Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Introducing Nchi Yangu Tanzania by Lillian Ngowi


issamichuzi · Nchi yangu Tanzania by Lillian Ngowi

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

Nasikitikia nchi yangu

KWANZA naomba radhi kwa kutoonekana kwa makala hii kwa zaidi ya mwezi sasa. Yote hii ilitokana na matatizo ya kiafya na hasa nikiwa mikoani kikazi. Nawashukuru sana wote waliokuwa nami...

 

11 years ago

GPL

NINA MATUMANINI NA NCHI YANGU - ALLY KIBA

Staa wa Bongo Fleva, Ally Kiba, atakuwa ndani ya Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 litakalofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Agosti 8, 2014. Ewe, Mtanzania njoo tuungane kudumisha amani ya nchi yetu na kuleta matumaini!

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

IPPmedia

Tanzania Natural Resource Forum (TNRF)'s Lawyer Zerubabel Ngowi


IPPmedia
Tanzania Natural Resource Forum (TNRF)'s Lawyer Zerubabel Ngowi
IPPmedia
Tanzania Natural Resource Forum (TNRF) is strengthening the capacity of civil society at local and national levels to hold lands sector duty bearers (including government and private sector) accountable while advocating for the rights of small scale ...

 

10 years ago

Bongo5

Tanzania yang’ara kwenye All Africa Business Leaders Awards, Mengi, Ngowi na Shanker washinda

Wafanyabiashara watatu wa Tanzania wameshinda kwenye tuzo za ‘All Africa Business Leaders Awards’, AABLA zilizoandaliwa na CNBC Africa na kutangazwa Nairobi, Kenya September 20. Patrick Ngowi, Jacqueline Ntuyabaliwe na Reginald Mengi Hizo ni tuzo za biashara Africa zinazoheshimiwa zaidi zilizoandaliwa kuwatambua watu waliofanya mambo makubwa kwenye biashara zao. Tuzo za East African Business Leader of […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Lillian Kamanzima aahidi makubwa baada ya kuchukua taji la Sitti Mtemvu

Aliyekuwa mshindi wa pili kwenye shindano la Miss Tanzania 2014, Lillian Kamazima amekabidhiwa taji la Miss Tanzania 2014 na kamati ya Miss Tanzania baada ya Sitti Mtevu kujivua. Miss Tanzania Lillian Kamazima akizungumza na waandishi wa habari Akizungumza na waandishi wa habari leo katika mkutano uliyofanyikia kwenye hoteli ya JB Belmont jijini Dar es Salaam, […]

 

9 years ago

Bongo5

Website maarufu ya Marekani Buzzfeed yaitaja Tanzania nchi ya 8 katika nchi 20 zinazovutia duniani

enhanced-7309-1430834722-9

Website maarufu ya Marekani, Buzzfeed imeitaja Tanzania kuwa ni nchi ya nane katika orodha yake ya nchi 20 zinazovutia zaidi duniani.

enhanced-7309-1430834722-9

Afrika Kusini imekata nafasi ya kwanza kwenye orodha hiyo.

Kuhusu Tanzania website hiyo imeandika:

Land of the Serengeti, Lake Victoria, Lake Natron and Lake Manyara, the Ngorongoro Crater, Zanzibar, the Spice Islands, Dar Es Salaam and a million more, Tanzania is almost beyond belief.

Mount Kilimanjaro rises over 3 miles above the surrounding plains, making...

 

9 years ago

Bongo5

Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)

12292738_1516860355279681_1179389451_n

Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.

FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.

“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.

“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.

“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani