INTRODUCING Wanee - Peke Yangu
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-fgrHcd5mpvk/VP6OHMfLmpI/AAAAAAAApwU/izxMVvDfmMc/s72-c/tibaceilinglandgrabbing.jpg)
PROF.TIBAIJUKA"NANYANYASIKA PEKE YANGU BILA MSAADA WA WANAWAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-fgrHcd5mpvk/VP6OHMfLmpI/AAAAAAAApwU/izxMVvDfmMc/s640/tibaceilinglandgrabbing.jpg)
5 years ago
Bongo514 Feb
Mavoko: Nimeamua kuja na mtindo wa kuimba utakaokuwa wangu peke yangu
Rich Mavoko amesema anaendelea kutengeneza mtindo wa kuimba utakaomfanya asifanane na msanii yeyote.
Ameiambia Bongo5 kuwa mtindo huo aliuanzisha kama majaribio kwenye Kokoro na baada ya kuona watu wameuelewa, ameuboresha zaidi kwenye wimbo mpya aliofanya na Harmonize, Show Me.
“Nilikuwa natamani nipate style ambayo haifanywi na watu wengine Bongo, kama nilivyofanya kwenye Kokoro na kwenye verse ya Show Me,” Mavoko ameiambia Bongo5. “Soko pia linahitaji ubunifu, hata ninachokifanya ni...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/d7QIDsc007k/default.jpg)
10 years ago
Bongo516 Jul
Video: Rwandan singer Butera Knowless releases visuals for her Swahili love song ‘Peke Yangu’
5 years ago
Michuzi28 Apr
9 years ago
Bongo529 Dec
Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)
![12292738_1516860355279681_1179389451_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12292738_1516860355279681_1179389451_n-300x194.jpg)
Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.
FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.
“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.
“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.
“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...
5 years ago
BBCSwahili01 Apr
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Zitto: ACT itasimama peke yake
KIONGOZI wa chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema chama hicho hakitaungana na kingine chochote kutokana na misingi waliyojiwekea.
Akizungumza na wanachama wa ACT wenye nia ya kugombea nafasi za ubunge mkoani Dar Zitto alisema chama hicho kuungana na chama chenye misingi tofauti kutapoteza maana ya kuwapo kwake.
“Tukifanya hivyo hakutakuwa na sababu ya kuwapo kwa ACT – Wazalendo,” alisema Zitto.
Alisema ACT itasafiri peke yake katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuwa vyama...
9 years ago
Habarileo20 Aug
Ligi bara kumnufaisha bingwa peke yake
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) jana lilitoa ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza Septemba 12 mwaka huu na ambayo safari hii bingwa pekee ndiye ataiwakilisha nchi kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.