Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je,kufanya mapenzi ni tiba ya saratani?

Kulala na wanawake wengi kunapunguza hatari ya kupatikana na ugonjwa wa saratani ya kibofu cha mkojo,kulingana na utafiti.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TIBA YA SARATANI YA MATITI - 4

Tunaendelea kujadili ugonjwa wa kansa au saratani ya matiti, ambapo leo tutaanza kuzungumzia tiba ya ugonjwa huo. Kuna aina tofauti za tiba kwa wagonjwa wanaousumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya matiti. Baadhi ya tiba hizo tayari zinatumika rasmi na nyingine zinafanyiwa majaribio. Matibabu ya majaribio au Treatment clinical trials ni uchunguzi wa kitiba unaofanyika kwa lengo la kusaidia kuboresha tiba zilizoko au kwa ajili ya kupata...

 

11 years ago

GPL

TIBA YA SARATANI YA MATITI - 5

Tunaendelea kuwaletea tiba ya saratani ya matiti baada ya kuelezea ile ya upasuaji. Endelea. KEMIKALI MAALUM
Ugonjwa wa saratani ya matiti pia hutibiwa kwa njia ya dawa au Systemic theraphy. Tiba ya aina hii inahusisha matumizi ya kemikali maalum za kutibu saratani au Chemotherapy pamoja na kutumia homoni au Hormonal therapy. Tiba kwa kutumia homoni, hufanywa ili kuua seli za saratani ambazo hazikugundulika hapo awali na ambazo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Akiri kudanganya kuhusu tiba ya Saratani

Mwanablogu ambaye alipata sifa baada ya kudai kwamba alimiliki dawa za kuponya ugonjwa wa saratani ya ubongo kupitia tiba ya kiasili amekiri kwamba alidanganya kuhusu ugonjwa wake.

 

11 years ago

GPL

KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?

Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita utakumbuka nilizungumzia suala la kuwajali wapenzi wetu. Niligusia suala ya kuwapa nafasi watuchune. apo walioshituka kuona kichwa kile cha habari lakini kiukweli sikumaanisha kuchuna kule ambako wanawake micharuko hufanya hasa kwa waume za watu, nilimaanisha utayari wa kila mmoja kumsaidia mwenzake kifedha. Mkeo akitaka pesa ili aende saluni kama zipo, mpe! Akihitaji pesa akanunulie vipodozi...

 

11 years ago

GPL

KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?-2

Uhali gani mpenzi msomaji wa safu hii. Ni matumaini yangu umzima kabisa na uko tayari kusoma muendelezo wa makala haya ambayo niliianza wiki iliyopita. Maudhui hasa ya makala haya ni kuwatahadharisha baadhi ya watu ambao wanahusudu mapenzi kuliko kitu kingine utadhani wana pepo la ngono. Sikatai, kufanya mapenzi ni kitu muhimu sana hasa kwa watu walioingia kwenye ndoa. Kwa kifupi ni haki ya kila mmoja kuridhishwa na mwenza wake...

 

10 years ago

Mwananchi

Tiba ya saratani kutolewa kwa njia ya mtandao

Wagonjwa wa saratani wa mikoani wanatarajiwa kupata matibabu ya kwa njia ya mtandao baada ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kuzindua huduma ya afya ya mtandao.

 

10 years ago

Mwananchi

Fahamu tiba ya mionzi kwa maradhi ya saratani (4)

Kama nilivyoeleza wiki iliyopita kuwa tiba ya mionzi nje ya mwili hutolewa kwa uangalifu mkubwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha athari za mionzi kwa mgonjwa ziwe za kiwango cha chini iwezekanavyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Usaliti kwenye mapenzi, sababu na tiba

Mimi ni mama wa watoto wawili, tatizo langu ni baba wa watoto, hataki kuwahudumia kwa chochote na sasa wanatakiwa kuanza shule. Nifanyeje?

 

10 years ago

Michuzi

RUGEMALIRA KUJENGA KITUO KIKUBWA CHA TIBA YA SARATANI YA MATITI BUKOBA

 Mshauri wa Biashara wa Kimataifa wa Kujitegemea wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits LTD , James Rugemarila (kushoto) na Mwenyekiti wa kampuni hiyo, Benedicta Rugemalira wakim (kulia) zawadia Daktari Bingwa wa magonjwa ya saratani ya matiti, Profesa Anthony Pais kutoka India ambaye amemaliza ziara nchini baada ya kufanya mihadhara mbalimbali na madaktari kuhusu ugonjwa huo. Profesa Pais alifanyiwa hafla ya kuagwa jana katika Hoteli ya Courty Yard, Dar es Salaam. (PICHA NA RICHARD...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani