Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jaji Liundi, Hashim Saggaf wafariki dunia

 Taifa limepoteza watu wawili mashuhuri. Hao ni Msajili wa Kwanza wa Vyama vya Siasa Tanzania, Jaji George Liundi (78) na Mbunge wa zamani wa Dodoma Mjini, Hashim Saggaf.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Jaji Liundi afariki dunia

ALIYEKUWA Msajili wa kwanza wa vyama vya siasa, Jaji George Liundi, amefariki dunia juzi mchana nyumbani kwake Keko Juu jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Tanzania Daima, mtoto wa marehemu,...

 

11 years ago

Mwananchi

JK, mamia wamuaga Jaji Liundi

 Rais Jakaya Kikwete, ameongoza viongozi wa Serikali na mamia ya waombolezaji kuaga mwili wa aliyekuwa msajili wa kwanza wa vyama vya siasa nchini, Jaji George Liundi, katika Viwanja vya Karimjee Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Mgombea CCM, mpigakura wafariki dunia dunia ghafla

Mikoani. Mgombea uenyekiti kupitia CCM Mtaa wa Swea, Kata ya Mkolani, Nyamagana, Mwanza, Pius Mihayo amefariki dunia ghafla akiwa mtaani kwake, muda mfupi baada ya kupiga kura.

 

10 years ago

Habarileo

Hashim Mbita afariki dunia

Aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita MTUMISHI wa miaka mingi na mwanasiasa mkongwe, Brigedia Hashim Mbita amefariki dunia.

 

5 years ago

Michuzi

Hashim Salum Hashim awa Kada wa 24 kuwania kiti cha Rais wa Zanzibar.


NA ANDREW CHALE,   ZANZIBAR.MJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Hashim Salum Hashim (pichani) amekuwa Kada wa 24 kuchukua fomu ya kupata ridhaa ya chama  chake ya kuwa Rais wa Zanzibar.

Hashim Salum Hashim aliwasili majira ya saa Sita mchana na kisha kuchukua fomu hiyo na baadae alioata kuongea na waandishi wa Habari.
Akizungumza alisema:
"Nimekuwa Mwana CCM kwa muda mrefu na kwa miaka 15 nimeweza kuwa katika nyadhifa za kichama hadi sasa ikiwemo Mjumbe wa Mkutano mkuu wa CCM...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania yampoteza mtu muhimu, ni Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita aliyefariki dunia mapema leo

Marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita

Taifa likiwa katika maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanzania Bar na Zanzibar, mapema leo limepata pigo baada ya kuondokewa na mtu muhimu na aliyewahi kuwa Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita aliyefariki katika dunia majira ya asubuhi katika hospitali kuu ya Jeshi, Lugalo,  jijini Dar es salaam.

Kwa mujibu wa duru za habari kutoka familia ya...

 

10 years ago

Michuzi

JUST IN: gwiji la ukombozi wa afrika kusini brigedia jenerali hashim mbita afariki dunia leo dar es salam


Habari zilizotujia hivi punde zinasema Brigedia Jeneral Mstaafu Hashim Mbita aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), amefariki dunia asubuhi hii katika hospitali kuu ya jeshi ya Lugalo jijini Dar es salaam. 
Mzee Mbita atakumbukwa Tanzania,  bara zima la Afrika na dunia kwa jumla kama kamanda mahiri aliyeshiriki kikamilifu katika uondoshaji wa utawala wa ukoloni  barani Afrika, hususan utawala kidhalimu wa makaburu  Zimbabwe na  Afrika...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanahabari wawili wafariki dunia

Tasnia ya habari imepata simanzi baada ya waandishi wawili wa habari, Innocent Munyuku na Baraka Karashani kufariki dunia jana jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watatu wafariki dunia Pwani

MKAZI wa Kijiji cha Msolwa, wilayani Bagamoyo, Doto Paul (30), amekufa kwa kuteketea kwa moto uliotokana na radi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Ulrich Matei, alisema jana kuwa tukio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani