Jaji Ramadhani: Uchaguzi Mkuu 1995 ulihujumiwa
Jaji Augustino Ramadhani
Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) iliyosimamia uchaguzi wa kwanza chini ya mfumo wa wa vyama vingi vya siasa wa mwaka 1995, Jaji Augustino Ramadhani, amesema kwamba uchaguzi huo katika jiji la Dar es Salaam ulihujumiwa.
Jaji Ramadhani alibainisha hayo katika mahojiano maalum na NIPASHE nyumbani kwake jijini Dar es Salaam jana, baada ya kuulizwa kile ambacho hatakisahau katika kipindi chake cha utumishi alipokuwa NEC.
“Kitu ambacho...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 May
UCHAGUZI CCM 2015: Agustino Ramadhani Jaji Mkuu mstaafu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e0d8fddpW1Y/Xq1RDZcZbYI/AAAAAAALo1Q/RXet2-3e9YYExqZbVWuaf2_P6BeA0N7FQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-02%2Bat%2B13.52.15.jpeg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-_ZJOiM3AL7c/XqpnNtb0R5I/AAAAAAAA_s4/ydYuZNhiHtggsRlU5IUbutoRptrnzSfHQCNcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp-Image-2020-04-27-at-23.55.36-571x400.jpeg)
JAJI MKUU MSTAAFU AUGUSTINO RAMADHANI KUZIKWA JUMAMOSI
![](https://1.bp.blogspot.com/-_ZJOiM3AL7c/XqpnNtb0R5I/AAAAAAAA_s4/ydYuZNhiHtggsRlU5IUbutoRptrnzSfHQCNcBGAsYHQ/s400/WhatsApp-Image-2020-04-27-at-23.55.36-571x400.jpeg)
5 years ago
MichuziHistoria Fupi ya Jaji Mkuu Mstaafu Augustino Ramadhani
Na Alban AbdallahKwa masikitiko makubwa sana, tumepata taarifa ya msiba wa Kaka wa makaka, Retired Chief Justice, Brigadier general, the most famous Zanzibarian Christian in the Tanzanian Government History, Reverend Cannon, father, son, friend, and national hero, Augustino Ramadhani. Tunataka kutowa pole kwa mkewe, wanawe, wajukuu, na family ya Ramadhani nzima. This is a monumental loss.
Kwa niaba ya familia yangu, nataka kumzungumzia Justice Augustino Ramadhani kama nilivomfahamu mimi....
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-clrAYOLSQ-Y/VYGxE3ZxKNI/AAAAAAAAv3w/aGPhKPNvSCI/s72-c/ere.jpg)
Jaji Mkuu mstaafu Augustino Ramadhani ajitosa kuwania urais kwa tiketi ya CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-clrAYOLSQ-Y/VYGxE3ZxKNI/AAAAAAAAv3w/aGPhKPNvSCI/s640/ere.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v5j-7pZP6so/U2qV-MIkhNI/AAAAAAAFgJo/kX6coMRYZcw/s72-c/unnamed+(4).jpg)
JAJI MKUU MSTAAFU MHE. AUGUSTINO RAMADHANI ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA ADDIS ABABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-v5j-7pZP6so/U2qV-MIkhNI/AAAAAAAFgJo/kX6coMRYZcw/s1600/unnamed+(4).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZCRA-tSzyHY/XqfsTTx1ShI/AAAAAAALocY/44P8byYuKoQfgHLnuvFZ7PDHkcizN4VtgCLcBGAsYHQ/s72-c/47410160_303.jpg)
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Chadema: Uchaguzi Serikali za Mitaa ulihujumiwa
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Jaji Mwaikasu: Uchaguzi Mkuu mgumu