Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, umewahi kula mishikaki ya chura?

Mishikaki ya chura ni mitamu kuliko ya samaki au nyama ya ng'ombe? Wananchi wengi wa Nigeria hawashawishiki kuila

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UMEWAHI KULA ADA?

MAMBOZ maanko? Nina matumaini kuwa hali zenu ni njema na mnaendelea vizuri na likizo. Zamani nilipokuwa kama nyinyi, nilikuwa naamini wakati wa likizo ni full kuzurura, yaani mapumziko kwelikweli, hakuna kugusa tena kitu kinaitwa daftari wala kitabu. Kumbe nilibugi meeeen, kwa sababu huu ndiyo wakati mzuri sasa wa kujisomea kwa utulivu.
Sisi enzi zile tuko shule, walimu wetu walitupima kwa test kila wakati tulipofungua....

 

10 years ago

BBCSwahili

Umewahi kula konokono?

Mfanyabiashara mmoja nchini Kenya ameanzisha kampeni kali ya kufuga konokono Afrika Mashariki

 

10 years ago

Dewji Blog

Umewahi kula ‘Donut’!!! Angalia hapa zipo bora kutoka maduka ya Donut Amerika!!

The 33 Best Donut Shops in AmericaBy: Kevin Alexander and Liz Childers. Photo: Sara Norris/Thrillist

If the donut was becoming newly hip again last year during our first compendium of the best donut shops across the country, it is a full-blown trend now, as artisanal donut shops have risen up like those magical yeasty treats all across America. And though, at times, it can start to feel like the Great Cupcake Trend of 2010, we think the donut revolution has stronger legs to stand on, because – unlike the cupcake – it is not...

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta aja na ‘falsafa’ ya chura

Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amechaguliwa kwa kishindo kuliongoza Bunge Maalumu la Katiba, huku akisema kuchaguliwa kwake ni sawa na kumrudisha chura kwenye dimbwi la maji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapata chura ndani ya mkebe wa tomato

Mtu na mkewe waliokuwa wakiandaa chakula cha mchana walipigwa na butwaa walipopata chura kilichokuwa kimekufa ndani ya mkebe wa tomato.

 

10 years ago

Habarileo

Ajifungua mtoto mwenye sura ya chura

Kitanda cha Upasuaji.MKAZI wa kijiji cha Chibwechangula –Behelo katika wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Ruth Matonya (26) amejifungua mtoto wa ajabu ambaye nusu ya sura yake inafanana na binadamu na nusu ikifanana na chura.

 

10 years ago

GPL

WAWEKEZAJI WA KICHINA WANAVYOCHOMA MISHIKAKI TANZANIA

UWEKEZAJI wa Wachina nchini Tanzania umelalamikiwa na wananchi kwa watu hao  kufanya biashara za rejareja kama vile kuchoma mishikaki, kuuza nguo, simu na vitu vingine mitaani, jambo ambalo linawanyima fursa  wenyeji wasio na uwezo wa biashara kubwa. Katika maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam si ajabu kukutana na baadhi ya Wachina wakiwa na biashara mikononi kama wafanyabishara wadogo nchini humo maarufu kama...

 

10 years ago

GPL

PICHA YA DIAMOND AKILA MISHIKAKI GUMZO

Stori: Musa Mateja
PICHA ya staa wa Nasema Nao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ inayomuonesha akila mishikika uswahilini imezua gumzo la aina yake mitandaoni. Staa wa Nasema Nao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akila mishikika uswahilini. Picha hiyo ambayo ilipigwa mwaka mmoja uliopita maeneo ya Tip Top, Manzese jijini Dar, imeibua mjadala mpya juzikati kwenye mitandao ya kijamii ambapo wengine walimpongeza kwa kitendo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani