Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JIDE, DOGODOGO GUMZO MJINI! DOGO ANASWA NA MKOKO WAKE

Na Musa Mateja OHOOO! Siku chache baada ya ndoa ya Legendary wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ na mtangazaji mahiri nchini, Gardner Gabriel Habash ‘G Habash’ kudaiwa kuvunjika, gumzo limeibuka kufuatia kunaswa kwa picha za Jide na kijana mmoja (dogodogo) aliyetajwa kwa jina la Meddy Ahmed ‘Mtoto wa Vitoto’, Risasi Jumamosi linakupa kinaga ubaga. Legendary wa Bongo Fleva, Judith...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha: Huddah Monroe aringishia mkoko wake mpya

Kwa mujibu wa Huddah Monroe, Chrismas imekuja mapema. Mrembo huyo wa Kenya ameshare picha ya kile alichodai ni gari yake mpya. Huddah akiwa mbele ya gari lake i”Ombea adui yako aishi siku nyingi Ili unapo barikiwa ajioneeeee,” ameandika Huddah kwenye picha hiyo. “No one can block the blessings that God has planned for you because […]

 

10 years ago

CloudsFM

Baada ya kuachana na Nay Wa Mitego,mambo yamnyookea Siwema,aanika mkoko wake mpya.

Mambo yameanza kumnyookea mzazi mwenziye na msanii wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego,Siwema baada ya kuanika mkoko wake mpya mtandaoni.

Nay Wa Mitego na Siwema wapo kwenye mgogoro hadi kufikia hatua msanii huyo kumchukua mtoto wake ambaye hivi sasa analelewa na mama yake Nay. Kupitia mtandao wa Instagram Siwema aliwahi kulalamika kuwa Nay Wa Mitego alimrudisha nyuma kimaendeleo.

Baadhi ya maneno hayo yalisomeka hivi….leo unatangaza umeninunulia gari,unanipa kila kitu..nay nini umenipa?gari...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

DOGO AJITOSA KUGOMBEA UDIWANI KATA YA KORONGONI MOSHI MJINI

Mpambanaji aliyejitambulisha kwa mwandishi wa blog hii kwa jina la Liberatus Oba Mawalla "Dogo" (pichani juu) amechukua na kurudisha fomu za kugombea udiwani kata ya Korongoni wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Amesema endapo atapata ridhaa hatapenda wamuite mheshimiwa na badala yake anataka wapiga kura wake wamuite ndugu. Angalia picha zaidi hapa chiniDogo akiwa na wanachama hichoMsafara kuelekea kurudisha fomu ukijipanga.Hapa ni furaha...

 

10 years ago

GPL

ESCROW GUMZO LA SASA MJINI

Stori: Waandishi Wetu
WAKATI sakata la kuchukuliwa kwa mabilioni ya shilingi katika akaunti ya Tegeta Escrow likiendelea kuwa gumzo la sasa la mjini, sura mpya imeanza kujitokeza kwa watu zaidi wanaohusishwa na kugawiwa salio kutajwa, licha ya waliotajwa awali kuendelea kubakia katika orodha. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo. Kashfa hiyo iliibuliwa kwa mara ya kwanza na mbunge wa Kigoma Kusini kupitia...

 

10 years ago

Dewji Blog

“Dogo” ajitosa udiwani kupitia CHADEMA kata ya Korongoni mjini Moshi

Mpambanaji aliyejitambulisha kwa mwandishi wa blog hii kwa jina la Liberatus Oba Mawalla “Dogo” (pichani juu) amechukua na kurudisha fomu za kugombea udiwani kata ya Korongoni wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Amesema endapo atapata ridhaa hatapenda wamuite mheshimiwa na badala yake anataka wapiga kura wake wamuite ndugu. Angalia picha zaidi hapa chini.

 Dogo akiwa na wanachama hicho.

Msafara kuelekea kurudisha fomu ukijipanga.

 

9 years ago

Bongo5

Ni marafuku wa Dogo Janja kufanya haya kwa wazazi wake

Dogo Janja hawezi kutoboa masikio au kujichora tattoo kama wasanii wengi wanavyofanya – lasivyo hatoweza kukanyaga kwao! Rapper huyo wa Arusha amesema akithubutu kufanya hivyo atakuwa ameikosea sana familia yake. “Baba yangu na mama yangu wakati naingia kwenye muziki waliniambia fanya muziki lakini usije ukatoboa masikio, usije ukachora tattoo,” alikiambia kipindi cha Siz Kitaa cha […]

 

10 years ago

Mwananchi

Simu tano 'gumzo la mjini' mwaka 2014

Tofauti na miaka mitano iliyopita, mwaka huu ulimwengu umeshuhudia uvumbuzi wa hali ya juu katika utengenezaji wa simu za kisasa.

 

10 years ago

Bongo Movies

Tetesi za Ndoa ya Wema Sepetu Zawa Gumzo Mjini!

Ubuyu Mpya unaoenea kwa siri kwenye mitandao ya kijamii kwa sasa, ni kuhusu ndoa ya super star wema sepetu inayotarajiwa kufungwa ivi karibuni.

Chanzo cha ubuyu kinaeleza kuwa hatua zote muhimu zimeshachukuliwa, kinachosubiriwa tu ni bwaba harusi huyo mtarajiwa kuchukua jiko lake bila kipingamizi chochote. Mpaka sasa ivi bado mume huyo mtarajiwa wa staa huyo hajawekwa wazi kwa kuogopa watu wabaya kumfanyia fitna.

Mpaka sasa management yake inafanya siri kubwa kuhusu tukio hilo muhimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani