Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JAFFARAI ACHA MBWEMBWE, PIGA KAZI!

KUNDI la muziki wa kizazi kipya la Wateule, lililokuwa na maskani yake Makumbusho jijini Dar es Salaam, ni moja kati ya makundi yaliyokuwa na vijana wenye vipaji vya hali ya juu katika Bongo Fleva. Walitengeneza kundi lililopata kuwa alama kubwa katika muziki, kwani waliweza kutoa kazi kali kama kundi, huku wasanii wake pia wakifanya vizuri katika ‘project’ zao binafsi.Miongoni mwa ‘vichwa’...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Piga mswaki, piga deki, piga amani

Mimi sipendi barua ya vitisho, hata kidogo. Na sipendi zaidi iwapo mtishaji hana hata uthubutu wa kutaja yeye ni nani. Ndiyo maana nilikasirika kupata barua jana. Sijui ilitoka kwa nani, lakini bila shaka mtaweza kuhisi.

 

10 years ago

Mwananchi

Malinzi acha kujitetea, fanya kazi yako TFF

Kila jambo lina na mwanzo na mwisho, au kwa maneno mengine, mwanzo wa leo ni mwisho wa jana na mwisho wa leo ni mwanzo wa kesho. Nakumbuka mwaka jana kwa miezi kadhaa, uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ulikuwa kiini cha mazungumzo kila kona.

 

9 years ago

Bongo5

Jaffarai asita kuachia wimbo mwingine mwaka huu

jaff

Rapper Jaffarai amesema ameahirisha kutoa wimbo mpya mwaka huu kutokana na masikio ya wengi kutokuwa tayari.

jaff

Rapper huyo amesema ataanza kusikika tena February mwakani kwa kile anachoamini kuwa ni mwezi wenye bahati kwake.

“Nimeona bora niache kutoa ngoma kwa sasa kwa sababu kuna vitu vingi bado vinaendelea na nimeplan kutoa ngoma mpya mwakani mwezi wa pili kwa sababu huwaga na zali sana mwezi wa pili,” ameiambia Bongo5.

“Ngoma zangu nyingi ninazofanya mwezi wa pili zinakuwa hit, kila...

 

10 years ago

Bongo5

Jaffarai ajinunulia gari hii kama zawadi ya birthday (Picha)

Diamond Platnumz amemnununua Wema Sepetu gari jipya kama zawadi ya siku yake ya kuzaliwa iliyokuwa jana. Lakini Jaffarai ambaye siku yake ya kuzaliwa ni leo, hana mtu wa kumnunulia zawadi ya aina hiyo na ndio maana ameamua kujipa mwenyewe. Jaffarai na gari lake jipya “I thank you Lord for making it possible for me to […]

 

9 years ago

Bongo5

Ningezaliwa Marekani, Nigeria au SA ningekuwa tajiri mwenye hela nyingi sana — Jaffarai

Rapper Jaffarai anaamini kuwa soko la muziki la Tanzania halijakitendea haki kipaji chake ambacho thamani yake kama angekuwa amezaliwa nchini Marekani, Nigeria au Afrika Kusini ambako muziki uko juu basi angekuwa tajiri. “Kitu kikubwa kinachonigharimu ni kuzaliwa Tanzania na huu muziki wangu but kama ingekuwa nimezaliwa Marekani, South Africa, Nigeria au kwa nchi ambayo muziki […]

 

11 years ago

GPL

WEMA: PIGA...

Na Imelda Mtema
Licha ya mama yake mzazi kupinga kwa nguvu zote, staa wa filamu nchini na mtangazaji wa Kipindi cha Runinga cha In My Shoes, Wema Sepetu ameapa kwamba hata iweje, lazima msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nasibu Abdul ‘Diamond’ awe mume wake, Amani lina stori kamili. Wema akiwa na mpenzi wake Diamond. NI CHAGUO LAKE
Akizungumza na Amani katika spesho intavyu hivi karibuni, Wema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani