Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jiepusheni na upotoshaji, Samia awaasa waandishi

Awataka kuandika habari kwa kuzingatia mustakabali wa nchi badala ya makombora yasiyo na msingi wowote.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Mfugale: “Waandishi jiepusheni na ushabiki wa kisiasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu”

DSC01123

Baadhi ya waandishi wa habari kutoka mikoa ya Singida, Kigoma, Katavi, Tabora na Shinyanga, wanaohudhuria mafunzo ya siku tano ya uandishi bora wa uchaguzi yanayoendelea kwenye hotel ya Vigimark nje kidogo ya mji wa Shinyanga.(Picha na Nathaniel Limu).

DSC01125

DSC01130

Mkufunzi Deodatus Mfugale, akitoa mada yake ya daftari la kudumu la wapiga kura kwenye mafunzo ya uandishi bora wa habari za uchaguzi yanayoendelea kwenye hotel ya Vigimark nje kidogo ya mji wa Shinyanga.

Na Nathaniel Limu,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wakulima, wafugaji jiepusheni na rushwa’

SERIKALI imewataka wakulima na wafugaji kujiepusha na vitendo vya kuomba au kupokea rushwa katika utekelezaji wa shughuli zao za kila siku. Kupokea ama kutoa rushwa kunawafanya kuwepo mianya ya kuibiwa...

 

10 years ago

Habarileo

‘Walimu jiepusheni na mambo ya ovyo’

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Elimu), Kassim MajaliwaNAIBU Waziri wa Elimu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Kassim Majaliwa amewataka walimu nchini kujiepusha na mambo yanayochangia kukiuka misingi ya haki za binadamu na maadili mema.

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA HARAMBEE KUWASAIDIA WAANDISHI WA HABARI YAKABIDHI MILIONI 20 KWA WAANDISHI WENYE MAHITAJI YA MATIBABU

 Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee ya Kuwasaidia waandishi wanaougua maradhi mbali mbali, Bw. Benjamin Thompson akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani), ndani ya Idara ya Habari MAELEZO,mapema leo jijini Dar kuhusiana na matokeo ya harambee ya Media Car Wash for Cancer Campaign, inayoendelea nchini.  Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee ya Kuwasaidia waandishi wanaougua maradhi mbali mbali, Bw. Benjamin Thompson akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari (hawapo...

 

10 years ago

Mwananchi

Upotoshaji misingi ya Kiswahili

Ni vigumu kwa magazeti kutoka kiwandani bila kuwa na makosa ama ya kisarufi au ya tahajia. Hata hivyo ni muhimu kujitahidi kuyapunguza makosa hayo kwa kadiri iwezekanavyo.

 

10 years ago

Vijimambo

UFAFANUZI WA UPOTOSHAJI WA HABARI.



Jumuiya haijafungwa. (Sio Terminated)

Naomba nifafanue.

Revocation inatokea pale annual filling zinapochelewa kuwa filed Au zinapokuwa hazikufailiwa.

Process na documentation sishafanyika kurectify that.

Jumuiya ipo na inaendelea nashughuli zake.

Ni masikitisho kutoka kwa watanzania wachache wa DMV wanao run na negatives instead of positives.

Iddi SandalyPresidentJumuiya ya Watanzania DMVDMV kwanza.

 

10 years ago

Habarileo

Upotoshaji wa takwimu wakwamisha maendeleo

Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango ya Zanzibar, Amina ShaabanUKOSEFU wa takwimu sahihi katika masuala mbalimbali umeelezwa kuchangia kutopiga hatua kwenye mipango ya kimaendeleo inayopangwa na serikali juu ya wananchi.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Atakiwa kukanusha kauli ya upotoshaji


NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
CHAMA cha Maalbino Tanzania (TAS) mkoa wa Mbeya, kimemtaka Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Mbeya mjini, John Mwambigija, kuwathitibitishia Watanzania kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinahusika na vifo vya watu wa jamii hiyo.
Katibu wa chama hicho mkoani hapa, William Simwali, alisema hayo jana wakati akizungumza na MZALENDO kuhusu kauli iliyotolewa na Mwambigija akiwa kwenye mkutano wa hadhara juu ya mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi.
Simwali alisema ni jambo la...

 

11 years ago

Mwananchi

Matumizi ya herufi ‘h’ na upotoshaji wa neno ‘kufariki’

Sehemu ya kwanza ya makala yangu nitaitumia kwa ajili ya kutoa maoni ya wasomaji wa gazeti la Mwananchi. Nimechagua wasomaji watatu walioniandikia na nikaona ni bora mawazo yao yaenee kwa wasomaji wengine kama changamoto zinazoikabili lugha ya Kiswahili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani