JIDE, DOGODOGO GUMZO MJINI! DOGO ANASWA NA MKOKO WAKE
![](http://api.ning.com:80/files/iPu63cE5yCDGZDxGD2Lnxr1l10ce7MKNd8CC6tisiRewgiKlWAmY4UsTaijSJcan4z*AE93RElNz1mXLWODrxPN5SJVlJqIc/jide.jpg)
Na Musa Mateja OHOOO! Siku chache baada ya ndoa ya Legendary wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ na mtangazaji mahiri nchini, Gardner Gabriel Habash ‘G Habash’ kudaiwa kuvunjika, gumzo limeibuka kufuatia kunaswa kwa picha za Jide na kijana mmoja (dogodogo) aliyetajwa kwa jina la Meddy Ahmed ‘Mtoto wa Vitoto’, Risasi Jumamosi linakupa kinaga ubaga. Legendary wa Bongo Fleva, Judith...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo515 Dec
Picha: Huddah Monroe aringishia mkoko wake mpya
10 years ago
CloudsFM09 Apr
Baada ya kuachana na Nay Wa Mitego,mambo yamnyookea Siwema,aanika mkoko wake mpya.
Mambo yameanza kumnyookea mzazi mwenziye na msanii wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego,Siwema baada ya kuanika mkoko wake mpya mtandaoni.
Nay Wa Mitego na Siwema wapo kwenye mgogoro hadi kufikia hatua msanii huyo kumchukua mtoto wake ambaye hivi sasa analelewa na mama yake Nay. Kupitia mtandao wa Instagram Siwema aliwahi kulalamika kuwa Nay Wa Mitego alimrudisha nyuma kimaendeleo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pJ0rfkAt30E/U0T34MkeaDI/AAAAAAAFZac/MCYXOcugps8/s72-c/MMG26050.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-4Y7bq7ZXLy4/VaqfVVyJpqI/AAAAAAAAWfI/W2VMiae6J5Y/s72-c/IMG-20150717-WA0009.jpg)
DOGO AJITOSA KUGOMBEA UDIWANI KATA YA KORONGONI MOSHI MJINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-4Y7bq7ZXLy4/VaqfVVyJpqI/AAAAAAAAWfI/W2VMiae6J5Y/s640/IMG-20150717-WA0009.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ev4XcPQaUO4/VaqjmlrN6HI/AAAAAAAAWg4/V0g2e9PgLUM/s640/IMG-20150717-WA0020.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-u56GPZ1ZJHo/VaqjzOGq1UI/AAAAAAAAWhA/6pBKdqg6wlc/s640/IMG-20150717-WA0018.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IVe4wT3h29I/VaqjzYlE10I/AAAAAAAAWhE/qpUxT3Ym_zI/s640/IMG-20150717-WA0021.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0Frw6FvD-frlrIOUbE7CS9VIzsx7aD5NBrAIIIKu3*To4oHSTb1F4FFJ2K*FqFN7VzVDy86GUliVqIV6R0jlAB9d/Pinda.jpg?width=650)
ESCROW GUMZO LA SASA MJINI
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
“Dogo” ajitosa udiwani kupitia CHADEMA kata ya Korongoni mjini Moshi
![](http://3.bp.blogspot.com/-4Y7bq7ZXLy4/VaqfVVyJpqI/AAAAAAAAWfI/W2VMiae6J5Y/s640/IMG-20150717-WA0009.jpg)
Mpambanaji aliyejitambulisha kwa mwandishi wa blog hii kwa jina la Liberatus Oba Mawalla “Dogo” (pichani juu) amechukua na kurudisha fomu za kugombea udiwani kata ya Korongoni wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Amesema endapo atapata ridhaa hatapenda wamuite mheshimiwa na badala yake anataka wapiga kura wake wamuite ndugu. Angalia picha zaidi hapa chini.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ev4XcPQaUO4/VaqjmlrN6HI/AAAAAAAAWg4/V0g2e9PgLUM/s1600/IMG-20150717-WA0020.jpg)
Dogo akiwa na wanachama hicho.
![](http://4.bp.blogspot.com/-u56GPZ1ZJHo/VaqjzOGq1UI/AAAAAAAAWhA/6pBKdqg6wlc/s1600/IMG-20150717-WA0018.jpg)
Msafara kuelekea kurudisha fomu ukijipanga.
![](http://1.bp.blogspot.com/-IVe4wT3h29I/VaqjzYlE10I/AAAAAAAAWhE/qpUxT3Ym_zI/s1600/IMG-20150717-WA0021.jpg)
9 years ago
Bongo524 Oct
Ni marafuku wa Dogo Janja kufanya haya kwa wazazi wake
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Simu tano 'gumzo la mjini' mwaka 2014
10 years ago
Bongo Movies28 Apr
Tetesi za Ndoa ya Wema Sepetu Zawa Gumzo Mjini!
Ubuyu Mpya unaoenea kwa siri kwenye mitandao ya kijamii kwa sasa, ni kuhusu ndoa ya super star wema sepetu inayotarajiwa kufungwa ivi karibuni.
Chanzo cha ubuyu kinaeleza kuwa hatua zote muhimu zimeshachukuliwa, kinachosubiriwa tu ni bwaba harusi huyo mtarajiwa kuchukua jiko lake bila kipingamizi chochote. Mpaka sasa ivi bado mume huyo mtarajiwa wa staa huyo hajawekwa wazi kwa kuogopa watu wabaya kumfanyia fitna.
Mpaka sasa management yake inafanya siri kubwa kuhusu tukio hilo muhimu...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10