huo unatarajiwa kufanyika Alhamisi...
9 years ago
Mtanzania11 Nov
Mawaziri wamtesa Dk. Magufuli
*Sura mpya zatajwa kuingia Baraza jipya
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
ZIKIWA zimetimia siku sita tangu Rais Dk. John Magufuli aapishwe kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wingu zito limetanda kuhusu uteuzi wa Baraza la Mawaziri.
Wakati kitendawili cha kwanza kinatarajiwa kuteguliwa Novemba 19 mjini Dodoma, pale Bunge la 11 litakaporidhia uteuzi wa waziri mkuu anayesubiriwa kwa hamu, mtihani mwingine unabaki kwa mawaziri.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili baada ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0Lm3ZTDSwr0ArYHPNOnCZCXoIBGxp31IdSNV90fxnm*YzrQr5SI2d*EKRkanO46hXkIYcV*jsZcvOLjBe0zrEcL/FRONTAMANI.gif?width=650)
UGUMBA WAMTESA WEMA