Tanzania Kuchukua Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
![](http://3.bp.blogspot.com/-eZg7v_xZEmE/VHVUxU5FHPI/AAAAAAAGzbQ/Wxpx2sITjh8/s72-c/unnamed.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa
Afrika Mashariki Bi. Joyce Mapunjo Mkutano wa 16 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki utafanyika Tarehe 30 Novemba, 2014 Nairobi, Kenya. Kwa mujibu wa Mkakaba Mkutano huu utatanguliwa na Mkutano wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika Tarehe 20 – 27 Novemba, 2014 katika ngazi ya Wataalam, Makatibu Wakuu na Mawaziri. Aidha, katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GhQ7WVrGV6k/VHRR6tG47pI/AAAAAAAGzTg/dzf-ssFQxM4/s72-c/JOYCE%2BMAPUNJO.jpg)
TANZANIA KUCHUKUA UENYEKITI WA JUMUIYA YA AFRIKA MSHARIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-GhQ7WVrGV6k/VHRR6tG47pI/AAAAAAAGzTg/dzf-ssFQxM4/s1600/JOYCE%2BMAPUNJO.jpg)
Kwa mujibu wa Mkakaba Mkutano huu utatanguliwa na Mkutano wa Baraza la Mawaziri laJumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika Tarehe 20 – 27 Novemba, 2014 katika ngazi ya Wataalam, Makatibu Wakuu na Mawaziri. Aidha, katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajiwa kukabidhiwa uwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kipindi cha mwaka mmoja...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMSn*Nm0m4erJtPB7loYgIikURE--5LzWI6O2bhCLJiaywT2Sodg9CWjZTegIkcSLyB3rXOQAWUIqOcL4Ml7dXe2/unnamed12.jpg?width=650)
TANZANIA YACHUKUA RASMI UENYEKITI WA BARAZA LA MAWAZIRI LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iTEb9k4b95Y/VHjUvvkhWjI/AAAAAAAG0Ao/9RZCVSS_0wo/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Tanzania yachukua Rasimi Uenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika mashariki
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WRbOx3AwYzw/VOfHIbFbqqI/AAAAAAAHE3g/gIRkJ0e9umM/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
JK akabidhiwa rasmi Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika mashariki
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
Rais Kikwete akabidhiwa rasmi Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Tanzania inaunga mkono kwa dhati Ushirikiano wa Kikanda na muumini mkubwa wa Umoja wa Africa na Ushirikiano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amesema hayo jijini Nairobi mara baada ya kukabidhiwa uenyekiti wa EAC na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ambaye amekua mwenyekiti wa Jumuiya hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita.
“Tunaamini kwamba Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyogawanyika, haitaweza kuchukua nafasi yake kamili na heshima katika familia ya Mataifa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FaTgM70WgZs/VRVnOg6X6XI/AAAAAAAHNpY/uM5TdUwSy_A/s72-c/EAC-logo1.png)
NAFASI ZA KAZI SEKRETARIETI YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-FaTgM70WgZs/VRVnOg6X6XI/AAAAAAAHNpY/uM5TdUwSy_A/s1600/EAC-logo1.png)
Nawatumia nafasi 13 za ajira mbalimbali zilizotangazwa na Sekretarieti ya Jumuiya ya Afrika Mashari. Mjulishe ndugu, jamaa, au rafiki ili anufaike na fursa hizi. Kwa taarifa na maelekezo zaidi tafadhali tembelea http://www.eac.int/index.php?option=com_docman&Itemid=186
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
Ukweli kuhusu umoja wa fedha Jumuiya ya Afrika Mashariki
OKTOBA 20 hadi 24 mwaka huu, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) iliandaa semina kwa waandishi wa habari, mjini Bagamoyo kujifunza mambo mbalimbali. Miongoni mwa mada zilizotolewa ni ukweli kuhusu umoja wa fedha katika...
10 years ago
Vijimambo07 Oct
Wananchi waunga mkono ushirikiano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
uwezo wa kusafiri ndani ya kanda kwa kitambulisho cha taifa
miundombinu ya pamoja na uhuru wa kufanya kazi popote ndani ya Jumuiya.
Oktoba 7, 2014, Dar es Salaam: Wananchi wanane kati ya kumi (80%) wanafikiri kuwa Tanzania inapaswa kubakia ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Aidha,wananchi tisa kati ya kumi (85%) wanakubali uwepo wa ushirikiano mkubwa zaidi na Kenya na Uganda. Wananchi sita kati ya kumi pia wanauunga mkono upanuzi...