Israel kurejesha uhusiano na Uturuki
Israel na Uturuki zimefikia makubaliano ya awali na kufufua uhusiano wa kidiplomasia, afisa wa Israel amesema.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Uturuki kurejesha mwili wa rubani wa Urusi
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Urusi yakatiza Uhusiano na Uturuki
5 years ago
Michuzi
RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.


************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
Je sabuni inaweza kurejesha ubikira?
5 years ago
MichuziTARURA YAENDELEA KUREJESHA MAWASILIANO
WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), umeendelea kurejesha mawasiliano katika maeneo mbalimballi yaliyoathiriwa na mvua nchini na kusababisha adha kwa watumiaji wa barabara hizo pamoja na madaraja.
Kwa Mikoa ya Dodoma na Manyara, tayari mawasiliano yanaendelea kurejeshwa kwa Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Halmashauri ya Wilaya ya Babati Mji na Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa.Meneja wa Wakala Wa Barabara...
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
Agizo la kurejesha magari ya Toyota
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
DC Kipozi aamriwa kurejesha saruji
MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza, amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Ahmed Kipozi, kurudisha mifuko 700 ya saruji ambayo alimkabidhi ikiwa ni mchango wake katika ujenzi wa maabara...
11 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Mil. 97/- kurejesha maji Ubungo
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imetenga sh 97,869,980 kwa mwaka wa fedha 2013/2014 ili kukarabati miundombinu na kurejesha huduma ya maji katika maeneo yasiyo na huduma hiyo. Hayo yalibainishwa na...
11 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Mkurugenzi apinga kurejesha fedha
Na Chibura Makorongo, Itilima
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi, Abdallah Malela, amepinga agizo la kurejesha fedha za halmshauri mpya ya Itilima zilizotolewa na Hazina.
Pia anadaiwa kuwatimua ofisini kwake madiwani wa Itilima waliokwenda kudai fedha hizo.
Kauli hiyo ilitolewa katika baraza la madiwani wa halmashauri ya Itilima na Makamu Mwenyekiti wa Halmshauri, Khamis Mughata, ambaye alisema kamati yake ilishindwa kudai fedha hizo kutokana na mkurugenzi huyo kuwafukuza...