ITAMBUE TOFAUTI ILIYOPO KATI YA NEC NA ZEC - NAJMA GIGA
![](http://img.youtube.com/vi/XrJGhsvolvA/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo502 Aug
Audio: G-Lover azungumzia tofauti iliyopo kati ya Diamond na Alikiba
Moja ya mdau mkubwa wa muziki nchini na mmiliki wa G Records, studio iliyomtoa Alikiba, Guru Ramadhan aka DJ G-Lover, amezungumzia tofauti iliyopo kati ya Diamond na Alikiba aliyewahi kuwa chini yake. Akizungumza na Vijimambo, Lover ambaye akiwa meneja wa Alikiba walitoa album mbili, amewaka bayana uwezo wa kila msanii na jinsi walivyojikuta kwenye biashara. […]
9 years ago
TheCitizen28 Oct
Observers query NEC, ZEC transparency
Three key election observer groups released preliminary reports on the Sunday polls, with the European Union (EU) expressing concern about lack of transparency in electoral bodies in the Mainland Tanzania and Zanzibar.
9 years ago
IPPmedia05 Oct
ZEC urged to borrow leaf from NEC.
IPPmedia
IPPmedia
The Zanzibar Electoral Commission (ZEC) has been urged to issue a statement to the public that it will immediately announce and display the election results of the President, House of Representatives and representatives at the polling centres. Zanzibar ...
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Wanaharakati wakosoa masharti ya NEC, ZEC
Makundi ya wanaharakati wa masuala ya Sheria na Katiba wamekosoa masharti yaliyoainishwa kwenye tangazo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) na ile ya Zanzibar (Zec), wakidai kuwa yanalenga kudhoofisha nguvu ya makundi yanayopinga Katiba Inayopendekezwa.
9 years ago
Mwananchi29 Oct
Seif aipinga ZEC, ataka jumuiya ya kimataifa kuingilia kati
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema hakubaliani na maamuzi ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha kufuta matokeo yote ya uchaguzi na kuahirisha uchaguzi huo.
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Tofauti 15 kati ya Mrema, Lowassa
Mjadala uliopo katika jamii kwa sasa ni kufananisha ufuasi mkubwa anaopata Edward Lowassa baada ya kujiengua CCM na kujiunga na Chadema na alioupata Augustine Mrema alipojiunga na NCCR-Mageuzi mwaka 1995 akitokea CCM.
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Lipumba aibukia ofisi za CUF, ataka JK aingilie kati suala za ZEC
Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amemwomba Rais Jakaya Kikwete kuiamuru Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC ) kumtangaza mshindi wa uchaguzi wa uliofanyika Zanzibar ili kuipusha nchi kuingia katika machafuko.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--dgJ4W0dtXA/U14_1QoykuI/AAAAAAAFdtA/q5uCggHZ_Js/s72-c/images.jpg)
UNDP TRAINS NEC AND ZEC SENIOR OFFICIALS ON ELECTION MANAGEMENT
![](http://4.bp.blogspot.com/--dgJ4W0dtXA/U14_1QoykuI/AAAAAAAFdtA/q5uCggHZ_Js/s1600/images.jpg)
10 years ago
GPLTOFAUTI KUU NANE (8) KATI YA MJASIRIAMALI NA MFANYABIASHARA!-2
James Mwang’amba Tofauti ya TATU ni namna ya KUHATARISHA au kiwango cha Kuthubutu (Risk Taking). Mara nyingi wafanyabiashara wanaogopa sana kuthubutu, wanaogopa kwamba wanaweza kupata hasara.Lakini kwa wajasiriamali kuthubutu ni kitu cha kawaida kwao. Huwa wanathubutu katika mambo ya hatari mno kwa sababu wana ule moyo wa kufanya kile wanachokifanya.
Tofauti ya NNE ni kwa jinsi wanavyoishi au kuwachukulia WAAJIRIWA au...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania