Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jangwani hadithi ileile

>Licha ya Jangwani kutajwa kuwa hatarishi na wakazi wake kupewa viwanja Mabwepande na kutakiwa kuhama, jana malalamiko kwa wakazi wa eneo hilo lililopo bonde la Mto Msimbazi waliendeleza malalamiko yake baada ya kuathiriwa na mvua kubwa zinazoendelea.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Ratiba ya Uchaguzi ni ileile

Serikali ya Nigeria imesema inaendelea na Ratiba ya uchaguzi ile ile

 

10 years ago

Mwananchi

Hali ileile shule za msingi Nyamarere, Bweye

Ilikuwa ni wakati mgumu kwa walimu wa Shule ya Msingi Nyamarere iliyopo mkoani Geita,  baada ya gazeti hili kuchapisha taarifa ya uhaba mkubwa  wa madarasa,  madawati na vyoo. Taarifa hiyo ilichapishwa gazetini kwa mtindo wa makala picha na kutoka siku tano mfululizo kuanzia  Januari nne hadi nane.

 

11 years ago

Mwananchi

Baraza lileile na mizigo ileile hadi 2015

>Kabla ya kutangazwa kwa Baraza la Mawaziri hivi karibuni, kulikuwa na shauku kubwa mno ya kutaka kuwafahamu wapya watakaoingia.

 

10 years ago

Mwananchi

HADITHI: Sura Mbili

Pengine unaweza kuwa mpole, mcheshi, mkarimu na anayependa watu wote na pia unaweza kuwa katili asiye na mzaha na asiyeona tabu  kutoa roho ya mtu pale apendapo.

 

10 years ago

Mwananchi

HADITHI: Sura mbili 22

Katika hadithi iliyopita tulisoma jinsi Salum Zakwa alivyomuua rafiki yake wa ndani ambaye walikuwa wakicheza pamoja mchezo wa kamari katika Hoteli ya Africo. Alishirikiana na vijana wake kina Liston na Vasco. Sasa endelea.

 

11 years ago

Mwananchi

Je, wavijua vipera vya hadithi?

Wiki iliyopita niliwadokeza wanafunzi kuwa tutajadili mada mbalimbali zinazohusu lugha ya Kiswahili.

 

10 years ago

Mwananchi

Tunadanganywa na hadithi za ‘siri ya mafanikio’

Wiki mbili zilizopita nilizungumzia kuhusu orodha ya matajiri katika Jarida maarufu la Forbes. Ukiangalia mtandao wao utagundua kuwa watu wengi duniani huutembelea kutazama nani kapanda nani kashuka katika nyanja mbalimbali.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Hadithi ya Nyumbani: usasa na ubaadae

Na Rashid Abdallah Nipitapo njiani nakutana na sura zenye bashasha, vicheko, na kila aina ya mazungumzo, hata huwezi tambua kwamba hawa watu wana yao moyoni ambayo yanawasumbua, na kila wakaapo kitako cha kutulizana basi huyasimulia kwa […]

The post Hadithi ya Nyumbani: usasa na ubaadae appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

Hadithi ya Nyangeche , eric., kijana, mhudumu, kilevi

Eric alianza kutweta kwa kijasho chembamba na kufanikiwa kuongea: “Nyangache … hapa ni nyumbani.  Pia kumbuka heshima na upendo wetu kwa Mungu.” Alitulia. Nilimtazama na kumshika mkono wake wa kulia na kumketisha katika kiti nami niliketi katika kiti kingine.Tulitazamana. Nilianza kuvunja ukimya na kusema: ”Najua nitakufa! Najua nitakufa!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani