Jairo, Nyoni wasafishwa kimyakimya
>Serikali imewasafisha aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Blandina Nyoni na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo huku ikimpandisha cheo aliyekuwa Mganga Mkuu wa Serikali Deo Mtasiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLNYONI AMBWAGA CANNAVARO TUZO ZA TASWA, MOTTO AFANYA MAAJABU
10 years ago
TheCitizen18 Sep
Utouh reveals how EPA, Jairo took heavy toll on him as CAG
10 years ago
TheCitizen18 Sep
EPA, Jairo’s fundraiser gave Utouh sleepless nights
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun1v8M7FutIr40l*e8NKyoZyH6j3bnIGIOtUnWlgzWqaU5g47ZrLPPfYjiBt4VsQS-oeXuBPTwR5nQcA4FFjTBuJ/Meninah.gif?width=650)
MENINAH AOLEWA KIMYAKIMYA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-8uSkFYxEhhE/VXFL2cXq0rI/AAAAAAADqL0/XNz2w4afJSs/s72-c/pic%252Bmaguful%2B%25282%2529.jpg)
Dk Magufuli achukua fomu kimyakimya
![](http://1.bp.blogspot.com/-8uSkFYxEhhE/VXFL2cXq0rI/AAAAAAADqL0/XNz2w4afJSs/s320/pic%252Bmaguful%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Jan
GLAUCOMA “mwizi wa macho wa kimyakimya”
Mwezi Januari kila mwaka jumuiya za kimataifa uungana ili kuongeza uelewa na kujenga ufahamu juu ya ugonjwa wa Glaucoma. Kampeni hii ya mwezi mzima inalenga kuleta tahadhari na kuelimisha juu ya chanzo, sababu na madhara ya ugonjwa huo, kampeni hii pia ulenga kuutaka umma kuchukua hatua madhubuti kabla ugonjwa huu mbaya haujasababisha athari kubwa. Kutokana na asili ya ugonjwa huu imesababisha ujulikane kama “the sneak thief of sight”, yaani mwizi wa macho anayekuja kwa kunyata. Hii...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD--*VoSw5EccamNLZKH9lBBP6JQ*6KNI*CR7v8Oz1lpADGx9m1cfKwDTb77KmDroWNSEDq9NLHJREp81JNtR-fwJ/BRANDS.jpg?width=650)
Brandts aondoka Dar kimyakimya
9 years ago
Raia Tanzania21 Aug
Magufuli, Lowassa ni kimyakimya leo
WAGOMBEA urais wanaotarajiwa kuwa na mchuano mkali kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu, Dk. John Magufuli (CCM) na Edward Lowassa (Chadema), wanarejesha fomu za kugombea nafasi hiyo leo kwenye Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Tofauti ni ilivyokuwa takriban wiki mbili zilizopita wakati wanasiasa hao walipokwenda kuchukua fomu hizo tayari kwa kutafuta wadhamini sehemu mbalimbali nchini, leo watalazimika kwenda kimyakimya.
Wakati wa kuchukua fomu ambapo Dk. Magufuli...
10 years ago
Vijimambo23 Oct
Pinda:Nimetangaza urais kimyakimya
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mizengo%20Pinda-October23.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ametangaza rasmi kugombea urais wa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa mwakani huku akisema amejitangaza kimyakimya.
Pinda aliliambia Idhaa ya Kiswahili ya Shirika la Utangazaji la Uingereza juzi usiku kuwa atakuwa miongoni mwa wanachama wa chama hicho watakao wania nafasi hiyo.
Pinda ambaye yupo mjini London, Uingereza kuhudhuria mkutano wa viongozi unazungumzia uwekezaji zaidi katika bara la Afrika.
“Wamejitokeza wengi,...