Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lubuva: BVR itaondoa kasoro

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema mabadiliko ya uandikishaji wa daftari la wapiga kura kwa njia ya Biometric Vote Registration (BVR), haijaja kwa lengo la kukisaidia chama chochote cha siasa, bali ni kuondoa kasoro na malalamiko yaliyokuwepo hapo awali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

NEC irekebishe kasoro hizi BVR

JANA, wananchi wa Dar es Salaam walianza kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu na mingine inayokuja miaka ijayo.

Hata hivyo, tumesikitishwa na baadhi ya matukio yaliyotokea katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam jana kutokana na kasoro kadhaa zilizojitokeza na kusababisha usumbufu na madhara yasiyo na sababu.

Kwanza, kumekuwapo na matatizo ya vifaa vyenyewe vya kuandikishia ambapo kuna watu walifika vituoni mapema na...

 

10 years ago

TheCitizen

We’ve received 1,600 BVR kits, announces Lubuva

The National Electoral Commission (NEC) yesterday received 1,600 biometric voter registration (BVR) kits.

 

10 years ago

Mtanzania

Jaji Lubuva ajibu mapigo ya Ukawa BVR

Jaji LubuvaMauli Muyenjwa na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, amewataka wanasiasa waache kutumia changamoto za mfumo wa kielektroniki wa uandikishaji wapigakura (Biometric Voter Registration-BVR) ili kujipatia umaarufu wa kisiasa.
Kauli hiyo ya Jaji Lubuva imekuja siku chache baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kumuonya na kudai kamwe chama chake hakitakubaliana na vitendo vya hujuma ambavyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Lubuva: Hakuna Kura ya Maoni bila uandikishaji BVR kukamilika

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (Nec), Jaji mstaafu Damian Lubuva amesisitiza kuwa Kura ya Maoni kwa Katiba Inayopendekezwa haitafanyika mpaka uandikishaji watu katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kupitia mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR) ukamilike.

 

9 years ago

Dewji Blog

Ufafanuzi kasoro za BVR na uwekaji wazi wa Daftari la awali la Wapiga kura nchini

bvra-kitBaadhi ya mashine za BVR  pichani…

Uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR) ulikamilika tarehe 04/08/2015 katika Mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani.

Baada ya kukamilika kwa zoezi la Uboreshaji Tume imekuwa ikichakata (processing) taarifa za Wapiga Kura ili kuweza kuandaa Daftari la Awali la Wapiga Kura, katika maandalizi hayo mifumo imeweza kugundua kasoro mbali mbali ambazo baadhi zimefanyiwa kazi na zingine zinaendelea...

 

9 years ago

Michuzi

UFAFANUZI KWA KUHUSU KASORO ZA BVR NA UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

Uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR) ulikamilika tarehe 04/08/2015 katika Mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani.  Baada ya kukamilika kwa zoezi la Uboreshaji Tume imekuwa ikichakata (processing) taarifa za Wapiga Kura ili kuweza kuandaa Daftari la Awali la Wapiga Kura, katika maandalizi hayo mifumo imeweza kugundua kasoro mbali mbali ambazo baadhi zimefanyiwa kazi na zingine zinaendelea kufanyiwa kazi, kasoro hizo ni pamoja...

 

10 years ago

Dewji Blog

AUDIO: Jaji Lubuva akanusha vikali taarifa ya gazeti ‘Mkandarasi wa mashine za BVR amegoma kuleta mashine nchini’

jaji-lubuva

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akitoa kanusho kuhusiana na Mkandarasi wa BVR kugoma kuleta vifaa, achachamaa kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mhagama: Tehama itaondoa tatizo la walimu, vitabu

WADAU wa elimu wamekubali kutumia teknolojia ya habari na mwasiliano kufundisha na kujifunza ili kukabili tatizo la uhaba wa walimu na vitabu linalokwaza maendeleo ya elimu nchini. Hayo ni baadhi...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali itaondoa matatizo miradi ya NSSF - Pinda

SERIKALI i imesema itajipanga kuona namna ya kukabili changamoto zinazokwamisha miradi mikubwa, inayoendeshwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa lengo la kubadilisha sura ya Jiji la Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani