Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, unajua kinachomfanya mwanaume apende ?

Je, wewe kama mwanaume, unajua kinachokufanya upende? Kitu gani hukufanya umpende mwanamke mmoja na usimpende mwingine? Je, umewahi kustajabu kwa nini ndugu yako au rafiki yako anampenda mwanamke fulani ambaye wewe unaona hana mvuto wowote unaomfanya astahili kupendwa?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kumsaidia mwanao apende kusoma

Kumfundisha mwanao kusoma ni jambo muhimu sana katika maisha yake. Pamoja na ukweli kuwa kila mtoto ni wa kipekee, kuna mwongozo wa jumla kwa watoto wote, unaowasaidia kusoma.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je unajua faida ya gugumaji ?

Gugumaji imelaumiwa kwa kuwanyima wavuvi kitega uchumi wao lakini bwana mmoja sasa anajikimu maisha yake kutokana nayo.

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Je, unajua maana ya akili?

Siku moja niliwakuta walimu watatu wakibishana kuhusu uwezo wa wanafunzi wao. Mmoja alisema John ana akili zaidi kuliko Ali.

 

11 years ago

Michuzi

UNAJUA ASILI YA JINA IRINGA?

Jina Iringa lilitokana na neno la Kihehe "Lilinga" ambalo tafsiri yake kwa Kiingereza ni Observation Post. Wahehe walianzisha lilinga sehemu hii ilipo Iringa ya sasa, ilikuweza kuwaona maadui kwa urahisi na kuweza kutoa taarifa za kulinda Ikulu iliyokuweko Kalenga. Wajerumani walijenga Boma juu ya kilima hicho hicho baada ya ushindi uliopatikana baada ya kupigana na Wahehe kwa mara ya pili. Katika pambano la kwanza Wajerumani chini ya Von Zelewiski waliuwawa wote akabakizwa mmoja akatoe...

 

11 years ago

BBCSwahili

Je unajua kwamba Samaki hasahau?

Wanasayansi wamegundua kwamba, baadhi ya Samaki wanaweza kuhifadhi taarifa kuhusu mazingira yao

 

11 years ago

Mwananchi

Je, unajua jinsi ya kuwalea vijana? -2

Wiki iliyopita tuliwaletea sehemu ya kwanza ya jinsi ya kuwalea vijana, leo tunaendelea ambapo tutakamilisha mada hiyo. Endelea...

 

11 years ago

Mwananchi

Je, unajua jinsi ya kuwalea vijana? -1

Je, wewe au ndugu zako mnamudu kuishi na vijana wenu kwa maelewano mazuri? Kama hapana ni kwa sababu gani? Je, unafikiri ni nani mwenye makosa? Ni vijana au wazazi?

 

10 years ago

StarTV

Unajua alichokisema Mwakyembe kuhusu Richmond

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge, iliyochunguza sakata la upewaji zabuni ya mabilioni ya kufua umeme kwa kampuni ya Richmond, Dk Harrison Mwakyembe ameibua upya suala hilo.

Mwakyembe aliyasema hayo mbele ya maelfu waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli katika viwanja vya Luandanzovwe jijini Mbeya, jana.

Akizungumzia madai ya kwa nini baadhi ya wahusika hawakupelekwa mahakamani kama kuna ushahidi, mhadhiri huyo wa sheria alisema kosa la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani