Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jaguar awakasirisha mashabiki Marekani

Charles Njagua kanyi anayejulikana kama 'Jaguar' alitarajiwa kuwatumbuiza raia wa Atlanta nchini Marekani siku ya ijumaa lakini hakuonekana hadi asubuhi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mashabiki wa Marekani wachumbiana

Wakati Marekani ikichapa Ghana 2-1, lakini ushindi wa siku hiyo ni wa kukumbukwa kwa mashabiki wengi nchi hiyo, na hasa Jennifer Buzan.

 

9 years ago

Mtanzania

Sauti Sol washangazwa na mashabiki Marekani

SAUTI SOLNEW YORK, MAREKANI

KUNDI la Sauti Sol kutoka nchini Kenya, juzi lilijikuta likishangazwa na idadi kubwa ya watu katika jiji la New York nchini Marekani, kabla ya onyesho lao katika ukumbi wa Central Park nchini humo.

Sauti Sol wako nchini Marekani kwa ajili ya tamasha la kimataifa la Global Citizen linalowakutanisha wasanii mbalimbali ambapo watu zaidi ya 60,000 wanakadiriwa walihudhuria tamasha hilo.

Tamasha hilo limeandaliwa kwa ajili ya kukuza elimu, kutetea haki za wakimbizi na kujadili...

 

11 years ago

Bongo5

Lady Jaydee awashukuru mashabiki baada ya kushinda tuzo ya AFRIMMA, Marekani

Lady Jaydee na Diamond July 27 walitangazwa kuwa washindi katika tuzo za AFRIMMA 2014 nchini Marekani. Diamond alishinda kipengele cha mwanamuziki bora wa kiume Afrika mashariki, huku Lady Jaydee alishinda kipengele cha mwanamuziki bora wa kike Afrika mashariki. Tuzo hizo ziliwashindanisha wanamuziki mbalimbali wakubwa wa Afrika wakiwemo Davido, Mafikizolo, Tiwa Savage, Fally Ipupa, Flavour na […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Rapper mkongwe wa Marekani, LL Cool J awashukuru mashabiki wa Afrika Mashariki kwa Kiswahili

Rapper na muigizaji mkongwe wa Marekani, James Todd Smith akifahamika zaidi kwa jina la LL Cool J ameamua kuwa-surprise mashabiki wa Afrika mashariki kwa kuwashukuru kwa kisichojulikana, lakini kilichovuta ‘attention’ zaidi ni lugha aliyotumia, amewashukuru kwa Kiswahili. Rapper huyo amepost video Instagram akisema “Kwa fans wangu wa Afrika Mashariki asante sana”, na kumaliza kwa kicheko. […]

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Jaguar — One Centimeter

Baada ya kioo, muimbaji wa Kenya, Jaguar, anaachia ngoma yake mpya iitwayo ‘One Centimeter. Ni ngoma ya mapenzi iliyotayarishwa katika studio za Main Switch.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Zikki Ft Jaguar – Take it Slow

Jaguar-and-zikki

Msanii kutoka Kenya anaitwa Zikki ameachia video mpya wimbo unaitwa “Take it Slow”, Amemshirikisha Jaguar. Video imeongozwa na Enos Olik.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Music Video: Jaguar — One Centimeter

Jaguar wa Kenya hatimaye ameachia video yake mpya ‘One Centimeter’, aliyo shoot nchini Afrika ya Kusini na kuongozwa na Sugarcane Communications. Itazame hapa

 

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani