SIMIYU: MHAMASISHAJI CCM ANYONGWA
![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykUuW5ltF8QnJ4N*Ryu5FSKXULsmEs2vRHzGQcnzdf6oY78wMkaZx93nulD-V7LH4hhk7jlSaXtC-eovzyOrFXu6/Anyongwa.jpg?width=650)
Na Gabriel Ng’osha NI huzuni tupu! Aliyekuwa mhamasishaji kwa nyimbo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), mkazi wa Kijiji cha Nyashimo mkoani Simiyu, Bundala Mayala (72), amekutwa amekufa kwa kunyongwa nyumbani kwake. Marehemu Bundala akiwa na familia yake. Mtoto wa mdogo wa marehemu ambaye hakutaka kutaja jina lake gazetini alisema, mwili wa baba yake mkubwa uligundulika Februari 25, mwaka huu, saa nane mchana ambapo ulikutwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen06 Jul
Infighting weakens party, lament Simiyu CCM cadres
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M-DYLI0WB9Q/VXhocOICSzI/AAAAAAAHeis/XQKZvvlkfCM/s72-c/unnamedL1.jpg)
LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO SIMIYU, ADHAMINIWA NA WANACHAMA WA CCM ELFU 5
![](http://3.bp.blogspot.com/-M-DYLI0WB9Q/VXhocOICSzI/AAAAAAAHeis/XQKZvvlkfCM/s640/unnamedL1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-u_zRe5zz3S8/VXhocNVnKkI/AAAAAAAHeio/XLV9UIPWALE/s640/unnamedL2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ReLtUCH2P_g/VXhocK4qV0I/AAAAAAAHeiw/mVbigpuuek4/s640/unnamedL3.jpg)
10 years ago
Vijimambo12 Dec
MWIGULU NCHEMBA ALIPOPITA HII LEO ITILIMA MKOANI SIMIYU KUWAOMBEA KURA WAGOMBEA WA CCM
![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10850227_321022941433274_7970980859033695117_n.jpg?oh=09d0de89db8cdb6b93f34e19f6ff8995&oe=5544BCC3)
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/10480206_321023091433259_2518175471332457252_n.jpg?oh=22993d9aa71910bb3018b7c1637ee30d&oe=55076FC4&__gda__=1425919868_9b7f6337b62515c4fbdb0f69ea4f2ec0)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10425357_321022664766635_5327236329509579478_n.jpg?oh=48d38c36c88e3d4b704d8696bb854113&oe=5501F080&__gda__=1427159132_bde8c607a24de03284adc6bf76c84647)
![](https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/63770_321022771433291_4906610585820409914_n.jpg?oh=67f75daef4c9d452d48b63017bddbeb0&oe=54FD79ED&__gda__=1430591872_6b7ece7c1c197eff51f5a36fa4b131fa)
9 years ago
StarTV05 Oct
Mhamasishaji wa UKAWA Nyanda za juu Kusini afariki dunia
Mhamasishaji wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kupitia Ukawa Kanda ya Nyanda za Juu kusini Erasmo Nyindi amefariki dunia kwenye ajali katika Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma akiwa katika ziara ya kazi .
Mtendaji Mkuu wa Kampeni za Ukawa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Rajabu Kaluwa amesema ajali hiyo ilisababishwa na watu walioshika tochi nyakati za usiku wakiwa na silaha kutaka kuteka nyara msafara wa Mgombea Ubunge katika Jimbo la Nyasa Cathbet Saule almaarufu kwa jina la Ngwata...
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Mtoto abakwa, anyongwa
MWANAFUNZI wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Kalangalala mjini hapa (jina limehifadhiwa), anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka nane, amebakwa na kunyongwa usiku wa kuamkia jana nyumbani kwao...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzQX5tjXvvZopKfVjm4hqn8l5SxA9ESblX*dhupEk545OFAbYb4e8oNJo1KlHRUUb3EG1DBRvVFBb7afFk97oqDz/mke.gif?width=650)
MKE WA MTU ABAKWA, ANYONGWA
11 years ago
BBCSwahili13 Dec
Mjomba wa kiongozi wa Korea anyongwa
10 years ago
BBCSwahili25 Oct
Iran:Mwanamke anyongwa kwa mauaji
9 years ago
BBCSwahili02 Jan
Mhubiri wa Kishia anyongwa Saudi Arabia