Waomba serikali kuweka kumbukumbu maeneo Baba wa Taifa aliyoyatumia
SERIKALI imeombwa kuweka alama au kumbukumbu kwenye maeneo muhimu ambayo Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliyatumia katika Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, pamoja na kutimiza azma ya kuifanya Dodoma kuwa makao makuu ya nchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvs4gFdhCRVW1fUhSwN12Tuiq91lXuERvdoHpFunWvY*GpvDSlyT0nE-s*WYgyUEe7zD0d6j-L6bt99xDSc9NOpD/nyerere.jpg?width=650)
KUMBUKUMBU YA SIKU YA KUZALIWA BABA WA TAIFA, MWL JK NYERERE (1922 - 1999)
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. APRILI 13, 1922 Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alizaliwa katika Kijiji cha Butiama, Wilaya ya Musoma, mkoa wa Mara, Tanzania (wakati ule: Tanganyika). Alikuwa mmojawapo kati ya watoto 26 wa Nyerere Burito, chifu wa kabila la Wazanaki.
Alipokuwa mtoto Nyerere alichunga mifugo ya baba yake; katika umri wa miaka 12 alianza shule ya msingi akitembea kilomita 30 hadi Musoma. Baada ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j5WbzQSo3h84oK4AzOqvMKdJeRrRjKy8j6W2h2Ab2mU6k6Tp*NzVuS92DvscOAoFhl005PGAqSMQtPGq-yy5qXogJA-J2hyE/22.jpg?width=650)
HOTUBA YA JAKAYA KIKWETE KWENYE SHEREHE YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, KUMBUKUMBU YA BABA WA TAIFA NA WIKI YA VIJANA KITAIFA, TAREHE 14/10/2014 – MKOANI TABORA
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa kilele cha mbio za mwenge 2014 ziilizofanyika katika uwanja wa michezo wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora siku ya jana. Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara (MB), Waziri wa Habari,       Vijana, Michezo, Utamaduni na Michezo; Mheshimiwa Zainabu Omar Mohamedi, Waziri wa Uwezeshaji,      Ustawi wa Jamii, Vijana Wanawake na Watoto –...
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Jifunze kuweka kumbukumbu vizuri
Wiki mbili zilizopita, tulijifunza kupitia safu hii ya mbinu za mafanikio, tulijifunza kuhusu umuhimu wa kutumia muda kwa manufaa.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qj6n_VQkRKk/VIR6zEJVIoI/AAAAAAABPEY/pDBn4TugpQs/s72-c/Bade%2B2-1.jpg)
TRA YAPATA TUZO YA KUWEKA KUMBUKUMBU YA MAHESABU VIZURI
Na Sultani Kipingo Taasisi za serikali, mashirika ya umma wizara na idara mbalimbali za serikali zimeshauriwa kushiriki katika mashindano ya uwasilishaji wa taarifa bora za fedha za mwaka tofauti na ilivyo sasa ambapo makundi haya yamekuwa yakishiriki kwa uchache sana na sehemu kubwa ya washiriki kuachiwa taasisi na mashirika binafsi. Akizungumza wakati wa hafla ya utoaji tuzo na vyeti kwa washindi katika uwasilishaji wa taarifa bora za fedha mwaka 2014, Naibu Waziri wa Fedha,...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yUjV1-6ioMw/UxPQHuNOBaI/AAAAAAAFQqQ/zq_9fdXBJ9k/s72-c/sw.jpg)
KUMBUKUMBU YA BABA NELSON
![](http://3.bp.blogspot.com/-yUjV1-6ioMw/UxPQHuNOBaI/AAAAAAAFQqQ/zq_9fdXBJ9k/s1600/sw.jpg)
Ni miaka kumi na saba (17) ya majonzi na huzuni imepita, tangu ulipo tutoka gafla katika maisha ya duniani, siku ya Jumatatu na tarehe kama hii 3 March 1997. Kama wakristo tunaamini, maisha ni safari na mungu ndiye aliyeamua kuwa wewe upumzike mapema. Pamoja na kuwa umetutoka kimwili, ki roho bado uko nasi. Unakumbukwa sana na mkeo mpendwa wako Elly Rabbiel Swai, watoto wako wapendwa Doris, Nelson, Clemence, Frank na Edward. Wakwe zako Aikael...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PzH99f7sVJ0/VieGeTn9sXI/AAAAAAAIBgk/T4wYTeKyAlM/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO, KATIKA KITUO CHA KUTUNZIA KUMBUKUMBU CHA TAIFA (NATIONAL INTERNET DATA CENTRE) KIJITOMYAMA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-PzH99f7sVJ0/VieGeTn9sXI/AAAAAAAIBgk/T4wYTeKyAlM/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q3BixzuiMmA/VieGXwFBeDI/AAAAAAAIBfM/u20hDFLIxoM/s640/03.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YTWVBncG30Q/VhRNGN4o_BI/AAAAAAAEADM/IIDOQxeuDq4/s72-c/e0af04997296fa937ff6fece4c762056.jpg)
IBADA YA KUMBUKUMBU YA MPENDWA BABA YETU GODFREY MNGODO COLUMBUS. OHIO
![](http://2.bp.blogspot.com/-YTWVBncG30Q/VhRNGN4o_BI/AAAAAAAEADM/IIDOQxeuDq4/s640/e0af04997296fa937ff6fece4c762056.jpg)
Kwa maelezo zaidi na maelekezoMichael Mngodo 614 446 5565
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-9yiTtr2TFos/VS59oq__fvI/AAAAAAADid0/Kd832YccsI0/s72-c/candle%2BCollage.jpg)
Ibada ya shukrani na kumbukumbu ya Baba Peter Msungu na Kaka Gerald A. Natumwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-9yiTtr2TFos/VS59oq__fvI/AAAAAAADid0/Kd832YccsI0/s1600/candle%2BCollage.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-duy0UlyGMS8/VS59fZLNqdI/AAAAAAADidM/rBCSTty7QAE/s1600/IMG_9769.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b-1zGZ_QxK4/VS59k91gugI/AAAAAAADidk/yTdJJG08DOE/s1600/IMG_9862.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w6R48WRSgE4/VS59pPhcGwI/AAAAAAADid4/aZgWRvAZq-s/s1600/IMG_9864.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o2gMGNRBTEA/VS59hNGjkEI/AAAAAAADidU/dBmpcRpquKI/s1600/IMG_9818.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XeJ5VG7yPLo/VS59kPK3N-I/AAAAAAADidc/sg2cJS9PgGY/s1600/IMG_9829.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zZItO0yOrJ0/VS59lpyJHrI/AAAAAAADids/j5puKHKBeRs/s1600/IMG_9860.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kq2vaxYd6bk/VS59dICvwlI/AAAAAAADidE/MeRvC0syZMQ/s1600/IMG_9749.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qLgrmCJ89Ko/VS59Z-m1SSI/AAAAAAADic0/nFA0F61Kn8o/s1600/IMG_9748.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-or7AhfgEx4M/VS59ShNCQ0I/AAAAAAADicM/cGzQv32WVAw/s1600/IMG_0068.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2cZg3KdSJfE/VS59U__4z-I/AAAAAAADicc/UC2hTd5z0Is/s1600/IMG_0074.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EaR3TA4gaKM/VS6DkXoG4KI/AAAAAAADieM/b9OYEctuSQ4/s1600/IMG_0017.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tXlA4QVqOs0/VS6DlAGEEII/AAAAAAADieQ/x61AjQrXSak/s1600/IMG_0020.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jdZiDyCnImM/VS6DlkT_gzI/AAAAAAADieY/HWyRQPPaFAU/s1600/IMG_0055.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yWE4u9mSCF8/VS6DpfJ7MCI/AAAAAAADiek/1-Y01DdCIRg/s1600/IMG_9801.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mca3GkCW394/VS6Dpm4iKKI/AAAAAAADieo/1BW3rEBPi5E/s1600/IMG_9820.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MXFigA56ew4/VS6DqJwKFhI/AAAAAAADies/yueTra6zGfY/s1600/IMG_9844.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-l_V1GQ0878E/VS59P3atTPI/AAAAAAADib0/87y3P1tFR2A/s1600/IMG_0046.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Bd3B_HzA0yE/VS59P-qcOhI/AAAAAAADib4/gnyeMGxQQYQ/s1600/IMG_0043.jpg)
Picha zaidi hapa kwa iskajojo
11 years ago
Habarileo09 Feb
NIDA waomba uvumilivu vitambulisho vya taifa
MKURUGENZI wa Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dickson Maimu amewataka watanzania kuwa wavumilivu katika usajili wa vitambulisho ingawa inachukua muda mrefu kwa sababu kitambulisho wanachopata ni muhimu sana.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania