MWANAMKE ATAJWA MAUAJI YA PROF. CHUO KIKUU

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa MAUAJI ya aliyewahi kuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Athuman Juma Livigha (63) yaliyotokea nyumbani kwake, Bunju ‘B’, Septemba 30, mwaka huu kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana yameibua mengine ambapo sasa baadhi ya ndugu wamemtaja mwanamke mmoja kuwa huenda anahusika. Profesa Athuman Juma Livigha enzi za uhai wake. Wakizungumza na Uwazi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
PROF. MBWETTE RAIS MPYA WA BARAZA LA CHUO KIKUU CHA PAN AFRICAN

11 years ago
GPL
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI (MUCCOBS) CHAWA CHUO KIKUU KAMILI
11 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU AKAGUA CHUO KIKUU DAR NA CHUO KIKUU HURIA

Ametoa kauli hiyo jana usiku (Ijumaa, Oktoba 10, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya Chuo Kikuu Huria (OUT) mara baada ya kuzindua jengo la ghorofa 10 linalojulikana kama Ghorofa la Elimu ya Masafa ya Huria (Open Distance...
10 years ago
MichuziMbunge wa Viti Maalum (CCM), Mhe. Al-Shaymaa Kwegyir, aizungumza na wanazuoni wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu cha Hubert Kairuki katika Kongamano la mauaji ya albino
hawapo pichani, katika kongamano la kujadili nini kifanyike kutokomeza mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) lililofanyika jana chuoni hapo. Kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo hicho Keto Mshigeni na Kulia ni Kokushubika Kairuki.
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamMBUNGE wa Viti Maalum ambaye pia ni mlemavu wa ngozi (albino), Al -Shaimaa Kweigyir, amekemea vikali unyanyapaa unaofanywa na baadhi ya Watanzania juu ya jamii yenye ulemavu wa ngozi na kusema kwamba inawafanya watu hao waishi...
10 years ago
Vijimambo
MAHAFALI YA 5 YA CHUO KIKUU KIKUU CHA ST, JOHN DODOMA YAFANA.




10 years ago
GPL
ULINZI CHUO KIKUU MMH!
10 years ago
VijimamboCHUO KIKUU DODOMA KUMUENZI JK
10 years ago
GPL
MSOMI CHUO KIKUU AUAWA
11 years ago
Habarileo18 Dec
Chuo Kikuu Mzumbe kuongeza wanafunzi
UONGOZI wa Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi ya Mbeya umedhamiria kuendelea kuongeza idadi ya wanafunzi mwaka hadi mwaka, ili kutekeleza Sera ya Serikali ya kupanua elimu ya juu na kuchangia kufikia malengo ya mileniamu.