Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PROF.TIBAIJUKA"NANYANYASIKA PEKE YANGU BILA MSAADA WA WANAWAKE

Prof. Anna Tibaijuka amekuwa akinyanyasika peke yake bila kusaidiwa kutetewa na wanawake wenzake. Ametolea mfano wa sakata la ESCROW ambalo anadai kuwa ameonewa tu!Chanzo: Wapo Radio fm

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PROF. TIBAIJUKA ACHANGIA MIL 60 KUKUZA MITAJI YA WANAWAKE JIMBONI MWAKE

Zaidi ya vikundi 500 vya wajasiliamali kutoka kata 17 kati ya 25 zinazounda jimbo la Muleba Kusini Mkoani Kagera vimepokea mchango wa Shilingi milioni 60 kutoka kwa mbunge wa jimbo hilo kwa lengo la kuboresha mitaji na kujipanua kiuchumi.Akihutubia wawakilishi wa vikundi hivyo jana katika ukumbi wa Kajumulo Foundation mjini Muleba mbunge wa jimbo hilo Profesa Anna Tibaijuka amesema vikundi alivyochangia fedha hizo ni vya wanawake , Vijana pamoja na wazee.
Profesa Tibaijuka amesema kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA JK, PROF. TIBAIJUKA AOMBWA KUJIUZULU, PROF MUHONGO AWEKWA KIPORO


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma hotuba yake kwa Wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. ( Picha na Adam Mzee)Ukumbi wa Diamond Jubilee ukiwa umefurika Wazee waliokuja kumsikiliza Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.Ukumbi ulifurika kila kona.
--Rais Kikwete ameanza kuongea na wazee wa Mkoa wa Dar katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Watanzania wanataraji atoe mwongozo kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow na...

 

9 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

MAAZIMIO MAPYA SAKATA LA ESCROW: MAMLAKA HUSIKA YASHAURIWA KUTENGUA UTEUZI WA PROF TIBAIJUKA, PROF MUHONGO, JAJI WEREMA NA MASWI

Waziri wa Madini na Nishati, Profesa Sospeter Muhongo. WABUNGE kwa pamoja wamekubaliana kuondoa maazimio 12 yaliyoletwa bungeni na Kamati ya PAC na kuleta maazimio mapya 8 ambayo yamekubaliwa. Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Jaji Frederick Werema. Mojawapo ya maazimio hayo ni Mamlaka ya uteuzi kutakiwa iwawajibishe na kushauriwa kutengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini Profesa Muhongo, Mwanasheria… ...

 

5 years ago

Bongo5

Mavoko: Nimeamua kuja na mtindo wa kuimba utakaokuwa wangu peke yangu

Rich Mavoko amesema anaendelea kutengeneza mtindo wa kuimba utakaomfanya asifanane na msanii yeyote.

Ameiambia Bongo5 kuwa mtindo huo aliuanzisha kama majaribio kwenye Kokoro na baada ya kuona watu wameuelewa, ameuboresha zaidi kwenye wimbo mpya aliofanya na Harmonize, Show Me.

“Nilikuwa natamani nipate style ambayo haifanywi na watu wengine Bongo, kama nilivyofanya kwenye Kokoro na kwenye verse ya Show Me,” Mavoko ameiambia Bongo5. “Soko pia linahitaji ubunifu, hata ninachokifanya ni...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Rwandan singer Butera Knowless releases visuals for her Swahili love song ‘Peke Yangu’

Rwanda’s songbird, Butera Knowless, born Butera jeanne d’Arc, has released visuals for her latest single ‘Peke Yangu. ‘Peke Yangu’ is a love song in Swahili, although it’s not her first single to use Swahili language. Her previous single ‘Tulia’ was also in Swahili. She started releasing Swahili songs after realizing that Swahili is widely used […]

 

10 years ago

GPL

PROF. TIBAIJUKA AKATAA KUJIUZULU

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka, akiongea na wanahabari hivi punde ndani ya Hyatt Regency Hotel Dar es Salaam amesema haoni sababu ya kujiuzulu kutokana na sakata la akaunti ya Escrow. Aongeza kuwa watu wanaona suala la kujiuzulu kama fasheni ila yeye hayupo katika fasheni hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof. Tibaijuka kwanini usiwajibike?

NATAMANI kusikia Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka, akijiuzulu. Ajiuzulu kutokana na migogoro ya ardhi kushamili nchini na kushindwa kutenga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani