Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jairo, Nyoni wasafishwa kimyakimya

>Serikali imewasafisha aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Blandina Nyoni na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo huku ikimpandisha cheo aliyekuwa Mganga Mkuu wa Serikali Deo Mtasiwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NYONI AMBWAGA CANNAVARO TUZO ZA TASWA, MOTTO AFANYA MAAJABU

Beki wa Azam FC, Erasto Nyoni (kushoto), akikabidhiwa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2014, na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Asah Mwambene muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo hizo zlizoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), ndani ya Ukumbi wa Diamond Jublee. Mgeni rasmi katika tuzo za Twaswa 2014, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar DK. Ali Mohamed Shein (kulia), akikabidhi...

 

10 years ago

TheCitizen

Utouh reveals how EPA, Jairo took heavy toll on him as CAG

>Ludovick Utouh, the fifth Controller and Auditor General in post-independence Tanganyika/Tanzania, officially retires today. The Citizen Business Editor, Samuel Kamndaya, spoke to him about his best and worst days as CAG for eight years. Read on:

 

10 years ago

TheCitizen

EPA, Jairo’s fundraiser gave Utouh sleepless nights

>The 2008 External Payment Arrears (Epa) scam and the 2011 David Jairo fundraiser may have been hot topics for the media, politicians, development partners and civil society but they gave the man who audited them sleepless nights.

 

9 years ago

GPL

MENINAH AOLEWA KIMYAKIMYA

Musa Mateja WENYE wivu wajinyonge! Nyota wa muziki wa kizazi kipya, zao la BSS 2012 Meninah Abdulkarim, anadaiwa kufunga ndoa kimyakimya mwishoni mwa wiki iliyopita na mtu anayetajwa kulelewa tangu utotoni na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini aliyejiuzulu, Profesa Sospeter Muhongo, Risasi Mchanganyiko limetonywa.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1WDGS8h ...

 

10 years ago

Vijimambo

Dk Magufuli achukua fomu kimyakimya

Tofauti na makada wengine wa CCM ambao walianza kwa kutangaza nia kisha baada ya kuchukua fomu kuzungumza na waandishi wa habari, Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, jana alichukua fomu kimyakimya bila kutaka kuzungumza lolote.Badala yake akasema atatafuta muda muafaka wa kuzungumza na vyombo vya habari baada ya kusoma fomu alizopewa na chama chake.Hata hivyo, kwa kifupi kabisa alisema endapo atapata ridhaa ya kuiongoza nchi atatekeleza Ilani ya CCM na kuwaomba Watanzania wamuombee.Dk...

 

10 years ago

Dewji Blog

GLAUCOMA “mwizi wa macho wa kimyakimya”

Conjoined twins Apollo hospital

Mwezi Januari kila mwaka jumuiya za kimataifa uungana ili kuongeza uelewa na kujenga ufahamu juu ya ugonjwa wa Glaucoma. Kampeni hii ya mwezi mzima inalenga kuleta tahadhari na kuelimisha juu ya chanzo, sababu na madhara ya ugonjwa huo, kampeni hii pia ulenga kuutaka umma kuchukua hatua madhubuti kabla  ugonjwa huu mbaya haujasababisha athari kubwa. Kutokana na asili ya ugonjwa huu imesababisha ujulikane kama “the sneak thief of sight”, yaani mwizi wa macho anayekuja kwa kunyata. Hii...

 

11 years ago

GPL

Brandts aondoka Dar kimyakimya

Kocha Ernie Brandts. Na Mwandishi Wetu
KOCHA Ernie Brandts ameondoka jijini Dar es Salaam kurejea kwao Eindhoven nchini Uholanzi kuendelea na maisha.
Lakini Brandts ameondoka kimyakimya huku akionekana kufanya kila jambo siri kubwa kuhusiana na kuondoka kwake. Brandts alitimuliwa kuinoa Yanga baada ya timu hiyo kupokea kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Simba katika mechi ya Nani Mtani Jembe.
Championi Jumatano… ...

 

9 years ago

Raia Tanzania

Magufuli, Lowassa ni kimyakimya leo

WAGOMBEA urais wanaotarajiwa kuwa na mchuano mkali kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu, Dk. John Magufuli (CCM) na Edward Lowassa (Chadema), wanarejesha fomu za kugombea nafasi hiyo leo kwenye Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Tofauti ni ilivyokuwa takriban wiki mbili zilizopita wakati wanasiasa hao walipokwenda kuchukua fomu hizo tayari kwa kutafuta wadhamini sehemu mbalimbali nchini, leo watalazimika kwenda kimyakimya.

Wakati wa kuchukua fomu ambapo Dk. Magufuli...

 

10 years ago

Vijimambo

Pinda:Nimetangaza urais kimyakimya

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ametangaza rasmi kugombea urais wa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa mwakani huku akisema amejitangaza kimyakimya.

Pinda aliliambia Idhaa ya Kiswahili ya Shirika la Utangazaji la Uingereza juzi usiku kuwa atakuwa miongoni mwa wanachama wa chama hicho watakao wania nafasi hiyo.

Pinda ambaye yupo mjini London, Uingereza kuhudhuria mkutano wa viongozi unazungumzia uwekezaji zaidi katika bara la Afrika.

“Wamejitokeza wengi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani