TANZANIA KUCHUKUA UENYEKITI WA JUMUIYA YA AFRIKA MSHARIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-GhQ7WVrGV6k/VHRR6tG47pI/AAAAAAAGzTg/dzf-ssFQxM4/s72-c/JOYCE%2BMAPUNJO.jpg)
Mkutano wa 16 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki utafanyika Tarehe 30 Novemba, 2014 Nairobi, Kenya.
Kwa mujibu wa Mkakaba Mkutano huu utatanguliwa na Mkutano wa Baraza la Mawaziri laJumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika Tarehe 20 – 27 Novemba, 2014 katika ngazi ya Wataalam, Makatibu Wakuu na Mawaziri. Aidha, katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajiwa kukabidhiwa uwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kipindi cha mwaka mmoja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eZg7v_xZEmE/VHVUxU5FHPI/AAAAAAAGzbQ/Wxpx2sITjh8/s72-c/unnamed.jpg)
Tanzania Kuchukua Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
![](http://3.bp.blogspot.com/-eZg7v_xZEmE/VHVUxU5FHPI/AAAAAAAGzbQ/Wxpx2sITjh8/s1600/unnamed.jpg)
Afrika Mashariki Bi. Joyce Mapunjo Mkutano wa 16 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki utafanyika Tarehe 30 Novemba, 2014 Nairobi, Kenya. Kwa mujibu wa Mkakaba Mkutano huu utatanguliwa na Mkutano wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika Tarehe 20 – 27 Novemba, 2014 katika ngazi ya Wataalam, Makatibu Wakuu na Mawaziri. Aidha, katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMSn*Nm0m4erJtPB7loYgIikURE--5LzWI6O2bhCLJiaywT2Sodg9CWjZTegIkcSLyB3rXOQAWUIqOcL4Ml7dXe2/unnamed12.jpg?width=650)
TANZANIA YACHUKUA RASMI UENYEKITI WA BARAZA LA MAWAZIRI LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iTEb9k4b95Y/VHjUvvkhWjI/AAAAAAAG0Ao/9RZCVSS_0wo/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Tanzania yachukua Rasimi Uenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika mashariki
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WRbOx3AwYzw/VOfHIbFbqqI/AAAAAAAHE3g/gIRkJ0e9umM/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
JK akabidhiwa rasmi Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika mashariki
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
Rais Kikwete akabidhiwa rasmi Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Tanzania inaunga mkono kwa dhati Ushirikiano wa Kikanda na muumini mkubwa wa Umoja wa Africa na Ushirikiano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amesema hayo jijini Nairobi mara baada ya kukabidhiwa uenyekiti wa EAC na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ambaye amekua mwenyekiti wa Jumuiya hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita.
“Tunaamini kwamba Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyogawanyika, haitaweza kuchukua nafasi yake kamili na heshima katika familia ya Mataifa...
11 years ago
Habarileo01 Jul
Jumuiya Tanzania yapata tuzo ya hifadhi Afrika
JUMUIYA ya Hifadhi ya Wanyamapori na Maliasili Tarafa ya Idodi na Pawaga (MBOMIPA) imejipatia Dola za Marekani 5,000, sawa na zaidi ya Sh milioni 8, baada ya kuwa moja kati ya asasi 10 barani Afrika iliyotwaa tuzo ya Ikweta.
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya Corona: Mkuu wa WHO Afrika akosoa kasi ya Tanzania kuchukua tahadhari
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IL2DCYeRztQ/XlXy5VEl8ZI/AAAAAAALfb8/sTc9oZO9HZYqZt1YBKDsx3IwPef5SlpQQCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-02-25-20-52-45.jpg)
JPM ACHANGIWA SH.MILIONI MOJA NA JUMUIYA YA WAZAZI ARUSHA KUCHUKUA FOMU YA URAIS
NA ELISA SHUNDA,MONDULI.
UMOJA wa Wazazi Tanzania Jumuiya ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Arusha, Mwishoni Mwa Wiki, Imemkabidhi Mwenyekiti wa Jumuiya Hiyo Taifa Ambaye Pia Ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Hicho, Dk.Edmund Mndolwa, Shilingi Milioni Moja kwa Ajili ya Kumchukulia Fomu ya Kugombea Nafasi ya Urais kwa Awamu ya Pili.
Akiongea wakati akimkabidhi Mwenyekiti huyo fedha hizo Katibu mwenezi wa wilaya ya Arumeru ambaye pia ni mjumbe Wa kamati ya utekelezaji wa jumuiya ya...