Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je Aspirin inazuia kurejea kwa Saratani ?

Utafiti mkubwa na wa kwanza kubaini iwapo umezaji wa Aspirin kila siku unapunguza kurejea kwa saratani umeanza huko Uingereza

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Aspirin na Ibuprofen hupunguza saratani

Utumizi wa aspirin na Ibuprofen unapunguza hatari ya kushikwa na saratani ya utumbo mkubwa

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yaadhimisha Siku ya Saratani Duniani na Watoto wenye Saratani Hospitali ya Taifa Muhimbili


exim1 Mkuu wa matawi wa Benki ya Exim, Bi. Elizabeth Mayengoh, akikabidhi vitabu kwa mmoja wa watoto waliolazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwenye wodi maalum ya watoto wanaougua ugonjwa wa saratani katika kuadhimisha siku ya saratani duniani. Wanaoshudia ni baadhi ya wafanyakazi wa benki ya Exim na wazazi wa watoto hao. Benki hiyo ilikabidhi vifaa mbalimbali vikiwemo vyakula, vifaa vya kuchezea, sabuni, vifaa vya shule nk, lengo likiwa ni kujenga...

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete azindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wananchi wakati akizindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora, katika uwanja wa Chipukizi mkoani humo. Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na baadhi ya akina mama wa Tabora. Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Dkt. Joseph Komwihangiro, Mkurugenzi wa Marie Stopes kwa kuwa mstari wa mbele katika huduma na elimu za mzazi wa mpango Jumamosi Mei 7, 2014 wakati akizindua ...

 

5 years ago

Michuzi

TTB YAFURAHISHWA NA KUREJEA KWA SAFARI ZA SHIRIKA LA NDEGE LA QATAR

Ndege ya shirika la Qatar punde baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es salaam.


Mgeni akipimwa joto la mwili punde aliposhuka kutoka katika ndege

Wageni wakisimama kwa kusingatia alama zinazowaongoza kusimama umbali wa mita moja zilizowekwa na uongozi wa JNIA

Mizigo yz wageni ikipuliziwa dawa kabla ya kuruhusiwa kuzunguka katika mashine ya kusambazia mizigo.



Wageni wakisubiri mizigo yao kwa kufuata utaratibu wa kusimama umbali wa mita moja....

 

9 years ago

Bongo5

Huyu ndiye aliyesaidia kurejea kwa urafiki wa Hermy B na AY & FA

12301206_416545988542834_2103460087_n

Hermy B na Mwana FA wameingia tena studio baada ya miaka mingi kutofanya hivyo na kuachia wimbo mpya ‘Asanteni kwa Kuja.’

12301206_416545988542834_2103460087_n

Hivi karibuni pia AY na Hermy B wamekuwa karibu zaidi kama ilivyokuwa zamani baada ya kutokea kutokuelewana mwaka 2012 kulikodumu kwa miaka miwili.

Hata hivyo Mwana FA jana alimtaja mtu aliyesaidia kuwapatanisha. Ni Josh Murunga, producer wa kipindi cha Mkasi.

Akiongea kwenye XXL ya Clouds FM, FA alisema Josh aliwasihi maswahiba hao kuziacha tofauti zao na warejeshe...

 

9 years ago

Bongo5

Irene Uwoya kurejea kwenye movie kwa style hii

11352128_823123387807063_106497935_n

Irene Uwoya amerudi rasmi katika filamu baada ya kumaliza pilika pilika za uchaguzi ambapo ametangaza deal kwa vijana wapya katika filamu.

11352128_823123387807063_106497935_n

Kupitia ukurasa wa Instagram, Irene ameandika:

Habari zenu wapendwa!kuna movie mpya naaandaa…tunahitaji wasanii wapya wakike na wakiume…ambao hawajawah kuigiza!kunamaswali tutauliza ukipita utaitwa kwajili ya form na mahojiano zaidi…..swali la kwanza!ntajie wasaniii watatu wanao kuvutia na kwanin?

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi...

 

9 years ago

Mwananchi

Saratani inavyoenezwa kwa samaki waliokaushwa kwa moshi wa plastiki

Njia za jadi za kuhifadhi samaki na nyama kwa muda mrefu ni kukausha kwa moshi. Ingawa kwa sasa dunia imepiga hatua kubwa katika teknolojia ya kuhifadhi vyakula kwa njia za kisasa kama vile matumizi ya majokofu na usindikaji, baadhi ya watu hasa katika maeneo ya vijijini bado wanatumia njia ya kuhifadhi samaki na nyama kwa kuzikausha kwa kutumia moshi.

 

11 years ago

Michuzi

KAMATI YA MASHAURIANO YATOA WITO KWA WAJUMBE WALIOSUSIA MIKUTANO YA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUREJEA BUNGENI

Katibu wa Bunge Maalumu  la Katiba,Yahya Khamis Hamad akizungumza na Wanahabari mapema leo mchana katika ofisi ndogo ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dar,kuhusiana na maoni na ushauri wa kikao cha kamati ya Mashauriano ya Bunge maalum la katiba kilichofanyika jana julai,24,2004 katika Ofisi ndogo za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dar.Mh. Yahya alisoma taarifa hiyo kwa niaba ya Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba,Mh. Samuel Sitta.Baadhi ya Wanahabari kutoka...

 

9 years ago

Michuzi

TAIFA STARS KUREJEA NCHINI LEO, YATARI KWA MTANANGE DHIDI YA MBWEHA WA JANGWANI JUMAMOSI HII

Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager inarejea leo nyumbani kwa shirika la ndege la Fastjet, ambapo inatarajiwa kuwasili uwanja wa JK Nyerere majira ya saa 12 kamili jioni.
Stars iliyokuwa imeweka kambi nchini Afrika Kusini kwa takribani siku 10, inarejea nyumbani ikiwa imefanya mazoezi vizuri kujiandaa na kuwakabili Mbweha wa Jangwani Algeria siku ya Jumamosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Akiongelea kuhusu kambi kocha wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani