JAPO KUNA PENGO LA BABU NJENJE ANAYEUMWA, THE KILIMANJARO BAND INAENDELEA KUTAMBA
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-83KYd1SYlJI/XsoIHRbRlAI/AAAAAAALraI/rsxTY1qQkfk8cywehjrsx3RWW0C8Ua8RwCLcBGAsYHQ/s72-c/NJE.jpg)
TANZIA : BABU NJENJE AMEFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-83KYd1SYlJI/XsoIHRbRlAI/AAAAAAALraI/rsxTY1qQkfk8cywehjrsx3RWW0C8Ua8RwCLcBGAsYHQ/s640/NJE.jpg)
Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii asubuhi hii inaeleza kuwa, Mwanamuziki mkongwe wa Bendi ya Kilimanjaro maarufu kama wana njenje, Mabrouk Hamis Omar almaarufu kama Babu Njenje amefariki dunia leo jijini Dar es salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Akizungumza nasi kwa njia ya simu, Mmoja wanamuziki wa bendi hiyo, John Kitime amesema "Ni kweli Babu Njenje amefariki na sasa naelekea pale alipokuwa akiishi, Mtaa wa Mindu Upanga ambapo taratibu zitafanyika".
Babu Njenje atakumbukwa kwa...
5 years ago
BBCSwahili25 May
Mfahamu msii nguli wa Tanzania Babu Njenje
Babu Njenje alipata umaarufu mkubwa katika bendi yake ya The Kilimanjaro Band
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xoxC5oATa-A/U_jDeCOTzZI/AAAAAAAGBz8/uwaWIfr1jPQ/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
Wasanii wa serengeti fiesta Tanga wamjulia hali Babu njenje, Tanga, leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-xoxC5oATa-A/U_jDeCOTzZI/AAAAAAAGBz8/uwaWIfr1jPQ/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-k1_XFxoFWUo/U_jDeuME7QI/AAAAAAAGB0I/8CC0pikm1Ok/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7izIGSA3bZs/XtQaUY71ZuI/AAAAAAALsK4/dNGeyNtZAjcjDSRMFPpFwSyQHd6Hj7l4ACLcBGAsYHQ/s72-c/n1.jpg)
THE KILIMANJARO TWINS, REVOLUTIONS AND GRANDPA NJENJE - EULOGY
![](https://1.bp.blogspot.com/-7izIGSA3bZs/XtQaUY71ZuI/AAAAAAALsK4/dNGeyNtZAjcjDSRMFPpFwSyQHd6Hj7l4ACLcBGAsYHQ/s1600/n1.jpg)
The time and setting had to be three decades of exhilarating fun; the rocking sixties, the rolling seventies and the swinging eighties. Nonetheless the time monocle focus is on the early nineteen eighties, The Revolutions (also formerly known as the Lovebugs), as they were originally known, embarked on an adventurous trip, almost an exodus, from Tanga to Dar es salaam, accompanied by the band owner and guitarist, a Goan lad (Joseph??? Oohh forgotten his name) who later migrated to Europe and...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ZNpqg_PZaR8/XsuIEVR0uOI/AAAAAAACLmk/ef5o1ClnYTMd_ryqy51q9pvw6QjI6KWWgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200525_115223.jpg)
PUMZIKA KWA AMANI BABU NJENJE, TUTAENDELEA KUKUKUMBUKA KWA SAUTI YAKO MARIDHAWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZNpqg_PZaR8/XsuIEVR0uOI/AAAAAAACLmk/ef5o1ClnYTMd_ryqy51q9pvw6QjI6KWWgCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200525_115223.jpg)
Babu Njenje amefariki leo alfajiri baada ya kuugua kwa muda mrefu. Alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kupooza mwili.
Hadi mauti yalipomchukua, Babu Njenje alikuwa mwimbaji wa bendi ya The Kilimanjaro.
Kwa mujibu wa John Kitime, ambaye ni mmoja wa wanamuziki wa kundi hilo, msiba upo mtaa wa Mindu, Upanga, ambako Babu Njenje alikuwa akiishi.
Babu Njenje...
10 years ago
VijimamboAskofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo hali ya afya yake inaendelea kuimarika
Na Goodluck Eliona, Mwananchi Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema kuwa hali ya afya yake inaendelea kuimarika. na kuwataka waumini kuendelea kumwombea.Akizungumza kwenye Misa Takatifu ya Mavuno na shukurani kwa jimbo hilo, iliyofanyika jana Msimbazi Center jijini Dar es Salaam, Pengo alisema ameamua kuitumia siku...
10 years ago
Bongo515 Aug
Babu Tale: Sidhani kama kuna beef kati ya Diamond na Alikiba
Meneja wa Diamond, Babu Tale amesema haoni kama kuna beef kati ya msanii wake na Alikiba bali ni ushindani wa kibiashara. “Mimi sidhani kama Diamond na Ali Kiba wana beef, ni biashara, challenging,” Tale amekiambia kipindi cha Sunrise cha Times FM. “Sijawahi kuona wanagombana katika maisha yangu. Watu wanaoandika nyuma wanaandika kwa sababu wanaamua kuandika […]
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Pamoja na takwimu kuonyesha uchumi wa Tanzania unakua, bado kuna pengo kubwa kati ya maskini na matajiri
Kwa mwaka wa tano mfufulizo, Emmanuel Mhimba amekuwa akiwekeza nguvu nyingi katika kilimo cha mpunga akitarajia mafanikio makubwa.
10 years ago
Dewji Blog06 May
Wimbo mpya wa wasanii wazawa wa Kilimanjaro wakielezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro — “Kilimanjaro”
Wimbo unaelezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro, na uzuri wa Mkoa wa kilimanjaro.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania