IS wafungua kambi za mafunzo Libya
Wapiganaji wa Islamic State wameanzisha kambi za mafunzo kwa wapiganaji wao mashariki mwa Libya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
Kambi ya mafunzo kwa Vijana yamalizika jijini Dar


11 years ago
BBCSwahili22 Sep
SPLM/A wafungua ofisi Kampala
Mrengo wa SPLM unaounga mkono Dr Riek Machar umefungua afisi Uganda na kuunga mkono kuwepo kwa wanajeshi wa Uganda Sudan Kusini
10 years ago
Mwananchi03 Mar
Wanafunzi Kagera wafungua mjadala wa taifa
Siku chache zilizopita wanafunzi mkoani Kagera walihoji sababu za wazawa kutelekeza mkoa wao pamoja na kusikika wakivuma mikoa mingine.
10 years ago
Bongo507 Sep
Jambo Squad wafungua mgahawa Arusha
Wasanii wa kundi la Jambo Squad kutoka Arusha wamethibitisha kauli ya kuwa muziki unalipa baada ya kufungua mgahawa jijini humo. Jambo Squad wamedai kuwa licha ya kuonekana wanafanya muziki wa tofauti, wameweza kupiga hatua kimaisha. “Sisi ni watoto wa uswahilini, tumelelewa uswahilini so maisha tunayajua,” waliiambia XXL ya Clouds FM. “Sisi ni watu wa biashara […]
11 years ago
Michuzi.jpg)
Nakumatt wafungua Supermarket nyingine Arusha
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi.jpg)
CRDB WAFUNGUA HUDUMA ZA BENKI BABATI
Na Woinde Shizza,Manyara
Wananchi wa Mkoa wa Manyara, wametakiwa kutumia fursa ya kuwepo kwa huduma ya benki ya CRDB Tawi la Babati, kwa kujiwekea akiba na kuchukua mikopo kwa lengo la kujinufaisha kiuchumi na kuongeza pato la Taifa.
Mkuu wa mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo aliyasema hayo wakati wa zoezi la benki ya CRDB tawi la Babati, lilipoanza kutoa huduma ya fedha kwa wateja wake na yeye kuwa mtu wa kwanza kuweka fedha kwenye tawi hilo.
Mbwilo aliwataka wananchi wa mkoa huo kufungua...
Wananchi wa Mkoa wa Manyara, wametakiwa kutumia fursa ya kuwepo kwa huduma ya benki ya CRDB Tawi la Babati, kwa kujiwekea akiba na kuchukua mikopo kwa lengo la kujinufaisha kiuchumi na kuongeza pato la Taifa.
Mkuu wa mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo aliyasema hayo wakati wa zoezi la benki ya CRDB tawi la Babati, lilipoanza kutoa huduma ya fedha kwa wateja wake na yeye kuwa mtu wa kwanza kuweka fedha kwenye tawi hilo.
Mbwilo aliwataka wananchi wa mkoa huo kufungua...
9 years ago
Mwananchi01 Dec
MSD wafungua duka la dawa Muhimbili
Bohari Kuu ya Dawa nchini (MSD) imetekeleza agizo la Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue kwa kufungua duka la dawa za binadamu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Tigo wafungua duka huduma kwa wateja
Kampuni ya Simu za Mkononi Tigo imefungua maduka 50 nchini ili kurahishisha upatikanaji huduma kwa wateja wake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania