Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


INTRODUCING Wanee - Peke Yangu

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PROF.TIBAIJUKA"NANYANYASIKA PEKE YANGU BILA MSAADA WA WANAWAKE

Prof. Anna Tibaijuka amekuwa akinyanyasika peke yake bila kusaidiwa kutetewa na wanawake wenzake. Ametolea mfano wa sakata la ESCROW ambalo anadai kuwa ameonewa tu!Chanzo: Wapo Radio fm

 

5 years ago

Bongo5

Mavoko: Nimeamua kuja na mtindo wa kuimba utakaokuwa wangu peke yangu

Rich Mavoko amesema anaendelea kutengeneza mtindo wa kuimba utakaomfanya asifanane na msanii yeyote.

Ameiambia Bongo5 kuwa mtindo huo aliuanzisha kama majaribio kwenye Kokoro na baada ya kuona watu wameuelewa, ameuboresha zaidi kwenye wimbo mpya aliofanya na Harmonize, Show Me.

“Nilikuwa natamani nipate style ambayo haifanywi na watu wengine Bongo, kama nilivyofanya kwenye Kokoro na kwenye verse ya Show Me,” Mavoko ameiambia Bongo5. “Soko pia linahitaji ubunifu, hata ninachokifanya ni...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Rwandan singer Butera Knowless releases visuals for her Swahili love song ‘Peke Yangu’

Rwanda’s songbird, Butera Knowless, born Butera jeanne d’Arc, has released visuals for her latest single ‘Peke Yangu. ‘Peke Yangu’ is a love song in Swahili, although it’s not her first single to use Swahili language. Her previous single ‘Tulia’ was also in Swahili. She started releasing Swahili songs after realizing that Swahili is widely used […]

 

5 years ago

Michuzi

Introducing Nchi Yangu Tanzania by Lillian Ngowi


issamichuzi · Nchi yangu Tanzania by Lillian Ngowi

 

9 years ago

Bongo5

Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)

12292738_1516860355279681_1179389451_n

Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.

FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.

“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.

“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.

“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

siri za kukuwezesha kukaa peke yako

Nahodha asimulia vinavyostahili kuzingatiwa unapokaa peke yako

 

10 years ago

Raia Tanzania

Zitto: ACT itasimama peke yake

KIONGOZI wa chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema chama hicho hakitaungana na kingine chochote kutokana na misingi waliyojiwekea.

Akizungumza na wanachama wa ACT wenye nia ya kugombea nafasi za ubunge mkoani Dar Zitto alisema chama hicho kuungana na chama chenye misingi tofauti kutapoteza maana ya kuwapo kwake.

“Tukifanya hivyo hakutakuwa na sababu ya kuwapo kwa ACT – Wazalendo,” alisema Zitto.

Alisema ACT itasafiri peke yake katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuwa vyama...

 

9 years ago

Habarileo

Ligi bara kumnufaisha bingwa peke yake

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) jana lilitoa ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza Septemba 12 mwaka huu na ambayo safari hii bingwa pekee ndiye ataiwakilisha nchi kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani