Jaji Liundi afariki dunia
ALIYEKUWA Msajili wa kwanza wa vyama vya siasa, Jaji George Liundi, amefariki dunia juzi mchana nyumbani kwake Keko Juu jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Tanzania Daima, mtoto wa marehemu,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Jaji Liundi, Hashim Saggaf wafariki dunia
10 years ago
Mtanzania19 Aug
Jaji Makame afariki dunia
![Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Lewis Makame.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Jaji-Lewis-Makame.jpg)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Lewis Makame.
NA WAANDISHI WETU
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Lewis Makame, amefariki dunia.
Taarifa ambazo MTANZANIA ilizipata zinaeleza Jaji Makame alifariki dunia jana katika Hospitali ya AMI Trauma Center, iliyopo Masaki jijini Dar es Salaam alipokuwa akitibiwa.
Baada ya kupatikana kwa taarifa hizo, MTANZANIA lilifika nyumbani kwa marehemu Masaki ambako mmoja wa watoto wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jPrLLXuRuu7b1P5yawA8GDWJ9b2Og9sZFrdZi-cDCssDig3PmTUm2hn1IbYY6RxuB*-dBcEqBtI7IpanyGcbrbi9XtGVt5Gs/TUME.jpg)
JAJI LEWIS MAKAME AFARIKI DUNIA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JX0IOHV7zlE/Xqfaq7bIRPI/AAAAAAAC4Fk/vzhqEMKrU28Cn8jHm4BIRUGwdrH1D_Q1ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
AFARIKI DUNIA JAJI MSTAAFU AUGUSTINO RAMADHNI
![](https://1.bp.blogspot.com/-JX0IOHV7zlE/Xqfaq7bIRPI/AAAAAAAC4Fk/vzhqEMKrU28Cn8jHm4BIRUGwdrH1D_Q1ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Augustino Ramadhani amefariki dunia leo asubuhi katika Hospitali ya Aga Khan, jijini Dar baada ya kuugua maradhi ya moyo.
Familia yake imesema hali ya Jaji Ramadhani ilibadilika jana usiku na kukimbizwa hospitalini hapo ambapo mauti ilimkuta leo asubuhi. Jaji Augustino Ramadhani pia alikuwa Brigedia Jenerali kabla ya kuitwa katika sekta ya Sheria na kutumikia Mahakama.
Alipostaafu ujaji, alipewa kazi ya ukasisi, akatawazwa rasmi kuwa Mchungaji wa Dayosisi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5rbUr_lCw-4/U_H6EJYyotI/AAAAAAAGAfk/pb9Q9d8c2_I/s72-c/LewisJaji.jpg)
NEWS ALERT: Jaji Lewis Makame afariki Dunia
![](http://3.bp.blogspot.com/-5rbUr_lCw-4/U_H6EJYyotI/AAAAAAAGAfk/pb9Q9d8c2_I/s1600/LewisJaji.jpg)
taarifa kamili itakuja baadae.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LbvIYHO7SOQ/XqfTT34z4kI/AAAAAAALoZ8/NVfNifAc9kcPwBQhXxPryJA3T4SG2KzWACLcBGAsYHQ/s72-c/db2c6887-8d2e-4784-b184-f217c456f0b1.jpg)
NEWZ ALERT :JAJI AUGUSTINO RAMADHANI AFARIKI DUNIA
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMEN
![](https://1.bp.blogspot.com/-LbvIYHO7SOQ/XqfTT34z4kI/AAAAAAALoZ8/NVfNifAc9kcPwBQhXxPryJA3T4SG2KzWACLcBGAsYHQ/s1600/db2c6887-8d2e-4784-b184-f217c456f0b1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wZ95rsyc_bw/XkkKDdif_5I/AAAAAAALdj4/7nBxOExN2RUGv6QsoJhjNDzYdr-QzOWlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-16%2Bat%2B12.10.36.jpeg)
JAJI SEPETU WA MAHAKAMA KUU ZANZIBAR AFARIKI DUNIA, KUZIKWA LEO KIJIJINI KWAO MBUZINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wZ95rsyc_bw/XkkKDdif_5I/AAAAAAALdj4/7nBxOExN2RUGv6QsoJhjNDzYdr-QzOWlgCLcBGAsYHQ/s1600/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-16%2Bat%2B12.10.36.jpeg)
JAJI wa Mahakama kuu ya Zanzibar Mhe Mkusa Issack Sepetu amefariki dunia asubuhi ya leo na mjini hapa.
Kwa mujibu wa taarifa ya Afisa Habari wa Mahakama Kuu Zanzibar, asubuhi ya leo February 16, ilieza taarifa juu ya kifo hicho.
Pia inaelezwa kuwa, maziko yanataraji kufanyika leo saa 10 Kijijini kwao Mbuzini.
Enzi za uhai wake amewahi kushika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Mwanasheria mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na baadae Kaimu jaji mkuu wa Zanzibar.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-f5OD4F0fcaU/XkkFgZEs0cI/AAAAAAAAmuE/_67-noGjE6AmLIRzlx_8TbDBzOX7tu0JQCLcBGAsYHQ/s72-c/fe7cc182-8e9a-4938-a907-18314cfd9b19.jpg)
JAJI SEPETU WA MAHAKAMA KUU ZANZIBAR AFARIKI DUNIA, KUZIKWA LEO KIJIJINI KWAO MBUZINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-f5OD4F0fcaU/XkkFgZEs0cI/AAAAAAAAmuE/_67-noGjE6AmLIRzlx_8TbDBzOX7tu0JQCLcBGAsYHQ/s640/fe7cc182-8e9a-4938-a907-18314cfd9b19.jpg)
NA ANDREW CHALE, UNGUJA,ZANZIBAR
JAJI wa Mahakama Kuu ya Zanzibar Mhe Mkusa Issack Sepetu amefariki Dunia asubuhi ya leo na mjini hapa.
Kwa mujibu wa taarifa ya Afisa Habari wa Mahakama Kuu Zanzibar, asubuhi ya leo February 16, ilieleza taarifa juu ya kifo hicho.
Pia inaelezwa kuwa, maziko yanataraji kufanyika leo saa 10 Kijijini kwao Mbuzini.
Enzi za uhai wake amewahi kushika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na baadae Kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar.
11 years ago
Mwananchi17 Jan
JK, mamia wamuaga Jaji Liundi