Jifunze kuweka kumbukumbu vizuri
Wiki mbili zilizopita, tulijifunza kupitia safu hii ya mbinu za mafanikio, tulijifunza kuhusu umuhimu wa kutumia muda kwa manufaa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qj6n_VQkRKk/VIR6zEJVIoI/AAAAAAABPEY/pDBn4TugpQs/s72-c/Bade%2B2-1.jpg)
TRA YAPATA TUZO YA KUWEKA KUMBUKUMBU YA MAHESABU VIZURI
Na Sultani Kipingo Taasisi za serikali, mashirika ya umma wizara na idara mbalimbali za serikali zimeshauriwa kushiriki katika mashindano ya uwasilishaji wa taarifa bora za fedha za mwaka tofauti na ilivyo sasa ambapo makundi haya yamekuwa yakishiriki kwa uchache sana na sehemu kubwa ya washiriki kuachiwa taasisi na mashirika binafsi. Akizungumza wakati wa hafla ya utoaji tuzo na vyeti kwa washindi katika uwasilishaji wa taarifa bora za fedha mwaka 2014, Naibu Waziri wa Fedha,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSWpCIjID-FH5n-hKDGWyzfwUuhVeeIAiT8OD6mT-Kh76z0Ehd7Cbf-OWngc2I3brDJWKq3VGbmRf3vhWCA3zOzEc9sN*n5F/150000080.jpg)
WEMA JIFUNZE KUWEKA BREKI MDOMONI
Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ SALAMU nyingi zikufikie mrembo usiyechuja umaarufu tangu mwaka 2006, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ vipi uko poa? Mishemishe zinakwendaje? Ukitaka kujua afya yangu, mimi namshukuru Mungu kwani ni mzima, hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Kitambo kidogo kimepita sijakuona lakini naamini u-mzima wa afya.… ...
11 years ago
Habarileo12 Jul
Waomba serikali kuweka kumbukumbu maeneo Baba wa Taifa aliyoyatumia
SERIKALI imeombwa kuweka alama au kumbukumbu kwenye maeneo muhimu ambayo Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliyatumia katika Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, pamoja na kutimiza azma ya kuifanya Dodoma kuwa makao makuu ya nchi.
10 years ago
Vijimambo27 Jul
Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU. Jamaa ana kumbukumbu sana.
![](https://scontent-lga1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/s480x480/10401981_10206449526990889_6289542229888818994_n.jpg?oh=81839c90cb8deef7131498511492f2b8&oe=565CB2A8)
Afikirie "uchafu" wote waliosema Lowassa anao, bado aonekane "msafi kuwakilisha chama kuliko yeye"Ni hapo unapotamani uwe na SELECTIVE AMNESIASijui kuna sauti ngapi kichwani mwake sasa?Na sijui kama kuna inayomuasa kufanya "maamuzi magumu"?:
SOURCE.:.MUBELWA BANDIO
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Jifunze Kiswahili -2-
di kisichopungua miaka miwili, nimekuwa nikipitia magazeti ya Kiswahili yanayochapishwa hapa nchini. Nimegundua kuwa baadhi ya waandishi na wahariri hawako makini katika matumizi ya Kiswahili fasaha. Pamoja na juhudi zangu za kusahihisha makosa yanayojitokeza katika magazeti, bado juhudi zangu hazijazaa matunda ya kuridhisha.
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Jifunze Kiswahili -3
da kuomba radhi kwa wasomaji wapya wa gazeti hili kuwa baadhi ya maelezo nitakayotoa pengine ni marudio ya maelezo ya hapo awali lakini yatawasaidia wengine. Kwa hiyo makala yangu ya leo yana lengo ya kile nilichowahi kuandika hapo awali kwa kuyakosoa magazeti ya Kiswahili. Baada ya kuyachunguza nimegundua kuwa yako makosa yaliyojitokeza ambayo yanatokana na uzembe wa waandishi wa kutofanya utafiti wa kutosha kwa mada husika ambapo makosa mengine yanatokana na udhaifu katika ujuzi wa misingi...
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Jifunze Kiswahili 2
Kabla ya kuanza makala yangu, napenda kuwafahamisha wasomaji wangu kuwa baadhi yao wameniletea  maoni na mawazo kuhusu mambo mbalimbali ya msingi katika lugha. Ni jambo jema kama nitawaleteeni  mawazo hayo ili nanyi muweze kuyatafakari. Kwa mfano mwandishi mmoja mwenye simu na. 0713 614058 aliniandikia, akisema, “ Ndugu, Mtanzania huyu asiyejiamini katika biashara za kimataifa kwa sababu...
10 years ago
Mwananchi30 Apr
Jifunze Kiswahili
Ni mara chache tunasoma makala au taarifa katika magazeti na pia katika majarida na kujiridhisha kuwa muundo na mpangilio wa maneno unakuwa fasaha na sanifu. Kinachoonekana ni ukosefu wa umakini katika matumizi, maana na tahajia sahihi za maneno.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjOFn*mjreHO*bDxGW4SvgS0eEgh6ARPudTIsmSB2DU3PkRChD-bDwXjtqAsuYaMrJTmQyeRuzgMS6KBYYr4tSda/mahabacopy.jpg?width=650)
JIFUNZE KUKUBALI UNAPOKOSEA!!
Ni Jumatatu nyingine tunakutana tena kwenye uwanda huu wa XXLove, mezani mada ya leo jifunze kukubali unapokosea ili kudumisha uhusiano wako. Makosa tumeumbiwa binadamu ni kweli! Ila si kukosea kwa makusudi na kukataa kwa nguvu. Hiyo inakera na inaudhi sana kwa wapenzi. Kukubali kosa siyo vibaya wala haimaanishi kwamba umeonesha udhaifu hapana bali utakuwa umetengeneza mazingira mazuri ya kujua namna ya kuishi na mpenzi wako....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania