Jiepusheni na upotoshaji, Samia awaasa waandishi
Awataka kuandika habari kwa kuzingatia mustakabali wa nchi badala ya makombora yasiyo na msingi wowote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog14 Aug
Mfugale: “Waandishi jiepusheni na ushabiki wa kisiasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu”
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka mikoa ya Singida, Kigoma, Katavi, Tabora na Shinyanga, wanaohudhuria mafunzo ya siku tano ya uandishi bora wa uchaguzi yanayoendelea kwenye hotel ya Vigimark nje kidogo ya mji wa Shinyanga.(Picha na Nathaniel Limu).
Mkufunzi Deodatus Mfugale, akitoa mada yake ya daftari la kudumu la wapiga kura kwenye mafunzo ya uandishi bora wa habari za uchaguzi yanayoendelea kwenye hotel ya Vigimark nje kidogo ya mji wa Shinyanga.
Na Nathaniel Limu,...
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
‘Wakulima, wafugaji jiepusheni na rushwa’
SERIKALI imewataka wakulima na wafugaji kujiepusha na vitendo vya kuomba au kupokea rushwa katika utekelezaji wa shughuli zao za kila siku. Kupokea ama kutoa rushwa kunawafanya kuwepo mianya ya kuibiwa...
10 years ago
Habarileo19 May
‘Walimu jiepusheni na mambo ya ovyo’
NAIBU Waziri wa Elimu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Kassim Majaliwa amewataka walimu nchini kujiepusha na mambo yanayochangia kukiuka misingi ya haki za binadamu na maadili mema.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0mRYsTNfsTY/VbjFrQRCHDI/AAAAAAAC9Dc/Qvr15tviQZk/s72-c/2.jpg)
KAMATI YA HARAMBEE KUWASAIDIA WAANDISHI WA HABARI YAKABIDHI MILIONI 20 KWA WAANDISHI WENYE MAHITAJI YA MATIBABU
![](http://1.bp.blogspot.com/-0mRYsTNfsTY/VbjFrQRCHDI/AAAAAAAC9Dc/Qvr15tviQZk/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Fa5_n9_MOso/VbjFqqe6J3I/AAAAAAAC9DU/P_FbShviPM0/s640/3.jpg)
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Upotoshaji misingi ya Kiswahili
10 years ago
Vijimambo22 Nov
UFAFANUZI WA UPOTOSHAJI WA HABARI.
Jumuiya haijafungwa. (Sio Terminated)
Naomba nifafanue.
Revocation inatokea pale annual filling zinapochelewa kuwa filed Au zinapokuwa hazikufailiwa.
Process na documentation sishafanyika kurectify that.
Jumuiya ipo na inaendelea nashughuli zake.
Ni masikitisho kutoka kwa watanzania wachache wa DMV wanao run na negatives instead of positives.
Iddi SandalyPresidentJumuiya ya Watanzania DMVDMV kwanza.
10 years ago
Habarileo17 May
Upotoshaji wa takwimu wakwamisha maendeleo
UKOSEFU wa takwimu sahihi katika masuala mbalimbali umeelezwa kuchangia kutopiga hatua kwenye mipango ya kimaendeleo inayopangwa na serikali juu ya wananchi.
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Apr
Atakiwa kukanusha kauli ya upotoshaji
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
CHAMA cha Maalbino Tanzania (TAS) mkoa wa Mbeya, kimemtaka Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Mbeya mjini, John Mwambigija, kuwathitibitishia Watanzania kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinahusika na vifo vya watu wa jamii hiyo.
Katibu wa chama hicho mkoani hapa, William Simwali, alisema hayo jana wakati akizungumza na MZALENDO kuhusu kauli iliyotolewa na Mwambigija akiwa kwenye mkutano wa hadhara juu ya mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi.
Simwali alisema ni jambo la...
11 years ago
Mwananchi18 May
Matumizi ya herufi ‘h’ na upotoshaji wa neno ‘kufariki’