JERRY SILAA KUBARIKI UZINDUZI WA KAMPUNI YA GRACING AFRICA LEO
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/01/1004083_796852693662558_866660999_n.jpg)
Mwanamitindo anayefanya vizuri sana nchini, Danny David atazindua kampuni yake mpya ya Gracing Africa inayojihusisha na ukuzaji na uendelezaji wa vipaji nchini hasa vya mitindo na fashion ijumaa hii katika hoteli ya Serena ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa meya wa jiji la Dar es Salaam mheshimiwa Jerry Slaa. Uzinduzi huo wa aina yake utakuwa wa mwaliko pekee ni watu wachache watakaochaguliwa kuhudhuria sherehe hiyo. Danny...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NgarEMQZ5-c/U54eE176f_I/AAAAAAAFq7U/xQR2x1DZzPg/s72-c/552012_599713570056854_1142806201_n.jpg)
news alert: hackers waiba akaunti ya facebook ya meya wa ilala Mstahiki Jerry Silaa leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-NgarEMQZ5-c/U54eE176f_I/AAAAAAAFq7U/xQR2x1DZzPg/s1600/552012_599713570056854_1142806201_n.jpg)
Tafadhali puuzia ujumbe huo kwani utasababisha akaunti yako nayo ku-hackiwa. Tafadhali sambaza ujumbe huu, wakati tunaendelea kujaribu kuiokoa. Nawaomba radhi wote walopatwa na usumbufu huu.
Asanteni sana - Jerry Silaa
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Jerry Silaa ahimiza upimaji wa VVU
Mstahiki Meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa jana amehudhuria maadhimisho ya siku ya UKIMWI iliyoadhimishwa na manispaa ya Ilala kwenye kata ya Vingunguti ambapo ametumia fursa hiyo kuhamasisha wanaume kupima VVU kwani takwimu zinaonyesha asilimia ndogo ya wanaume wanajitokeza kupima.
Mstahiki Meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa akizungumza na mtoa huduma ya ushauri nasaha na upimaji wa VVU wakati wa maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani.
Mtoa huduma ya ushauri nasaha na upimaji...
10 years ago
GPLZIARA YA MHE. JERRY SILAA MALAMPAKA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ITtoOH4FEljyhAV1aM33DxD93I2JZgUbZw5uFxjHNC9To1bePfV5kfop7wIW2kqUUs1yljb85HolJXDnfpAd4Fmedx7SBTtB/jokate.jpg)
JOKATE AMTOLEA CHOZI JERRY SILAA
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/211.jpg)
JERRY SILAA AMPIGIA DEBE GODFREY MGIMWA
10 years ago
Dewji Blog19 Nov
Jerry Silaa kumsomesha binti aliyepangua nondo kiufanisi
“Mwaka 2011 Doreen Kabuche alimaliza Kidato cha sita Benjamin Mkapa na kuwa best female student. Tulimwita na nikamzawadia laptop ya 1,500,000 Mwaka huu amekuwa best student UDSM kwa kupata GPA 4.8 kwenye shahada adimu ya takwimu bima. Nataka tumsomeshe Masters ili kupata wataalam wataoangalia mifuko yetu ya pension Tuache kulalamikia utendaji mbovu wakati hatusomeshi wataalam” , ni maneno ya Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa alipokuwa akizungumza mbele ya waandishi wa habari...
10 years ago
Vijimambo01 May
Jerry Silaa ampa Magufuli mbinu za kushinda Urais
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2702734/highRes/1003484/-/maxw/600/-/i0kt5e/-/magufuli.jpg)
Dar es Salaam. Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amemtaka Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kuangalia uwezekano wa kuongeza fedha za Mfuko wa Barabara katika mkoa wa Dar es Salaam ili kujihakikishia kura ikiwa atagombea Urais kama anavyotajwa.Silaa alitoa kauli hiyo juzi wakati wa hafla ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-X1NiWP5nSQI/VF8PkpvddRI/AAAAAAAGwE0/WuX-IdJ5DYE/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Mh. Jerry Silaa aanza Ziara ya siku 10 Mkoani Simuyu
![](http://3.bp.blogspot.com/-X1NiWP5nSQI/VF8PkpvddRI/AAAAAAAGwE0/WuX-IdJ5DYE/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_D_KfgkAvBQ/VF8Pk3US8bI/AAAAAAAGwE4/XWTbC3X83Oc/s1600/unnamed%2B(18).jpg)