JK, mamia wamuaga Jaji Liundi
 Rais Jakaya Kikwete, ameongoza viongozi wa Serikali na mamia ya waombolezaji kuaga mwili wa aliyekuwa msajili wa kwanza wa vyama vya siasa nchini, Jaji George Liundi, katika Viwanja vya Karimjee Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 Jan
Kikwete aongoza mamia maziko ya Liundi
RAIS Jakaya Kikwete jana aliongoza mamia ya waombolezaji katika kuuaga na maziko ya Msajili wa Kwanza wa Vyama vya siasa, George Liundi aliyeelezewa kuwa msingi wa Demokrasia nchini. Aidha, baadhi ya wanasiasa wamemwelezea Liundi kuwa muasisi wa Demokrasia, ambaye misingi yake haiwezi kuvunjika, ambaye wakati akiwa Msajili alifuata sheria na taratibu bila kuyumbishwa.
11 years ago
Habarileo13 Jan
Mamia wamuaga mwandishi wa HabariLeo
VILIO, majonzi na simanzi vilitawala jana katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kibangu, Dar es Salaam wakati mamia ya waombolezaji walipoaga mwili wa mwandishi wa Gazeti la HabariLeo, mkoani Manyara, Fortunatha Wilfred Ringo (29).
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Jaji Liundi afariki dunia
ALIYEKUWA Msajili wa kwanza wa vyama vya siasa, Jaji George Liundi, amefariki dunia juzi mchana nyumbani kwake Keko Juu jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Tanzania Daima, mtoto wa marehemu,...
10 years ago
GPLMAMIA YA WATU WAMUAGA KOMBA SONGEA
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Mamia wamuaga Balozi Kazaura Dar es Salaam
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Jaji Liundi, Hashim Saggaf wafariki dunia
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI WA MAREHEMU GEORGE LIUNDI KARIMJEE JIJINI DAR
11 years ago
CloudsFM03 Jun
11 years ago
GPLMAMIA WAMUAGA MAREHEMU ADAM KUAMBIANA VIWANJA VYA LEADERS