Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ITAMBUE TOFAUTI ILIYOPO KATI YA NEC NA ZEC - NAJMA GIGA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Audio: G-Lover azungumzia tofauti iliyopo kati ya Diamond na Alikiba

Moja ya mdau mkubwa wa muziki nchini na mmiliki wa G Records, studio iliyomtoa Alikiba, Guru Ramadhan aka DJ G-Lover, amezungumzia tofauti iliyopo kati ya Diamond na Alikiba aliyewahi kuwa chini yake. Akizungumza na Vijimambo, Lover ambaye akiwa meneja wa Alikiba walitoa album mbili, amewaka bayana uwezo wa kila msanii na jinsi walivyojikuta kwenye biashara. […]

 

9 years ago

TheCitizen

Observers query NEC, ZEC transparency

Three key election observer groups released preliminary reports on the Sunday polls, with the European Union (EU) expressing concern about lack of transparency in electoral bodies in the Mainland Tanzania and Zanzibar.

 

9 years ago

IPPmedia

ZEC urged to borrow leaf from NEC.


IPPmedia
ZEC urged to borrow leaf from NEC.
IPPmedia
The Zanzibar Electoral Commission (ZEC) has been urged to issue a statement to the public that it will immediately announce and display the election results of the President, House of Representatives and representatives at the polling centres. Zanzibar ...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanaharakati wakosoa masharti ya NEC, ZEC

Makundi ya wanaharakati wa masuala ya Sheria na Katiba wamekosoa masharti yaliyoainishwa kwenye tangazo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) na ile ya Zanzibar (Zec), wakidai kuwa yanalenga kudhoofisha nguvu ya makundi yanayopinga Katiba Inayopendekezwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Seif aipinga ZEC, ataka jumuiya ya kimataifa kuingilia kati

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema hakubaliani na maamuzi ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha kufuta matokeo yote ya uchaguzi na kuahirisha uchaguzi huo.

 

9 years ago

Mwananchi

Tofauti 15 kati ya Mrema, Lowassa

Mjadala uliopo katika jamii kwa sasa ni kufananisha ufuasi mkubwa anaopata Edward Lowassa baada ya kujiengua CCM na kujiunga na Chadema na alioupata Augustine Mrema alipojiunga na NCCR-Mageuzi mwaka 1995 akitokea CCM.

 

9 years ago

Mwananchi

Lipumba aibukia ofisi za CUF, ataka JK aingilie kati suala za ZEC

Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amemwomba Rais Jakaya Kikwete kuiamuru Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar  (ZEC ) kumtangaza mshindi wa uchaguzi wa uliofanyika Zanzibar ili kuipusha nchi kuingia katika machafuko.

 

11 years ago

Michuzi

UNDP TRAINS NEC AND ZEC SENIOR OFFICIALS ON ELECTION MANAGEMENT

Twenty (20) senior staff from the National Electoral Commission (NEC) and the Zanzibar Electoral Commission (ZEC) will undergo a two-week train-the-facilitator programme based on the internationally renowned BRIDGE at the Oceanic Bay hotel in Bagamoyo. The training is expected to usher the two electoral management bodies (EMBs) in a new era of improved professional conduct of elections through the use of own staff to conduct BRIDGE or any other electronic training for both short term and...

 

10 years ago

GPL

TOFAUTI KUU NANE (8) KATI YA MJASIRIAMALI NA MFANYABIASHARA!-2

James Mwang’amba Tofauti ya TATU ni namna ya KUHATARISHA au kiwango cha Kuthubutu (Risk Taking). Mara nyingi wafanyabiashara wanaogopa sana kuthubutu, wanaogopa kwamba wanaweza kupata hasara.Lakini kwa wajasiriamali kuthubutu ni kitu cha kawaida kwao. Huwa wanathubutu katika mambo ya hatari mno kwa sababu wana ule moyo wa kufanya kile wanachokifanya.
Tofauti ya NNE ni kwa jinsi wanavyoishi au kuwachukulia WAAJIRIWA au...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani