Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je Nguo kuukuu zinatoka wapi ?

Je unafahamu nguo kuu kuu zinatoka wapi ?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Pesa za kukabiliana na janga la virusi vya corona zinatoka wapi?

Nchi tajiri zinatoa pesa za kukabiliana na janga virusi vya corona. Lakini je zinatoka wapi?

 

11 years ago

Mwananchi

Gari kuukuu lazusha tafrani bungeni

Maofisa usalama wa Bunge wakishirikiana na Jeshi la Polisi jana saa 3:40 asubuhi walilizingira gari moja la Serikali lililokuwa limeegeshwa ndani ya eneo la Bunge.

 

11 years ago

Vijimambo

JE UNATAKA KUJUA WEMA SEPETU KAZALIWA MWAKA GANI, WAPI NA KASOMA WAPI! SOMA HAPA

wema sepetu bongoclan.co.tzAkiwa mmoja kati ya wanadada wanofanya vizuri sana kwenye Tasnia hii ya Bongo Movies ,Wema Sepetu ni msichana  anayetoka kwenye Familia ya kibalozi ni mtoto wa mwisho katika familia ya wasichana wanne wa Balozi Isaack Sepetu Ibrahimu.Ana sura na umbo zuri sana, na mvuto mkubwa sana kutokana na rangi yake nzuri ya ngozi. Wema sepetu alizaliwa mnamo mwaka 1988 katika hospitali ya ST. Andrew’s jijini Dar es Salaam na ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia yao yenye watoto wanne wa kike.wema sepetu bongoclan.co.tz..

 

10 years ago

GPL

SAJENTI, SIASA NA MALEZI YA MTOTO WAPI NA WAPI?

MAISHA ya Kibongo kwa kweli ni magumu sana. Kuna msemo mmoja maarufu sana mtaani unaosema kuwa bora jana kuliko leo, wakimaanisha angalau jana walikuwa na uhakika, hawajui leo itakuwaje. Vijana wako bize kutafuta hela kwa kila mbinu, wenye haraka wakitumia silaha, ushirikina na hata utapeli, ili mradi kila mmoja anajitahidi kuhakikisha maisha yake ya leo yanakwenda sawa, huku akijiweka vizuri kuishika kesho yake isiingie...

 

10 years ago

GPL

BELLA: KILA NIKIBEBA MIMBA ZA KALAMA ZINATOKA

Miss Ruvuma 2006, Isabela Mpanda. Hamida Hassan Miss Ruvuma 2006, Isabela Mpanda amesema kuwa kila anapotega ili apate mimba ya mchumba wake, Karama Bakari ‘Luteni Karama’ zinatoka kitendo ambacho kinamkosesha sana amani. Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi kwa sasa, Bella mwenye watoto wawili wakubwa alisema amekuwa akihangaika kuhakikisha anazaa na mpenzi wake huyo lakini ndoto zake zimekuwa zikiyeyuka kwa kuharibika...

 

5 years ago

Michuzi

MANYANYA AAGIZA BIDHAA ZA SAMAKI ZOTE ZINAZIUZWA NJE YA NCHI KUWEKEWA ALAMA ILI KUONYESHA KUWA ZINATOKA TANZANIA

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Mhandisi Stella Manyanya{kushoto} akiwaonesha watanzania samaki aliyechakatwa na kiwanda Tanzania Fish Processors Ltd kilichopo mwanza kwa ajiri ya kusafirishwa na kuuzwa katika nchi mbalimbali.

Wafanyakazi wa kiwanda cha kuchakata samaki cha Tanzania Fish Processors Ltd wakiendelea na kazi ya uchakataji wa samakiwanaosafirishwa na kuuzwa katika nchi mbalimbali
Picha na Eliud Rwechungura – Wizara ya viwanda na Biashara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani