New Music: Jaguar — One Centimeter
Baada ya kioo, muimbaji wa Kenya, Jaguar, anaachia ngoma yake mpya iitwayo ‘One Centimeter. Ni ngoma ya mapenzi iliyotayarishwa katika studio za Main Switch.
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo525 Aug
New Music Video: Jaguar — One Centimeter
Jaguar wa Kenya hatimaye ameachia video yake mpya ‘One Centimeter’, aliyo shoot nchini Afrika ya Kusini na kuongozwa na Sugarcane Communications. Itazame hapa
10 years ago
GPL26 Aug
10 years ago
Bongo513 Nov
Jaguar afanya remix ya ‘One Centimeter’ na Iyanya wa Nigeria, washoot na video
Baada ya Sauti Sol kumshirikisha staa wa Nigeria, Iyanya kwenye remix ya hit single yao ‘Sura yako’, staa mwingine wa Kenya naye amemshirikisha Iyanya kwenye remix ya wimbo wake. Jaguar amempa shavu Iyanya kwenye remix ya single yake ya ‘One Centimeter’ ambayo wameshoot na video. Kupitia Instagram Iyanya ameshare picha akiwa na Jaguar na kuandika, […]
10 years ago
GPL25 Nov
10 years ago
Bongo521 Nov
New Music: Jaguar ft. Iyanya — One Centemeter (remix)
Siku chache zilizopita msanii Jaguar wa Kenya alienda nchini Nigeria kushoot video ya collabo yake na Iyanya. Jaguar ameachia audio ya wimbo huo ‘One Centemeter’ (remix). Video ya original version ilifanyika nchini Afrika Kusini.
10 years ago
Bongo520 Feb
New Music Video: Jaguar — Huu Mwaka
Jaguar ametoa kazi mpya kwa mwaka 2015, ni video ya wimbo wake ‘Huu Mwaka’ iliyoongozwa na Godfather. Wimbo unazungumzia mtu masikini ambaye ameweka malengo ya kupata maisha mazuri mwaka huu. kwenye video hiyo Jaguar ameigiza kama mtu masikini anayeishi kijijini,na baadaye anaamua kwenda mjini kutafuta kazi za ndani kwa tajiri wa kizungu. Mwisho wa Video […]
5 years ago
Gizmochina21 Mar
Redmi K30 Pro to feature 'Stacked Motherboard' design, crams in 61 components per sq centimeter
Redmi K30 Pro to feature 'Stacked Motherboard' design, crams in 61 components per sq centimeter gizmochinaWatch the unreleased Redmi K30 Pro get disassembled on camera - GSMArena.com news GSMArena.comXiaomi Redmi Note 9 Pro Review: Max Performance without “Max” Flavor XDA DevelopersRedmi 30 Pro features Super Night Scene 2.0 - Check out the camera samples gizmochinaRedmi K30 Pro to have two IMX686 64MP cameras, dual-OIS, 8K video - comments GSMArena.comView Full coverage on Google...
9 years ago
Bongo522 Nov
Video: Zikki Ft Jaguar – Take it Slow
![Jaguar-and-zikki](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Jaguar-and-zikki-300x194.jpg)
Msanii kutoka Kenya anaitwa Zikki ameachia video mpya wimbo unaitwa “Take it Slow”, Amemshirikisha Jaguar. Video imeongozwa na Enos Olik.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Vivian-namuheshimu Jaguar, mtuache
Mwanamuziki Vivian Wambui, amewaomba wapenzi wa muziki kumheshimu na kuacha kumuhusisha na tuhuma za uhusiano wa kimapenzi na Jaguar.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania