Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Januzaj arejea Man United akitokea Dortmund kwa mkopo

JS44142810

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Manchester United inaripotiwa kumrudisha Adnan Januzaj (pichani) aliyekuwa akichezea Borussia Dortmund ya Ujerumani kwa mkopo.

Man United imefikia uamuzi wa kumrudisha mchezaji huyo raia Ubelgiji baada ya wachezaji wanaowatumia kama mawinga wa kikosi hicho kuonekana kushuka kiwango na hivyo kumrudisha Janujaz ili aongeze nguvu katika kikosi hicho.

Mmoja wa wachezaji wa United ambae anaonekana kushuka kiwango ni Mephis Depay ambaye awali wakati anasajiliwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Man United kwa Bayern, Chelsea kwa PSG

>Manchester United wametupwa kwa mabingwa watetezi  Bayern Munich katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa, huku Chelsea wakipangwa na Paris St-Germain.

 

10 years ago

Bongo5

Rio Ferdinand apewa zawadi na Sir Bobby Charlton kwa kuitumikia Man United kwa miaka12

Beki wa zamani wa timu ya taifa ya England na Manchester United, Rio Ferdinand jana alizawadiwa tuzo ya heshima kwa kuitumikia timu yake hiyo ya zamani ya Manchester United kwa miaka 12 kabla ya kuhamia QPR msimu huu. Gwiji wa Manchester United, Sir Bobby Charlton ndiye alimkabidhi zawadi hiyo. Tukio hilo lilifanyika kabla ya mechi […]

 

10 years ago

GPL

5 years ago

Mirror Online

Man Utd target Jude Bellingham 'a signature away' from completing Dortmund transfer

Man Utd target Jude Bellingham 'a signature away' from completing Dortmund transfer  Mirror OnlineTransfer news and rumours LIVE: Man Utd in touch with Sancho's agent  Goal.comBorussia Dortmund's Jadon Sancho keen on Manchester United transfer  The Peoples Person‘Tearing it up’: Harry Kane impressed with reported £120m Liverpool target  HITC - Football, Gaming, Movies, TV, MusicReport: Jadon Sancho keen on leaving Dortmund Today 0:16  Bulinews.comView Full coverage on Google...

 

11 years ago

Mwananchi

Van Gaal aanza kwa kishindo Man United

Van Gaal alitumia mtindo ule ule ulimsaidia kuifikisha Uholanzi katika hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia nchini Brazil.

 

11 years ago

GPL

MATA ATUA MAN UNITED KWA ADA YA £37M

Juan Mata. MANCHESTER United imekubali kulipa ada ya pauni milioni 37 ambayo ni rekodi kwa klabu ili kumnasa Juan Mata kutoka Chelsea na hii inasaidia kidogo kupoza machungu ya kutolewa Capital One Cup. Bosi wa Chelsea Jose Mourinho ameidhinisha dili hilo baada ya mazungumzo na maofisa wa klabu na sasa Mata anategemewa kufanya vipimo vya afya jijini Manchester kesho Alhamisi. Mtendaji mkuu wa Manchester United amekubali kuvunja...

 

10 years ago

Africanjam.Com

TAARIFA NJEMA KWA MASHABIKI WA MAN UNITED KUHUSU 'DAVID DE GEA'

Hii haiwezi kuhitimisha tetesi za David De Gea kujiunga na Real Madrid majira haya ya kiangazi, lakini inatia moyo kwa kiasi kikubwa hususani kwa mashabiki wa Manchester United.Leo Gazeti la Marca (tazama picha chini) limekuja na stori kwenye ukurasa wake wa Mbele ikiwa na picha ya David De Gea na Bosi wa Manchester United, Lois van Gaal yenye kichwa cha habari  “Siempre Negativo” – “Always Negative”.De Gea amebakiza mwaka mmoja katika mkataba wake Man United na kwa miezi mingi amekuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani