Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, unatumaini kuwa bahari zitakuwa safi?

Utafiti mpya wa kisayansi unasema kuwa licha ya bahari kufahamika kama jaa la taka kwa miongo kadhaa,juhudi za kusafisha zimeanza kuzaa matunda kote duniani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ataka Dar kuwa safi

MBUNGE wa Viti Maalumu, Mariam Msabaha (CHADEMA), ametaka kujua kwanini Jiji la Dar es Salam linazidi kuwa chafu wakati fedha nyingi zilitumika kufanya usafi kwa muda mfupi alipokuja Rais wa...

 

11 years ago

Michuzi

barabara zitakuwa salama kweli kwa hali hii??

 Kamera ya Globu ya Jamii,mchana wa leo imeshuhudia vijana hawa ambao hawakuweza kutambulika majina yao mara moja,wakisombelea mchana kutoka katika mtaro wa kupitisha maji kando kando ya barabara ya inayoelekea kwenye hoteli ya White Sands kutokea Afrikana,Mbezi Beach Jijini Dar es Salaam na kupakia kwenye gari kama waonekanavyo pichani.Hali hiyo inapelekea kuchimbika kwa kingo za barabara hiyo hasa pale maji yanapopita kwa wingi pindi inyeshapo mvua kubwa.  Wengine walikuwa bize kupakia...

 

10 years ago

Mwananchi

Bila haki, siyo watu wala mali zitakuwa salama

“Pale haki inaponyimwa, pale umaskini unapoimarishwa, siyo watu, wala mali watakuwa salama”

 

9 years ago

Bongo5

Diamond: Nyimbo na Video ninazoenda kuachia mwaka huu zitakuwa ni historia hadi siku ntapozikwa!

Diamond ni miongoni mwa wasanii ambao waliahidi kuachia kazi mpya baada ya uchaguzi, na kati ya kazi alizofanya, inayosubiriwa kwa hamu zaidi ni wimbo aliomshirikisha staa wa RnB kutoka Marekani, Ne-Yo.

diamond p

Mpaka sasa bado haijafahamika ni wimbo/nyimbo gani atakazotangulia kuachia, kutokana na style yake ya kufanya vitu kimya kimya mpaka dakika za mwisho akiwa na kila kitu mkononi ndio huwa anaanza kutoa ishara.

Platnumz jana (Nov.9) aliandika post ambayo ni kama ishara ya kuwaandaa mashabiki...

 

10 years ago

Vijimambo

DEADLINE NI KESHO ....MWISHO WA KUNUNUA TICKET ZA DISCOUNT KWA $75 NI KESHO ,BAADA YA KESHO ZITAKUWA $100.

           NUNUA YAKO SASA INGIA..    WWW.DIAMONDUSATOUR.COM AU PIGA 3016616207 NOW.

 

10 years ago

Michuzi

from mji kasoro bahari....

Dear friends;Motown Club - Morogoro (formerly 4Stars) present Motown KunaMambo starting 3rd of April 2015 and every Friday from 7:00pm; come dine and dance to the live sounds of Afro Jazz, Salsa, Rhumba,Charanga, Raggae and much more!...with a gate contribution of 10,000tsh per person; Cash bar, delicious food and snacksRespect yourself, do not miss this! Karibu

Inline image

 

10 years ago

BBCSwahili

Je ushawahi kulala chini ya bahari?

Hoteli ya kwanza chini ya maji barani Afrika imefunguliwa kisiwani Pemba nchini Tanzania.

 

11 years ago

Michuzi

GODOWN-BAHARI BEACH FOR SALE


Godown linauzwa bahari beach.Linauzwa kuna ofisi na nyumba ya kuishi two in one.  mawasiliano barua pepe mwijo70jojo@yahoo.co.uk.Simu 0786666708.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani