Jaji Bwana Mwenyekiti Baraza UB
BODI ya Wadhamini ya Chuo Kikuu Cha Bagamoyo (UB), imemteua Jaji wa Mahakama ya Rufaa nchini, Dk. Stephen Bwana kuwa Mwenyekiti mpya wa Baraza la chuo hicho. Akizungumza na waandishi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi17 Aug
JAJI BWANA NDIYE MWENYEKITI MPYA BARAZA LA CHUO KIKUU HA BAGAMOYO (UB)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-RQyKwQabheA%2FU_CNF1yyxNI%2FAAAAAAABFiQ%2F61_VdeDCDOU%2Fs1600%2Fimage.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na Mwandishi Wetu
BODI ya Wadhamini ya Chuo Kikuu Cha Bagamoyo (UB), imemteua Jaji wa Mahakama ya Rufaa nchini, Dk.Stephen Bwana Kuwa Mwenyekiti mpya wa Baraza la chuo hicho.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Bagamoyo(UB), Mikocheni Dar Es Salaam, Dk.William Kudoja alisema Bodi ya Wadhamini ya chuo hicho ambayo Inaongozwa na Professa Paramaganda Kabudi Ndiyo ilimteua Jaji Bwana kushika wadhifa huo mpya baada ya kuona Ana sifa za vigezo Vya...
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.
Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.
11 years ago
GPLMWENYEKITI WA BARAZA LA MAIMAMU NA WAHUBIRI KENYA AUAWA
10 years ago
Habarileo09 Sep
Baraza la Wazee Chadema lapata Mwenyekiti mpya
SAFU mpya ya Baraza la Wazee Taifa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imetangazwa ambayo Mwenyekiti wake ni mkazi wa Zanzibar, Hashim Juma Issa.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IhGyGqpH0ws/VTjfT-u-FOI/AAAAAAAHSws/eOwXNjy7gqY/s72-c/SimbaKalia.jpg)
UTEUZI WA MWENYEKITI WA BARAZA LA TUME YA TAIFA YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA (COSTECH)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IhGyGqpH0ws/VTjfT-u-FOI/AAAAAAAHSws/eOwXNjy7gqY/s1600/SimbaKalia.jpg)
===== ====UTEUZI WA MWENYEKITI WA BARAZA LA TUME YA TAIFA YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA (COSTECH)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikiwete, amemteua Mhandisi, Kanali Mstaafu Joseph Leon Simbakalia, kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia tarehe 10 Aprili 2015.
Uteuzi huo ni kwa mujibu wa Kifungu Na. 4 cha Sheria Na. 7 ya Mwaka 1986 iliyounda Tume ya...
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
Pinda akutana na Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la China Afrika
WAziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la China na Afrika ( Vice Chairman of China Africa Business Council, Bw. Huarong Zhang kabla ya mazungumzo yao Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam,Aprili 21, 2015.Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Tanzania – China Promotion Centre, Bw. Xian Ding. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
WAziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la China na Afrika ( Vice...
11 years ago
GPLJAJI WARIOBA AKUTANA NA JUKWAA LA WAHARIRI NCHINI (TEF) NA BARAZA LA HABARI (MCT)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DOMCqTur9mM/VmfhLSkI4fI/AAAAAAAAYB8/dU_M3MNg2_4/s72-c/IMG_0147%2B%25281024x683%2529.jpg)
BARAZA LA HALAMSHAURI YA WILAYA YA MOSHI LAMCHAGUA MICHAEL KILAWILA KUWA MWENYEKITI
![](http://2.bp.blogspot.com/-DOMCqTur9mM/VmfhLSkI4fI/AAAAAAAAYB8/dU_M3MNg2_4/s640/IMG_0147%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VP_kTchpfUA/VmfhZKyPiGI/AAAAAAAAYCs/TPlctotdjaw/s640/IMG_0168%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dfOymItaGnQ/Vmfh7hX1_kI/AAAAAAAAYFA/yBbrZeijfuk/s640/IMG_0268%2B%25281024x683%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo12 Mar
Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola awasili London
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-9GvS2OFjxlU%2FVQDRKN9G5oI%2FAAAAAAAAbqI%2FMGb7VyXDDMA%2Fs1600%2FCMAG%252B8.jpeg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-7R40CQ8860o%2FVQDRM0gTLhI%2FAAAAAAAAbqY%2F7RmxTHpv-LM%2Fs1600%2FCMAG%252B2.jpeg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)