Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Israel kurejesha uhusiano na Uturuki

Israel na Uturuki zimefikia makubaliano ya awali na kufufua uhusiano wa kidiplomasia, afisa wa Israel amesema.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki kurejesha mwili wa rubani wa Urusi

Uturuki imesema itakabidhi Urusi mwili wa rubani wa ndege iliyodunguliwa juma lililopita katika mpaka wake na Syria luteni Oleg Peshkov

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yakatiza Uhusiano na Uturuki

Waziri mkuu wa Urusi,Dmitriy Medvedev, amesema mikataba yote na UJturuki imesimamishwa na mbali na kutangaza marufuku ya kampuni za Uturuki nchini Urusi.

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.


************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Je sabuni inaweza kurejesha ubikira?

Baadhi ya wanawake na wasichana huko nchini Kenya wanatumia sabuni inayodaiwa kurejesha usichana yaani 'ubikra'.

 

5 years ago

Michuzi

TARURA YAENDELEA KUREJESHA MAWASILIANO

Erick Mwanakulya na Geofrey Kazaula – TARURA
WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), umeendelea kurejesha mawasiliano katika maeneo mbalimballi yaliyoathiriwa na mvua nchini na kusababisha adha kwa watumiaji wa barabara hizo pamoja na madaraja.
Kwa Mikoa ya Dodoma na Manyara, tayari mawasiliano yanaendelea kurejeshwa kwa Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Halmashauri ya Wilaya ya Babati Mji na Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa.Meneja wa Wakala Wa Barabara...

 

11 years ago

BBCSwahili

Agizo la kurejesha magari ya Toyota

Kampuni ya kutengeza magari ya Toyota nchini Japan, imeagiza kurejeshwa kwa magari milioni 1.9 aina ya Prius kutokana na hitilafu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

DC Kipozi aamriwa kurejesha saruji

MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza, amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Ahmed Kipozi, kurudisha mifuko 700 ya saruji ambayo alimkabidhi ikiwa ni mchango wake katika ujenzi wa maabara...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mil. 97/- kurejesha maji Ubungo

HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imetenga sh 97,869,980 kwa mwaka wa fedha 2013/2014 ili kukarabati miundombinu na kurejesha huduma ya maji katika maeneo yasiyo na huduma hiyo. Hayo yalibainishwa na...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mkurugenzi apinga kurejesha fedha


Na Chibura Makorongo, Itilima
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi, Abdallah Malela, amepinga agizo la kurejesha fedha za halmshauri mpya ya Itilima zilizotolewa na Hazina.
Pia anadaiwa kuwatimua ofisini kwake madiwani wa Itilima waliokwenda kudai fedha hizo.
Kauli hiyo ilitolewa katika baraza la madiwani wa halmashauri ya Itilima na Makamu Mwenyekiti wa Halmshauri, Khamis Mughata, ambaye alisema kamati yake ilishindwa kudai fedha hizo kutokana na mkurugenzi huyo kuwafukuza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani