Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


from mji kasoro bahari....

Dear friends;Motown Club - Morogoro (formerly 4Stars) present Motown KunaMambo starting 3rd of April 2015 and every Friday from 7:00pm; come dine and dance to the live sounds of Afro Jazz, Salsa, Rhumba,Charanga, Raggae and much more!...with a gate contribution of 10,000tsh per person; Cash bar, delicious food and snacksRespect yourself, do not miss this! Karibu

Inline image

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Miss morogoro 2014 kupatikana leo nashera hotel ya mji kasoro bahari

 Na John Nditi WAREMBO 15 wamejitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania  kunyakua taji la Miss Morogoro 2014 litakalofanyika  leo Juni 13,   kwenye  ukumbi wa Hoteli ya Nashera ya Mjini Morogoro. Katika kinyang’anyiro hicho, Msanii wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tundaman’ anatarajia kupanda jukwaani kutoa burdani wakati wa kumsaka malikia wa  Redd’s Miss Morogoro wa mwaka huu. Warembo hao  wamejitokeza kuwania taji hilo linaloshikiliwa na Msomi wa  Chuo cha Usimamizi wa Fedha ( IFM) ,...

 

10 years ago

CloudsFM

TASWIRA YA MJI WA KAHAMA LEO WAKAZI WA MJI HUO WAJIANDAA NA FIESTA

Taswira ya mji wa Kahama leo hii,wakazi wa mji huo wajiandaa na tamasha la #Serengetifiesta2014 Jumapili hii pande za Kahama Stadium kwa mtonyo wa buku tano tu.#Nisheedah.

 

10 years ago

BBCSwahili

Stakabadhi za Nyamwasa hazina kasoro

Jaji apuuza malalamiko ya mshirika kadhaa ya kujitegemea kuwa Generali Kayumba Nyamwasa anaishi Afrika Kusini kinyume na sheria

 

9 years ago

Mwananchi

Wasomi wachambua kasoro za kampeni

Baadhi ya wasomi wamesema hawajaridhishwa na jinsi kampeni za kuwania urais, ubunge na udiwani zinavyoendeshwa.

 

11 years ago

Habarileo

Lubuva: BVR itaondoa kasoro

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema mabadiliko ya uandikishaji wa daftari la wapiga kura kwa njia ya Biometric Vote Registration (BVR), haijaja kwa lengo la kukisaidia chama chochote cha siasa, bali ni kuondoa kasoro na malalamiko yaliyokuwepo hapo awali.

 

9 years ago

Mwananchi

Kocha Majimaji abaini kasoro

Kocha wa Majimaji, Mika Lonnstrom ametoa tathmini ya timu yake kwenye mechi kumi za mwanzoni wa msimu huu ambazo imeshacheza huku akisema kuwa ameridhika na kiwango chao ingawa kuna kasoro chache zinazotakiwa kurekebishwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kasoro za mashindano ya taifa ya Netiboli

Kwa mara ya kwanza tangu kuingia madarakani, uongozi mpya wa Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta) ulifanya mashindano ya taifa ya netiboli yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwa wiki moja.

 

9 years ago

Mwananchi

Kasoro kibao upigaji kura

Watu wasiojulikana wameteketeza kwa moto vifaa vya kupigia kura wilayani Sumbawanga, huku wasimamizi wasaidizi watatu wa uchaguzi katika Jimbo la Vunjo wakipigwa na kujeruhiwa kwa madai ya kusambaza kura zisizo halali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani