Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, wavijua vipera vya hadithi?

Wiki iliyopita niliwadokeza wanafunzi kuwa tutajadili mada mbalimbali zinazohusu lugha ya Kiswahili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mama Salma Kikwete mgeni rasmi kwenye tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa shule za msingi

DSC_0481

Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.

DSC_0533

Na Mwandishi wetu

WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na mazoea ya kusoma vitabu kwa lengo la kuwa wagunduzi wa vitu mbalimbali.

Akizungumza  jijini Dar es Salaam,Mkurugenzi Mtendaji wa  Taasisi ya Soma, Demere Kitunga wakati wa maandalizi ya tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa Shule za msingi.

Kitunga amesema...

 

11 years ago

GPL

MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA KWANZA LA VITABU VYA HADITHI KWA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI‏

Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa. Mmoja wa watoto akionyesha kipaji chake wakati wa mazoezi kwa vitendo kupitia hadithi mbalimbali walizosoma kutoka kwenye vitabu. Na Mwandishi wetu WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na… ...

 

10 years ago

Michuzi

MTUNZI MKONGWE WA VITABU ZANZIBAR AZINDUA VITABU VITATU VYA HADITHI ZA KALE

Mtunzi mkongwe wa vitabu Zanzibar Bi. Fatma Moh’d Salim (Jinja) akionyesha vitabu vya hadithi za kale alivyovitunga, katika sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo zilizofanyika nyumbani kwake Chukwani Zanzibar. Mwandishi wa Habari wa Redio Annur Fm Kasim Khamis akimuuliza suali Bi. Fatma Jinja kuhusiana na utunzi wa vitabu vyake alivyo vizindua. Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo wakimskiliza Bi. Fatma Jinja (hayupo pichani) alipokuwa akitoa maelezo juu ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Jangwani hadithi ileile

>Licha ya Jangwani kutajwa kuwa hatarishi na wakazi wake kupewa viwanja Mabwepande na kutakiwa kuhama, jana malalamiko kwa wakazi wa eneo hilo lililopo bonde la Mto Msimbazi waliendeleza malalamiko yake baada ya kuathiriwa na mvua kubwa zinazoendelea.

 

10 years ago

Mwananchi

HADITHI: Sura Mbili

Pengine unaweza kuwa mpole, mcheshi, mkarimu na anayependa watu wote na pia unaweza kuwa katili asiye na mzaha na asiyeona tabu  kutoa roho ya mtu pale apendapo.

 

10 years ago

Mwananchi

HADITHI: Sura mbili 22

Katika hadithi iliyopita tulisoma jinsi Salum Zakwa alivyomuua rafiki yake wa ndani ambaye walikuwa wakicheza pamoja mchezo wa kamari katika Hoteli ya Africo. Alishirikiana na vijana wake kina Liston na Vasco. Sasa endelea.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Hadithi ya Nyumbani: usasa na ubaadae

Na Rashid Abdallah Nipitapo njiani nakutana na sura zenye bashasha, vicheko, na kila aina ya mazungumzo, hata huwezi tambua kwamba hawa watu wana yao moyoni ambayo yanawasumbua, na kila wakaapo kitako cha kutulizana basi huyasimulia kwa […]

The post Hadithi ya Nyumbani: usasa na ubaadae appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Tunadanganywa na hadithi za ‘siri ya mafanikio’

Wiki mbili zilizopita nilizungumzia kuhusu orodha ya matajiri katika Jarida maarufu la Forbes. Ukiangalia mtandao wao utagundua kuwa watu wengi duniani huutembelea kutazama nani kapanda nani kashuka katika nyanja mbalimbali.

 

9 years ago

Mwananchi

Hadithi ya Nyangeche , eric., kijana, mhudumu, kilevi

Eric alianza kutweta kwa kijasho chembamba na kufanikiwa kuongea: “Nyangache … hapa ni nyumbani.  Pia kumbuka heshima na upendo wetu kwa Mungu.” Alitulia. Nilimtazama na kumshika mkono wake wa kulia na kumketisha katika kiti nami niliketi katika kiti kingine.Tulitazamana. Nilianza kuvunja ukimya na kusema: ”Najua nitakufa! Najua nitakufa!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani