Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JAPO KUNA PENGO LA BABU NJENJE ANAYEUMWA, THE KILIMANJARO BAND INAENDELEA KUTAMBA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TANZIA : BABU NJENJE AMEFARIKI DUNIA



Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii asubuhi hii inaeleza kuwa, Mwanamuziki mkongwe wa Bendi ya Kilimanjaro maarufu kama wana njenje, Mabrouk Hamis Omar almaarufu kama  Babu Njenje amefariki dunia leo jijini Dar es salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu. 
Akizungumza nasi kwa njia ya simu, Mmoja wanamuziki wa bendi hiyo, John Kitime amesema "Ni kweli Babu Njenje amefariki na sasa naelekea pale alipokuwa akiishi, Mtaa wa Mindu Upanga ambapo taratibu zitafanyika". 
Babu Njenje atakumbukwa kwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mfahamu msii nguli wa Tanzania Babu Njenje

Babu Njenje alipata umaarufu mkubwa katika bendi yake ya The Kilimanjaro Band

 

10 years ago

Michuzi

Wasanii wa serengeti fiesta Tanga wamjulia hali Babu njenje, Tanga, leo

 Msanii mkongwe wa muziki wa dansi Mabrouk Omar a.k.a Babu  Njenje (kushoto), akiongea na wasanii wa muziki wa kizazi kipya walipomtembelea nyumbani kwake mjini Tanga , msanii huyo kwa sasa anasumbuliwa na matatizo ya kiafya. Wasanii hao wapo katika msafara wa tamasha ya Serengeti fiesta ambapo kwa mjini hapo linafanyika katika Uwanja wa Mkwakwani. Mkurugenzi wa  Uzalishaji  na Vipindi wa Clouds Media, Ruge Mutahaba (kushoto) na Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney wakiteta na  Masanii...

 

5 years ago

Michuzi

THE KILIMANJARO TWINS, REVOLUTIONS AND GRANDPA NJENJE - EULOGY



The time and setting had to be three decades of exhilarating fun; the rocking sixties, the rolling seventies and the swinging eighties. Nonetheless the time monocle focus is on the early nineteen eighties, The Revolutions (also formerly known as the Lovebugs), as they were originally known, embarked on an adventurous trip, almost an exodus, from Tanga to Dar es salaam, accompanied by the band owner and guitarist, a Goan lad (Joseph??? Oohh forgotten his name) who later migrated to Europe and...

 

5 years ago

CCM Blog

PUMZIKA KWA AMANI BABU NJENJE, TUTAENDELEA KUKUKUMBUKA KWA SAUTI YAKO MARIDHAWA

Mmoja wa wanamuziki mahiri nchini na mwenye sauti yenye mvuto, Mabrouk Hamis Omar, maarufu Babu Njenje(pichani), ametangulia mbele ya haki.

Babu Njenje amefariki leo alfajiri baada ya kuugua kwa muda mrefu. Alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kupooza mwili.

Hadi mauti yalipomchukua, Babu Njenje alikuwa mwimbaji wa bendi ya The Kilimanjaro.

Kwa mujibu wa John Kitime, ambaye ni mmoja wa wanamuziki wa kundi hilo, msiba upo mtaa wa Mindu, Upanga, ambako Babu Njenje alikuwa akiishi.

Babu Njenje...

 

10 years ago

Vijimambo

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo hali ya afya yake inaendelea kuimarika

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo 
  Na Goodluck Eliona, Mwananchi Dar es Salaam.  Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema kuwa hali ya afya yake inaendelea kuimarika. na kuwataka waumini kuendelea kumwombea.Akizungumza kwenye Misa Takatifu ya Mavuno na shukurani kwa jimbo hilo, iliyofanyika jana Msimbazi Center jijini Dar es Salaam, Pengo alisema ameamua kuitumia siku...

 

10 years ago

Bongo5

Babu Tale: Sidhani kama kuna beef kati ya Diamond na Alikiba

Meneja wa Diamond, Babu Tale amesema haoni kama kuna beef kati ya msanii wake na Alikiba bali ni ushindani wa kibiashara. “Mimi sidhani kama Diamond na Ali Kiba wana beef, ni biashara, challenging,” Tale amekiambia kipindi cha Sunrise cha Times FM. “Sijawahi kuona wanagombana katika maisha yangu. Watu wanaoandika nyuma wanaandika kwa sababu wanaamua kuandika […]

 

11 years ago

Mwananchi

Pamoja na takwimu kuonyesha uchumi wa Tanzania unakua, bado kuna pengo kubwa kati ya maskini na matajiri

Kwa mwaka wa tano mfufulizo, Emmanuel Mhimba amekuwa akiwekeza nguvu nyingi katika kilimo cha mpunga akitarajia mafanikio makubwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wimbo mpya wa wasanii wazawa wa Kilimanjaro wakielezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro — “Kilimanjaro”

IMG-20150506-WA0008

Wimbo unaelezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro, na uzuri wa Mkoa wa kilimanjaro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani