Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


namna ya kuwahi foleni mji kasoro bahari


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

from mji kasoro bahari....

Dear friends;Motown Club - Morogoro (formerly 4Stars) present Motown KunaMambo starting 3rd of April 2015 and every Friday from 7:00pm; come dine and dance to the live sounds of Afro Jazz, Salsa, Rhumba,Charanga, Raggae and much more!...with a gate contribution of 10,000tsh per person; Cash bar, delicious food and snacksRespect yourself, do not miss this! Karibu

Inline image

 

11 years ago

Michuzi

Miss morogoro 2014 kupatikana leo nashera hotel ya mji kasoro bahari

 Na John Nditi WAREMBO 15 wamejitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania  kunyakua taji la Miss Morogoro 2014 litakalofanyika  leo Juni 13,   kwenye  ukumbi wa Hoteli ya Nashera ya Mjini Morogoro. Katika kinyang’anyiro hicho, Msanii wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tundaman’ anatarajia kupanda jukwaani kutoa burdani wakati wa kumsaka malikia wa  Redd’s Miss Morogoro wa mwaka huu. Warembo hao  wamejitokeza kuwania taji hilo linaloshikiliwa na Msomi wa  Chuo cha Usimamizi wa Fedha ( IFM) ,...

 

10 years ago

CloudsFM

TASWIRA YA MJI WA KAHAMA LEO WAKAZI WA MJI HUO WAJIANDAA NA FIESTA

Taswira ya mji wa Kahama leo hii,wakazi wa mji huo wajiandaa na tamasha la #Serengetifiesta2014 Jumapili hii pande za Kahama Stadium kwa mtonyo wa buku tano tu.#Nisheedah.

 

10 years ago

GPL

NORA AJUTA KUWAHI KUOLEWA

Stori: Imelda Mtema
MAJUTO! Mwigizaji wa kitambo Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ amefunguka kuwa siku zote katika maisha yake anajuta kuolewa mapema kwani asingefanya hivyo angeweza kufanya mambo mengi na angekuwa mbali sana kisanii na kielimu. Mwigizaji wa kitambo Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ akipozi. Nora alisema kuwa kipindi alipoolewa na aliyekuwa mganga wa tiba za asili, marehemu Ngwizikulu Jilala,...

 

11 years ago

Mwananchi

Hongera kwa Wazanzibari kuwahi fursa

Siku moja kabla na baada ya mwaka mpya nilikuwa Unguja. Kuna mazuri na yanayotia moyo nayaona yakifanywa na Watanzania wenzetu kule katika kuboresha utalii wa ndani na kuvutia watalii wa kutoka nje.

 

10 years ago

GPL

TATIZO LA KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA

Tatizo hili hutokea kwa baadhi ya wanaume ambapo anapata msisimko mapema au mara tu anapoanza tendo la ndoa na kumfanya amalize muda huohuo, yaani muda usiozidi hata dakika tatu. Tunaposema kamaliza tendo ni kwamba anafikia kilele au mshindo na kutoa manii. Wanaume wenye hali hii wakati mwingine hutoa manii hata kwa msuguano mdogo endapo ataguswa au kugusana na mwanamke na akijenga hisia hata kwenye msongamano atajikuta tayari...

 

9 years ago

Habarileo

RC aungana na wapiga kura kuwahi kituoni

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa ni miongoni mwa wananchi waliojitokeza kupiga kura katika kituo cha kupigia kura cha shule ya msingi Dodoma Mlimani, kata ya Tambuka Reli huku vijana wakidai hawapo tayari kulinda kura vituoni.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe wahaha kuwahi kiapo Dodoma

Baadhi ya wajumbe ambao majina yao yaliitwa kwa ajili ya kuapa, wamehaha kutafuta usafiri wa ndege kurejea mjini hapa ili waweze kuwahi shughuli hiyo.

 

9 years ago

Global Publishers

Sababu 6 za wanaume kuwahi kufika kileleni -4

couplesKama tulivyoona, wiki iliyopita tuliishia katika kuliangalia kwa undani tatizo hili la mwanaume kuwahi kufika kileleni kuwa ni kuhusu kuwa na mbegu chache za kiume.

unaposema mbegu ni chache kuliko kiwango ni kwamba unatoa kiwango cha mbegu za kiume chini ya milioni kumi na tano, kila tendo moja.

Kiwango hicho kikiwa chini ya hapo, basi uwezekano wa kumpa mwanamke mimba haupo na badala yake unafanya tu tendo la ndoa lakini uwezo wa kusababisha ujauzito haupo. Sasa endelea na mada yetu ili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani