Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Iran:Mwanamke anyongwa kwa mauaji

Iran imemnyonga mwanamke ambaye inadai alimuua mwanamme mmoja ambaye alijaribu kum'baka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke wa Iran apata agizo la jaji kushiriki katika soka

Mwanamke mmoja ambaye ni nyota wa soka nchini Iran amefanikiwa kushiriki katika mchuano mmoja ughaibuni baada ya jaji kuzuia juhudi za mumewe za kumtaka kutosafiri.

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE ATAJWA MAUAJI YA PROF. CHUO KIKUU

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa MAUAJI ya aliyewahi kuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Athuman Juma Livigha (63) yaliyotokea nyumbani kwake, Bunju ‘B’, Septemba 30, mwaka huu kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana yameibua mengine ambapo sasa baadhi ya ndugu wamemtaja mwanamke mmoja kuwa huenda anahusika. Profesa Athuman Juma Livigha enzi za uhai wake. Wakizungumza na Uwazi...

 

5 years ago

Michuzi

MSHUKIWA WA MAUAJI YA BINTI WA KAZI KIZIMBANI KWA KESI YA MAUAJI NA MADAWA YA KULEVYA

Mtuhumiwa wa mauaji wa binti wa kazi Salome Zakaria,Mkami Shirima Akiwa amejifunika gubi gubi la mtandio wa dera akitoka kusikiliza kutajwa kwa kesi hiyo leo jijini Arusha.Mtuhumiwa wa mauaji wa binti wa kazi Salome Zakaria,Mkami Shirima Akiwa amejifunika gubi gubi la mtandio wa dera akitoka kusikiliza kutajwa kwa kesi hiyo. Pichani ni mtuhumiwa wa kesi ya mauaji ya binti wa kazi akiingizwa kwa hakimu mkazi mfawidhi Analia Mushi kutajwa kwa kesi yake huku akijifunika uso gubigubi kama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto abakwa, anyongwa

MWANAFUNZI wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Kalangalala mjini hapa (jina limehifadhiwa), anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka nane, amebakwa na kunyongwa usiku wa kuamkia jana nyumbani kwao...

 

10 years ago

GPL

SIMIYU: MHAMASISHAJI CCM ANYONGWA

Na Gabriel Ng’osha
NI huzuni tupu! Aliyekuwa mhamasishaji kwa nyimbo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), mkazi wa Kijiji cha Nyashimo mkoani Simiyu, Bundala Mayala (72), amekutwa amekufa kwa kunyongwa nyumbani kwake. Marehemu Bundala akiwa na familia yake. Mtoto wa mdogo wa marehemu ambaye hakutaka kutaja jina lake gazetini alisema, mwili wa baba yake mkubwa uligundulika Februari 25, mwaka huu, saa nane mchana ambapo ulikutwa...

 

11 years ago

GPL

MKE WA MTU ABAKWA, ANYONGWA

Stori: Mayasa Mariwata na Chande Abdallah
JAMANI jamani! Dunia imefika pabaya zaidi, Mungu asaidie. Mwanamke mkazi wa Chalinze, Mkoa wa Pwani, Moshi Rashid (43) amefanyiwa unyama uliopitiliza na watu wasiojulikana baada ya kumbaka na kumnyonga, inauma sana kwa kweli!   Mwanamke mkazi wa Chalinze, Mkoa wa Pwani, Moshi Rashid (43) amefanyiwa unyama uliopitiliza na watu wasiojulikana baada ya kumbaka na kumnyonga.
Tukio...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mjomba wa kiongozi wa Korea anyongwa

Mjomba wa kiongozi wa Korea Kaskazini amenyongwa kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka na kupinga mapinduzi

 

9 years ago

BBCSwahili

Mhubiri wa Kishia anyongwa Saudi Arabia

Saudi Arabia imemuua mhubiri maarufu wa dhehebu la Kishia Sheikh Nimr al-Nimr, wizara ya masuala ya ndani imesema.

 

11 years ago

GPL

BIBI HARUSI ANYONGWA SIKU CHACHE KABLA YA NDOA

Stori: Deogratius Mongela na Shani Ramadhani My God! Bibi harusi mtarajiwa aliyejulikana kwa jina la Edna Sangawe (34), mkazi wa Mikocheni B jijini Dar anadaiwa kunyongwa na watu wasiojulikana na mwili wake kutelekezwa maeneo ya Changanyikeni, Makongo-Juu, Dar, Risasi Jumamosi lina kisa kizima. Marehemu Edna Sangawe (34) enzi za uhai wake. ILIVYOKUWA
Kwa mujibu wa chanzo makini, Machi 31, mwaka huu muda wa saa 2:00 usiku,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani