REDIO 5 WAFUNGUA MWAKA KWA TAMASHA LA BURUDANI.
Timu ya AJTC ikiwa katika picha ya pamoja baada ya kunyakuwa ushindi katika tamasha la fungua mwaka na redio 5 lililoandaliwa na kampuni ya Tan media jijini Arusha katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid.
Timu ya Highridge ikipokea zawadi ya saa kutoka kwa mtangazaji Semio Sonyo baada ya kushika nafasi ya pili.
Mashabiki wakiangalia burudani kutoka kwa wasanii wa Arusha
Muonekano wa wachezaji wakiwa uwanjani.
Jambo squard wakiwapa burudani wakazi wa Arusha.Picha zaidi bofya hapa
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
ISHA, TUNDA WAFUNGUA MWAKA KWA KISHINDO DAR LIVE
10 years ago
GPLMALAIKA BAND WAFUNGUA PAZIA LA BURUDANI VALENTINE DAY, DAR LIVE
11 years ago
GPL
CHUO CHA USAFIRISHAJI KUADHIMISHA VIPAJI KWA TAMASHA LA BURUDANI
10 years ago
Michuzi14 Nov
BURUDANI FC YAINGIA NUSU FAINALI, YAIONDOSHA KILUVYA UTD KWA PENATI KWENYE DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP

11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
SAUTI ZA BUSARA: Ni zaidi ya Tamasha la burudani
TAMASHA la Sauti za Busara ni miongoni mwa machache ambayo yamejenga historia kutokana na kuutangaza na kuuendeleza muziki wa Tanzania nje ya mipaka yake, ambako mwaka huu litafanyika kuanzia Februari...
11 years ago
GPL
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 BURUDANI MWANZO MWISHO
11 years ago
GPLTAMASHA LA UJASIRIAMALI MWANZA, BURUDANI MWANZO MWISHO
11 years ago
GPL
10 years ago
Mtanzania04 Sep
Tamasha jipya la burudani la KiliFest kuzinduliwa Dar
NA FESTO POLEA
TAMASHA jipya la burudani la KiliFest linatarajiwa kuzinduliwa Septemba 26, katika viwanja vya Leaders Club, ambapo idadi kubwa ya wasanii wa Bongo Fleva nchini watatumbuiza.
Tamasha hilo linakuwa la kwanza kwa Tanzania na litaanzia jijini Dar es Salaam, lakini kwa miaka ijayo litazunguka na mikoa mingine.
Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Pamela Kikuli, ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, alisema lengo la tamasha hilo ni kuwaleta Watanzania pamoja kupitia...