Jumuiya Tanzania yapata tuzo ya hifadhi Afrika
JUMUIYA ya Hifadhi ya Wanyamapori na Maliasili Tarafa ya Idodi na Pawaga (MBOMIPA) imejipatia Dola za Marekani 5,000, sawa na zaidi ya Sh milioni 8, baada ya kuwa moja kati ya asasi 10 barani Afrika iliyotwaa tuzo ya Ikweta.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Fd0XmNYdrrM/Vg5VlShu4KI/AAAAAAAH8Vc/R8C3iTyHBWE/s72-c/download.jpg)
VODACOM YAPATA TUZO YA KUWA MWAJIRI BORA NCHINI AFRIKA YA KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fd0XmNYdrrM/Vg5VlShu4KI/AAAAAAAH8Vc/R8C3iTyHBWE/s1600/download.jpg)
10 years ago
MichuziNHIF Yanyakuwa Tuzo tatu za Ubunifu katika Hifadhi ya Jamii Barani Afrika
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umenyakua tuzo tatu za ubunifu katika sekta ya hifadhi ya Jamii Barani Afrika zinazosimamiwa na Shirikisho la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii Duniani (ISSA).
Halfa ya kukabidhi tuzo hizo ilifanyika Jijini Casablanca nchini Morocco usiku wa tarehe 3 Desemba, 2014 katika hoteli ya Serana jijini Casablanca ambapo washiriki zaidi ya 360 kutoka taasisi 75 katika mataifa 45 ya Afrika zilihudhuria.
Tuzo ambazo NHIF ilikabidhiwa ni katika eneo la utoaji wa huduma za...
Halfa ya kukabidhi tuzo hizo ilifanyika Jijini Casablanca nchini Morocco usiku wa tarehe 3 Desemba, 2014 katika hoteli ya Serana jijini Casablanca ambapo washiriki zaidi ya 360 kutoka taasisi 75 katika mataifa 45 ya Afrika zilihudhuria.
Tuzo ambazo NHIF ilikabidhiwa ni katika eneo la utoaji wa huduma za...
10 years ago
Michuzi16 Dec
NHIF YAZUNGUMZIA TUZO TATU ZA UBUNIFU BARANI AFRIKA ZILIZOTOLEWA NA SHIRIKISHO LA KIMATAIFA LA TAASISI ZA HIFADHI YA JAMII (ISSA)
![1Bima ya Afyaaa](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/1Bima-ya-Afyaaa.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Tanzania kuungana na Jumuiya ya Kimataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni
![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Serikali imefanikisha kwa kiasi kikubwa kuondosha matumizi ya kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni kwa kupitia mikakati ya kitaifa ambayo ni pamoja na Kujenga uwezo wa Taasisi zinazosimamia utekelezeji wa Mkataba wa Montreal, Kuweka takwimu za kemikali hizo,Kutoa elimu kwa wadau na kwa umma wa Watanzania kuhusu umuhimu wa Tabaka la Ozoni na hatari zinazolikabili.
Hayo yameelezwa leo na Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Raisi Mazingira Mh. Binilith Mahenge...
10 years ago
Vijimambo03 Jul
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MH LAZARO NYALANDU AFUNGUA MKUTANO WA UBORESHAJI WA MFUMO WA USIMAMIZI NA UENDESHAJI MAENEO YA JUMUIYA YA HIFADHI YA WANYAPORI TANZANIA ( WMA ), ARUSHA
![8](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/8.jpg)
![6](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/6.jpg)
![7](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/7.jpg)
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/12.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eZg7v_xZEmE/VHVUxU5FHPI/AAAAAAAGzbQ/Wxpx2sITjh8/s72-c/unnamed.jpg)
Tanzania Kuchukua Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
![](http://3.bp.blogspot.com/-eZg7v_xZEmE/VHVUxU5FHPI/AAAAAAAGzbQ/Wxpx2sITjh8/s1600/unnamed.jpg)
Afrika Mashariki Bi. Joyce Mapunjo Mkutano wa 16 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki utafanyika Tarehe 30 Novemba, 2014 Nairobi, Kenya. Kwa mujibu wa Mkakaba Mkutano huu utatanguliwa na Mkutano wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika Tarehe 20 – 27 Novemba, 2014 katika ngazi ya Wataalam, Makatibu Wakuu na Mawaziri. Aidha, katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GhQ7WVrGV6k/VHRR6tG47pI/AAAAAAAGzTg/dzf-ssFQxM4/s72-c/JOYCE%2BMAPUNJO.jpg)
TANZANIA KUCHUKUA UENYEKITI WA JUMUIYA YA AFRIKA MSHARIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-GhQ7WVrGV6k/VHRR6tG47pI/AAAAAAAGzTg/dzf-ssFQxM4/s1600/JOYCE%2BMAPUNJO.jpg)
Kwa mujibu wa Mkakaba Mkutano huu utatanguliwa na Mkutano wa Baraza la Mawaziri laJumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika Tarehe 20 – 27 Novemba, 2014 katika ngazi ya Wataalam, Makatibu Wakuu na Mawaziri. Aidha, katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajiwa kukabidhiwa uwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kipindi cha mwaka mmoja...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMSn*Nm0m4erJtPB7loYgIikURE--5LzWI6O2bhCLJiaywT2Sodg9CWjZTegIkcSLyB3rXOQAWUIqOcL4Ml7dXe2/unnamed12.jpg?width=650)
TANZANIA YACHUKUA RASMI UENYEKITI WA BARAZA LA MAWAZIRI LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
Waziri Samuel Sitta akizungumza baada ya kupokea uenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Katibu Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Joyce Mapunjo akisoma taarifa ya Kamati ya Makatibu Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa Baraza la Mawaziri. Wengine kulia kwake ni Katibu…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania