Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je unajua faida ya gugumaji ?

Gugumaji imelaumiwa kwa kuwanyima wavuvi kitega uchumi wao lakini bwana mmoja sasa anajikimu maisha yake kutokana nayo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MRADI WA KUDHIBITI GUGUMAJI ZIWA VICTORIA WATAMBULISHWA CHATO

 Na Richard Bagolele  Mradi wa kutibiti gugumaji kanda ya ziwa chini ya ufadhili wa wa mradi wa hifadhi ya mazingira ya ziwa Viktoria awamu ya pili (LVEM II) umetambulishwa rasmi wilayani Chato.  Akiongea wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo yaliyofanyika kwennye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato mratibu wa mafunzo hayo Bw. Emanuel Kitabo amesema lengo la kutambulisha mradi huo kwa wadau mbalimbali wa Chato ni kuhifadhi na kutunza mazingira ya ziwa Victoria vikiwemo vyanzo...

 

11 years ago

Mwananchi

Je, unajua jinsi ya kuwalea vijana? -1

Je, wewe au ndugu zako mnamudu kuishi na vijana wenu kwa maelewano mazuri? Kama hapana ni kwa sababu gani? Je, unafikiri ni nani mwenye makosa? Ni vijana au wazazi?

 

11 years ago

Mwananchi

Je, unajua kinachomfanya mwanaume apende ?

Je, wewe kama mwanaume, unajua kinachokufanya upende? Kitu gani hukufanya umpende mwanamke mmoja na usimpende mwingine? Je, umewahi kustajabu kwa nini ndugu yako au rafiki yako anampenda mwanamke fulani ambaye wewe unaona hana mvuto wowote unaomfanya astahili kupendwa?

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Je, unajua maana ya akili?

Siku moja niliwakuta walimu watatu wakibishana kuhusu uwezo wa wanafunzi wao. Mmoja alisema John ana akili zaidi kuliko Ali.

 

11 years ago

Mwananchi

Je, unajua jinsi ya kuwalea vijana? -2

Wiki iliyopita tuliwaletea sehemu ya kwanza ya jinsi ya kuwalea vijana, leo tunaendelea ambapo tutakamilisha mada hiyo. Endelea...

 

11 years ago

BBCSwahili

Je unajua kwamba Samaki hasahau?

Wanasayansi wamegundua kwamba, baadhi ya Samaki wanaweza kuhifadhi taarifa kuhusu mazingira yao

 

11 years ago

Michuzi

UNAJUA ASILI YA JINA IRINGA?

Jina Iringa lilitokana na neno la Kihehe "Lilinga" ambalo tafsiri yake kwa Kiingereza ni Observation Post. Wahehe walianzisha lilinga sehemu hii ilipo Iringa ya sasa, ilikuweza kuwaona maadui kwa urahisi na kuweza kutoa taarifa za kulinda Ikulu iliyokuweko Kalenga. Wajerumani walijenga Boma juu ya kilima hicho hicho baada ya ushindi uliopatikana baada ya kupigana na Wahehe kwa mara ya pili. Katika pambano la kwanza Wajerumani chini ya Von Zelewiski waliuwawa wote akabakizwa mmoja akatoe...

 

10 years ago

StarTV

Unajua kwanini Lowassa aonywa na Polisi?

JESHI la Polisi katika Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limemuonya mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, kuwa staili ya kampeni aliyoianzisha na kutembelea maeneo mbalimbali katika ziara zisizo rasmi, inahatarisha usalama wa raia na mali zao, hivyo iachwe. Onyo hilo limewagusa pia wagombea wa vyama vya siasa katika nafasi mbalimbali hasa urais, ikielezwa kuwa, katika ziara hizo hujitokeza watu wengi, ambapo pia wahalifu wanaweza kutumia mwanya huo kufanya vitendo vya uhalifu.

Akizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani