TRA YAPATA TUZO YA KUWEKA KUMBUKUMBU YA MAHESABU VIZURI
![](http://3.bp.blogspot.com/-qj6n_VQkRKk/VIR6zEJVIoI/AAAAAAABPEY/pDBn4TugpQs/s72-c/Bade%2B2-1.jpg)
Na Sultani Kipingo Taasisi za serikali, mashirika ya umma wizara na idara mbalimbali za serikali zimeshauriwa kushiriki katika mashindano ya uwasilishaji wa taarifa bora za fedha za mwaka tofauti na ilivyo sasa ambapo makundi haya yamekuwa yakishiriki kwa uchache sana na sehemu kubwa ya washiriki kuachiwa taasisi na mashirika binafsi. Akizungumza wakati wa hafla ya utoaji tuzo na vyeti kwa washindi katika uwasilishaji wa taarifa bora za fedha mwaka 2014, Naibu Waziri wa Fedha,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Jifunze kuweka kumbukumbu vizuri
11 years ago
Habarileo12 Jul
Waomba serikali kuweka kumbukumbu maeneo Baba wa Taifa aliyoyatumia
SERIKALI imeombwa kuweka alama au kumbukumbu kwenye maeneo muhimu ambayo Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliyatumia katika Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, pamoja na kutimiza azma ya kuifanya Dodoma kuwa makao makuu ya nchi.
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
TRA yapata dawa uvushaji meno ya tembo
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema wafanyabiashara wanaoshirikiana na watendaji wa Bandari ya Dar es Salaam kupitisha makontena ya meno ya tembo watabainika baada ya kuanza kutumika kwa mfumo mpya...
9 years ago
Bongo512 Dec
Yaya Toure ashinda tuzo ya BBC na kuweka rekodi mpya
![Toure](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Toure-300x194.jpg)
Kiungo wa klabu ya Manchester City ya England na timu ya taifa Ivory Coast Yaya Toure ameshinda tuzo ya mchezaji bora Afrika inayotolewa na Shirika la Utangazaji nchini England (BBC) kwa mwaka 2015.
Toure anakuwa mchezaji watatu ambae amewahi kuchukua tuzo hiyo mara mbili akiungana na Nwanko Kanu pamoja na Jay-Jay Okocha (wote wa Nigeria) ambao waliwahi kutwaa tuzo hiyo mara mbili.
Nyota huo wa Ivory Coast amesema anajivunia kuwa mshindi wa tuzo hiyo ambayo mshindi hupatikana kwa kupigiwa...
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Pinda atoa tuzo kwawaajiri waliofanya vizuri 2014
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Kazi na Ajira , Gaudencia Kabaka (kulia kwake) wakiwa pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya simu ya VODACOM ambayo iliiibuka mshindi wa jumla katika hafla ya kutoa tuzo kwa waajiri waliofanya vizuri kwa mwaka 2014 iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam Desemba 11, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Kazi na Ajira , Gaudencia Kabaka (kulia kwake) wakiwa katika picha ya pamoja na...
11 years ago
GPLMJUE VIZURI RAPPER CHIPUKIZI ALIYETWAA TUZO YA KILI JUZI
11 years ago
Habarileo01 Jul
Jumuiya Tanzania yapata tuzo ya hifadhi Afrika
JUMUIYA ya Hifadhi ya Wanyamapori na Maliasili Tarafa ya Idodi na Pawaga (MBOMIPA) imejipatia Dola za Marekani 5,000, sawa na zaidi ya Sh milioni 8, baada ya kuwa moja kati ya asasi 10 barani Afrika iliyotwaa tuzo ya Ikweta.
11 years ago
MichuziTBL YAPATA TUZO YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA NCHINI
9 years ago
Mwananchi13 Sep
Mikoa mitatu yapata tuzo utoaji chanjo