Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jaji Mihayo: Tunashukuru hatumo Bunge la Katiba

Mwenyekiti wa Chama cha Majaji Wastaafu (Tarja), Jaji Thomas Mihayo

Mwenyekiti wa Chama cha Majaji Wastaafu (Tarja), Jaji Thomas Mihayo

Aziza Masoud na Mauli Muyenywa, Dar es Salaam

MWENYEKITI wa Chama cha Majaji Wastaafu (Tarja), Jaji Thomas Mihayo, amesema kutokana na mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba ulivyo, chama hicho kilifanya uamuzi wa busara kukataa kupeleka mwakilishi katika Bunge hilo.

Kauli hiyo imetolewa wakati hatima ya kupatikana kwa Katiba mpya ikiwa imegubikwa na hali ya sintofahamu, kutokana na hatua ya wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Jaji Mihayo Rais mpya MCT

MKUTANO wa kumi na saba wa wanachama wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) umemchagua Jaji mstaafu Thomas Mihayo kuwa Rais Mpya wa Baraza hilo kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo.

 

11 years ago

GPL

MKOSAJI MKUU WA HAKI ZA BINADAMU NI SERIKALI - JAJI MSTAAFU MIHAYO‏

Mjumbe wa Bodi ya Mtandao wa watetezi wa Haki za Binadamu nchini (Tanzania Human Rights Defenders Coalition) Dkt. Hellen Kijo Bisimba akitoa neno la ufunguzi wakati wa warsha ya siku moja iliyowakutanisha watetezi wa Haki za Binadamu nchini na Jeshi la Polisi jijini Dar leo. Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Abdurahman Kaniki, akitoa hotuba yake ya ufunguzi kwa niaba ya IGP Ernest Mangu, kwenye warsha ya siku moja...

 

11 years ago

Mwananchi

Nape atofautiana na Jaji Warioba Bunge la Katiba

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema Bunge Maalumu la Katiba, litatekeleza majukumu yake kwa kufuata Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na si mawazo ya mtu yeyote.

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Ramadhani aeleza mipaka Bunge la Katiba

>Jaji Mkuu mstaafu, Augustine Ramadhani, amesema Bunge Maalumu la Katiba linabanwa na Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Kifungu cha 25 kufanya mabadiliko makubwa ya Rasimu ya Pili ya Katiba iliyofwasilishwa bungeni.

 

11 years ago

Dewji Blog

Jaji Bomani atoa kauli nzito Bunge la Katiba

bomani+clip

 Jaji mstaafu Mark Bomani.

Na Mwandishi wetu

Mwanasheria Mkuu wa Serikali wa zamani, Jaji mstaafu Mark Bomani, amesema Tanzania haitapata Katiba mpya hivi sasa huku akionya kwamba, amani ya nchi itavunjika iwapo jambo hilo litalazimishwa.

Kauli ya mkongwe huyo wa sheria, imekuja wakati tayari wajumbe wa Bunge maalum la Katiba, wamegawanyika pande mbili, wapo wanaotaka serikali mbili na wengine wanaosisitiza serikali tatu.

Mgawanyiko huo, uliibuka wakati wa kujadili muundo wa serikali,...

 

11 years ago

Michuzi

MTUMISHI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA AAGWA BAADA YA KUTEULIWA KUWA JAJI WA MAHAKAMA KUU NA RAIS

 Mwenyekiti wa Kamati namba moja ya Bunge Maalum la Katiba,Mhe. Ummy Ali Mwalimu akimkabidhi kadi ya hongera   mtumishi wa Bunge hilo, Mhe. Leila Mgonya katika shehere ya kumwuaga  baada ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, kuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania. Awali  Mhe. Mgonya alikuwa ni Msaidizi wa  Waziri Mkuu. Mwenyekiti wa Kamati namba moja ya Bunge Maalum la Katiba,Mhe. Ummy Ali Mwalimu akimlisha keki mtumishi wa Bunge hilo, Mhe Leila...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani