Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jafo ahimiza uchangiaji miradi ya maji

MBUNGE wa Kisarawe, Seleman Jafo, amewasihi wakazi wa jimbo hilo kuzingatia uchangiaji wa mfuko wa maji ili kuwezesha miradi inayotekelezwa kuwa endelevu na kuondokana na kero ambayo imekuwa ikiwakabili kipindi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Jafo: Changieni miradi ya maji

MBUNGE wa Kisarawe, Seleman Jafo, amewasihi wakazi wa jimbo hilo kuzingatia uchangiaji wa mfuko wa maji ili kuwezesha miradi inayotekelezwa kuwa endelevu na kuondokana na kero ya maji ambayo imekua...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mama Bilal ahimiza uchangiaji

JAMII imetakiwa kujitolea kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kusaidia watu wanaokumbwa na changamoto za kimaisha ili kupunguza umaskini nchini. Rai hiyo ilitolewa jana na mke wa Makamu wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Jafo ahimiza ujenzi wa viwanda vidogo

Tanzania haiwezi kubadilika ikiwa mawazo ya watu hayatabadilika kuhusu ujenzi wa viwanda vidogo nchini na kuondoa dhana ya kujenga viwanda vikubwa vinavyohitaji mtaji mkubwa wakati ajira zake ni chache.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jafo ahimiza ushirikiano ujenzi nyumba ya mwalimu

MBUNGE wa Kisarawe Mkoa wa Pwani, Selemani Jafo amewataka wananchi kushiriki katika miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye maeneo yao ili ikamilike kwa wakati badala ya kuiachia serikali pekee. Akizungumza na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jafo atoa milioni 71 kukamilisha miradi ya maendeleo

MBUNGE wa Kisarawe, mkoani Pwani, Selemani Jafo (CCM) ametoa shilingi milioni 71 kwa ajili ya kukamilisha baadhi ya miradi ya maendeleo jimboni humo ikiwemo ujenzi wa maabara unaoendelea katika shule...

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Jafo amtaka Ras Pwani kuanza na Miradi ambayo haijakamilika

Na  Majid Abdulkarim

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Mhe. Selemani Jafo amemtaka Katibu Tawala mpya wa Mkoa wa Pwani Dkt. Delphine Magere kuanza utendaji kazi wake kwa kufanyia kazi  miradi ya mabweni, mabwalo na vituo vya afya ambavyo havijakamilika kwa wakati kwani ni miradi iliyotumia pesa nyingi na muda mrefu katika Mkoa huo.

Mhe. Jafo ametoa kauli hiyo leo wakati Dkt. Magere alipokuja kuripoti OR-TAMISEMI Mtumba Jijini Dodoma mara baada ya...

 

10 years ago

Michuzi

Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi

Kiongozi wa ziara ya wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Amina Makilagi, akieleza jambo wakati alipowasili kwenye ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Lindi tayari kukagua miradi ya maji.Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Lindi Nassor Himid na kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Mathei Makwinya.Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mwantumu Mahiza akiwakaribisha wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji waliotembelea mkoa huo kukagua baadhi ya miradi ya Maji iliyopo mkoani humo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jafo apania kumaliza kero ya maji Kisarawe

“MAISHA niliyoishi ndiyo yanayonifanya nisizembee kuwatumikia wananchi katika hii nafasi ya ubunge niliyoipata, natambua wapo wanaoishi kama nilivyokua mimi awali, hii inanifanya nisilewe madaraka niliyo nayo. “Kila nikirudi jimboni kwangu,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji yaridhishwa na miradi ya maji ya Kibiti, Ikwiriri

1

Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Nurdin Babu (kushoto) akimuongoza Kiongozi wa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya  Kilimo, Mifugo na Maji, Amina Makilagi aliyeambatana na wajumbe wengine wa kamati hiyo baada ya kuwasili ofisi za Mradi wa Maji Kibiti ulioko wilayani humo mkoani Pwani kabla ya kuukagua.Ukaguzi wa mradi huo ni sehemu ya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maji katika mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara inayofanywa na wajumbe wa Kamati hiyo.

Hussein Makame, MAELEO, Pwani

KAMATI ya Bunge ya Kilimo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani