Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jasmine Mussa apongezwa katika mahafali ya kumaliza High School Md.

IMG_8279Bi.Jasmine Mussa akiwa mwenye furaha kubwa baada ya sherehe graduation yake ya kumaliza High school iliyofanyika huko Marriott Hotel Gaithersburg Md sasa akijiandaa kwenda Chuo cha Kent State Ohio. IMG_8280Dorris Puja mama mzazi. IMG_8347Wanafamilia wote wa Puja na Mussa wakipata kumbu kumbu ya pamoja. IMG_8321Mzee Puja aliyekuja kushuhudia graduation ya mjukuu wake akitokea Canada. IMG_8234Mtaalam steve Jr. IMG_8229Mr&Mrs Msungu. IMG_8292Umi Mbega anti wa Jasmine kutoka Columbus ohio. IMG_8242Robert,Joyce na mtoto wao Aida. IMG_8299
Sunday akiwa na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

LILIANI KIBO HIGH SCHOOL YA GOBA, DAR, YAFANYA MAHAFALI

Wahitimu wa kidato cha sita wa Lilian Kibo High School wakati wa mahafali. Mwanafunzi bora katika masomo ya sayansi, Alkhadil Issa akipokea zawadi.…

 

9 years ago

Michuzi

BRIGHT ANGEL HIGH SCHOOL YAFANYA MAHAFALI YA SABA YA KIDATO CHA NNE MWISHONI MWA WIKI.

Kushoto ni Mwanafunzi wa shule ya Sekondari ya Bright Angel High School, Ajay Mohamed akiwa na mwanafunzi mwenzake katika shule hiyo. Kutoka kulia ni Mkuu wa shule ya Bright Angel High School, Angribeth Nkwera katikati ni Mgeni rasmi katika mahafali ya saba katika shule ya Bright Angel High School, Innocent Banzi na Bi.Yasinta Mwinuka wakiwa angalia wanafunzi wa shule hiyo wakati wakitumbuiza katika mahafali hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki mkoani Pwani. Mkuu wa shule ya Bright Angel High...

 

11 years ago

Michuzi

MAHAFALI YA TATU YA SHULE YA SEKONDARI YA KAJUMULO GIRLS HIGH SCHOOL BUKOBA YAFANA, BW. JAMES RUGEMALIRA ATOA MILLIONI 200/-


wahitimu wa kidato cha sita wa shule ya Kajumulo Girls High School wakati wa kusherekea mahafali ya tatu Wanafunzi wa Kajumulo Girls High School wanaohitimu kidato cha 6 wakati wa kusherekea mahafali ya tatu katika shule yao. Prof. Anna Tibaijuka kwa furaha akitoa neno. Kwa niaba ya Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea na Mwana hisa wa “VIP Engineering and Marketing Ltd” Mzee James Rugemalira aliyependa kuwa nasi leo lakini akashindwa kutokana na majukumu mengine, tunayo furaha...

 

9 years ago

ABC Online

Revisiting the School of St Jude, the Tanzanian high school Australians helped ...


ABC Online
Revisiting the School of St Jude, the Tanzanian high school Australians helped ...
ABC Online
As a journalist, it is not often you get to see a tangible example of the effect your work can have. Sometimes you hope that a particular story will achieve something — expose an injustice or bring about much-needed change, but most of the time, the ...

 

5 years ago

Michuzi

Kamishna Dkt Mussa Ali Mussa afungua kikao cha kujadili uhalifu unaovuka mipaka

 Kamishna wa Ushirikishwaji wa Jamii Dkt, CP Mussa Ali Mussa (katikati) akiingia katika ukumbi wa Hotel ya Landmark Kunduchi Jijini Da es Salaam alipokwenda kufungua mkutano wa kujadili na kupanga mikakati ya kuzuia makosa yanayovuka mipaka. Mkutano huo umeshirikisha nchi wanachama 16 kutoka shirikisho la Wakuu wa Polisi wa Nchi za Mashariki mwa Afrika ( EAPCCO). Kulia ni Mkuu wa ofisi za Interpol Mashariki mwa Afrika, Gedion Kimilu. Kushoto ni Mratibu wa Mafunzo wa Chuo cha Masomo ya...

 

9 years ago

Michuzi

MAHAFALI YA 14 YA TANZANIA ADVENTIST SECONDARY SCHOOL ARUSHA YAFANA


 Meza kuu ikitambulishwa  katika mahafali ya 14 ya Kidato cha Nne ya Tanzania Adventist Secondary School iliyoko  Arusha,  Jumapili iliyopita.  Mgeni rasmi Brigedia Jenerali George Mshamba akitoa nasaha katika mahafali ya 14 ya Kidato cha Nne ya Tanzania Adventist Secondary School iliyoko  Arusha,  Jumapili iliyopita.
 Wahitimu wa Kidato cha Nne wa Tanzania Adventist Secondary School iliyoko  Arusha  katika mahafali ya 14 ya shule hiyo yaliyofana sanja Jumapili iliyopita. Wa kwanza kushoto na...

 

10 years ago

Michuzi

mahafali ya Shemssah Junior Nursery School na ziara ya wanafunzi fun city

Wanafunzi wa Shemssah Junior Nursery School iliyopo Karakata Uwanja wa Ndege Jijini Dar es Salaam wakiwa katika ziara ya kimasomo ufukwe wa Bahari, Funy City Kigamboni pamoja na mahafali yao ikiwa kusheherekea kumaliza elimu ya awali. Shule hii ipo chini ya Mwalimu Aisha Juma Kibukillah Mmoja wa  Wanafunzi wa Shemssah Junior Nursery School akipokea cheti toma kwa mgeni rasmiBaadhi ya Wanafunzi wa Shemssah Junior Nursery School wakiwa Fun City, KigamboniWanafunzi wa Shemssah Junior Nursery...

 

10 years ago

TheCitizen

I want to drop out of high school

I really empathise with you but I suspect there is a much bigger problem that you are not telling us. Could it be that you have not finished the holiday assignment they gave you? Confront the issue head on. Dislike for school could be due to a bad spirit that wants to drown you in the sea of ignorance. Please go and see a pastor so that they pray for you. I’m sure you will get well and resume your liking for studies.

 

9 years ago

Michuzi

MAHAFALI DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI YA ST.MARY'S INTERNATIONAL SCHOOL JIJINI MBEYA

Wanafunzi wa shule ya Kimataifa ya St.Mary's iliyoko eneo la Forest jijini Mbeya wakitoa burudani katika mahafali ya Darasa la saba katika shule hiyo yaliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini humo.Wahitimu wa Elimu ya Msingi katika shule ya Kimataifa ya St.Mary's Forest Jijini MbeyaWazazi na waleziUongozi wa shule ukitoa zawadi kwa wanafunzi walifanya vizuri katika masomo yao kwa upande wa wanafunzi wote kwa ujumla waliobaki shuleni hapo.
Kwa picha zaidi na Jamiimoja blog BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani