Irene Uwoya Amfuata Mumewe Ndikumana Nchini Rwanda !
Star wa filamu Tanzania Irene Uwoya ambaye ndoa yake na Ndikumana Katauti wa Rwanda iliingia katika gogoro zito na kila mtu kuishi peke yake wanataka kuishi tena pamoja !.....Picha mpya za Irene Uwoya akiwa na Ndikumana zimetoka. Inadaiwa kuwa Uwoya alienda Rwanda kumtembelea Ndikumana ambaye wamezaa mtoto mmoja. Hizi picha zinaonyesha kama vile Uwoya alikuwa akiagwa na Ndiku kurudi Tanzania ingawa Uwoya anaonekana hana raha na sababu bado haijulikani.
Je kwakwuangalia picha hizo,...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies25 Jul
Ndikumana wa Irene Uwoya aibukia Stand United
Mshambuliaji huyo ambaye ni mume wa msanii wa filamu nchini, Irene Uwoya tayari ameshatua mjini Shinyanga kwa ajili ya mazungumzo ya mwisho na mabosi wa Stand.
Mmoja wa watu wa karibu wa mchezaji huyo ambao ndio wanaofanikisha mpango huo waliambia gazeti hili kuwa Ndikumana ambaye alikuwa akichezea soka la kulipwa nchini Ubelgiji atasajili kama mchezaji huru kutokana na kumalizika kwa mkataba wake.
Mshambuliaji huyo ameonyesha nia ya kutaka kucheza soka la kulipwa nchini na ndio hasa...
10 years ago
Bongo Movies27 May
Ndikumana: Sijaachana na Irine Uwoya Ingawa Hatuishi Pamoja
Mume wa Staa wa filamu za Kibongo,Irene Uwoya, Hamad Ndikumana ‘Katauti’amesema kuwa hajaachana na msanii huyo kama ambavyo baadhi ya watu wanavyodhani.
Ndukumana ambaye ni mwanasoka kwenye klabu moja ya soka nchini Rwanda ameyazungumza hayo hivi karibuni wakati alipofanya mahojiano na mtangazaji wa Clouds TV,Zamaradi Mketema alisema kuwa ingawa hawaishi pamoja na Irene Uwoya lakini hawajaachana.
‘Sijaachana na Irene Uwoya ingawa hatuishi pamoja yeye anaishi Dar mie naishi Rwanda na bado...
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Shamsa amvulia kofia Irene Uwoya
NA THERESIA GASPER
MSANII wa filamu nchini, Shamsa Ford, amesema katika wasanii ambao anawakubali kutokana na ubora wa kazi zao mmojawapo ni Irene Uwoya.
Shamsa alisema msanii huyo anajua nini anachofanya na anapenda kupeana ushauri na kushirikiana katika mambo mbalimbali na wenzake.
Shamsa aliyasema hayo alipokuwa akimkabidhi zawadi Irene katika sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita nyumbani kwake Sinza, Dar es Salaam.
“Tabia yangu na ya Irene inaendana kwani...
10 years ago
Bongo Movies25 Mar
Irene Uwoya Alia na Wanaotoa Mimba
Staa mrembo kutoka Bongo Movies,amewaasa wanawake kuacha kutoa mimba hata kama watakumbana na mtatizo,kwani mtoto ndio kila kitu katika maisha.
Msanii huyu alitoa wito huo hivi juzi kati akiwataka wajawazito wote waliokataliwa na wapenzi wao kuonyesha kuwa wao ni wanawake majasiri kwa kutothubutu kutoa mimba hizo.
‘Mtoto ni zawadi kutoka kwa Mungu, siku ya leo nawashauri wanawake wanaokataliwa mimba na wapenzi wao wasitoe wala kufanya chochote muonyeshe kama wewe ni mwanamke...
9 years ago
Bongo Movies13 Nov
Irene Uwoya Ashauriwa Aachane na Siasa
Baada ya Irene Uwoya kushindwa kupata nafasi ya vitu maalumu kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) baadhi ya mashabiki wa ukurasa wa facebook wa EATV wamemshauri msanii huyo kuachana na masuala ya siasa na kurudi katika tasnia ya filamu.
na kuendelea na kazi yake hiyo ya sanaa ambayo imempa jina kubwa na heshima zaidi.
Mashabiki hao wamepokea tofauti taarifa ya kukatwa kwa jina la Irene Uwoya katika katika vitu maalumu, wapo ambao wameonyesha kuguswa na kuumia Irene Uwoya kushindwa...
9 years ago
Mtanzania18 Aug
Irene Uwoya afanyiwa sherehe ya kupongezwa
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI wa filamu ambaye jina lake limepitishwa nafasi ya ubunge viti maalumu Mkoa wa Tabora kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Irene Uwoya, amesema malezi aliyopewa na wazazi wake ndiyo yatakayomsaidia kuwa kiongozi bora.
Irene alisema hayo juzi katika hafla fupi iliyoandaliwa na wazazi wake kumpongeza kupitishwa katika nafasi hiyo ambapo pia marafiki zake wa karibu walihudhuria sherehe hiyo.
“Nisingekuwa hapa nilipofika kama wazazi wangu...