Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SPLM/A wafungua ofisi Kampala

Mrengo wa SPLM unaounga mkono Dr Riek Machar umefungua afisi Uganda na kuunga mkono kuwepo kwa wanajeshi wa Uganda Sudan Kusini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

IS wafungua kambi za mafunzo Libya

Wapiganaji wa Islamic State wameanzisha kambi za mafunzo kwa wapiganaji wao mashariki mwa Libya

 

10 years ago

Bongo5

Jambo Squad wafungua mgahawa Arusha

Wasanii wa kundi la Jambo Squad kutoka Arusha wamethibitisha kauli ya kuwa muziki unalipa baada ya kufungua mgahawa jijini humo. Jambo Squad wamedai kuwa licha ya kuonekana wanafanya muziki wa tofauti, wameweza kupiga hatua kimaisha. “Sisi ni watoto wa uswahilini, tumelelewa uswahilini so maisha tunayajua,” waliiambia XXL ya Clouds FM. “Sisi ni watu wa biashara […]

 

10 years ago

Mwananchi

Wanafunzi Kagera wafungua mjadala wa taifa

Siku chache zilizopita wanafunzi mkoani Kagera walihoji sababu za wazawa kutelekeza mkoa wao pamoja na kusikika wakivuma mikoa mingine.

 

9 years ago

Mwananchi

MSD wafungua duka la dawa Muhimbili

Bohari Kuu ya Dawa nchini (MSD) imetekeleza agizo la Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue kwa kufungua duka la dawa za binadamu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

 

11 years ago

Michuzi

Nakumatt wafungua Supermarket nyingine Arusha

Mwonekano wa Supermaket mpya ya mtandao wa maduka ya Nakumatt Holdings Ltd jijini Arusha baada ya kuzinduliwa jana kwenye eneo la TFA Arusha. Mwonekano wa Supermaket mpya ya mtandao wa maduka ya Nakumatt Holdings Ltd jijini Arusha baada ya kuzinduliwa jana kwenye eneo la TFA Arusha. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC)Dk Richard Sezibera(kushoto) akiwa Mkurugenzi Mtendaji wa Nakumatt Holdings Ltd,Atul Shah akiangalia bidhaa mbalimbali kwenye Supermarket mpya ilifunguliwa eneo la...

 

11 years ago

Michuzi

CRDB WAFUNGUA HUDUMA ZA BENKI BABATI

Na Woinde Shizza,Manyara
Wananchi wa Mkoa wa Manyara, wametakiwa kutumia fursa ya kuwepo kwa huduma ya benki ya CRDB Tawi la Babati, kwa kujiwekea akiba na kuchukua mikopo kwa lengo la kujinufaisha kiuchumi na kuongeza pato la Taifa.
Mkuu wa mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo aliyasema hayo wakati wa zoezi la benki ya CRDB tawi la Babati, lilipoanza kutoa huduma ya fedha kwa wateja wake na yeye kuwa mtu wa kwanza kuweka fedha kwenye tawi hilo.
Mbwilo aliwataka wananchi wa mkoa huo kufungua...

 

10 years ago

IO Query South Africa's Involvement In Re

SPLM


Sudan Tribune
SPLM-IO query South Africa's involvement in re-unification process
Sudan Tribune
May 11, 2015 (JUBA) – An official of the South Sudan's opposition faction of the Sudan Peoples' Liberation Movement (SPLM-IO) said a separate intraparty dialogue which took place in Pretoria, South Africa, was incomplete as it didn't represent all the ...
South Sudan's SPLM-IO boycotts Arusha process talksRadio Tamazuj

all 2

 

11 years ago

Michuzi

REDIO 5 WAFUNGUA MWAKA KWA TAMASHA LA BURUDANI.

DSCF2600Timu ya AJTC ikiwa katika picha ya pamoja baada ya kunyakuwa ushindi katika tamasha la fungua mwaka na redio 5 lililoandaliwa na kampuni ya Tan media jijini Arusha katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid. DSCF2564Timu ya Highridge ikipokea zawadi ya saa kutoka kwa mtangazaji Semio Sonyo baada ya kushika nafasi ya pili. DSCF2557Mashabiki wakiangalia burudani kutoka kwa wasanii wa Arusha DSCF2553Muonekano wa wachezaji wakiwa uwanjani. DSCF2627
DSCF2629Jambo squard wakiwapa burudani wakazi wa Arusha.Picha zaidi bofya hapa

 

11 years ago

Mwananchi

Tigo wafungua duka huduma kwa wateja

Kampuni ya Simu za Mkononi Tigo imefungua maduka 50 nchini ili kurahishisha upatikanaji huduma kwa wateja wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani