Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waomba serikali kuweka kumbukumbu maeneo Baba wa Taifa aliyoyatumia

SERIKALI imeombwa kuweka alama au kumbukumbu kwenye maeneo muhimu ambayo Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliyatumia katika Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, pamoja na kutimiza azma ya kuifanya Dodoma kuwa makao makuu ya nchi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KUMBUKUMBU YA SIKU YA KUZALIWA BABA WA TAIFA, MWL JK NYERERE (1922 - 1999)

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. APRILI 13, 1922 Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alizaliwa katika Kijiji cha Butiama, Wilaya ya Musoma, mkoa wa Mara, Tanzania (wakati ule: Tanganyika). Alikuwa mmojawapo kati ya watoto 26 wa Nyerere Burito, chifu wa kabila la Wazanaki.
Alipokuwa mtoto Nyerere alichunga mifugo ya baba yake; katika umri wa miaka 12 alianza shule ya msingi akitembea kilomita 30 hadi Musoma. Baada ya...

 

10 years ago

GPL

HOTUBA YA JAKAYA KIKWETE KWENYE SHEREHE YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, KUMBUKUMBU YA BABA WA TAIFA NA WIKI YA VIJANA KITAIFA, TAREHE 14/10/2014 – MKOANI TABORA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa kilele cha mbio za mwenge 2014 ziilizofanyika katika uwanja wa michezo wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora siku ya jana. Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara (MB), Waziri wa Habari,        Vijana, Michezo, Utamaduni na Michezo; Mheshimiwa Zainabu Omar Mohamedi, Waziri wa Uwezeshaji,       Ustawi wa Jamii, Vijana Wanawake na Watoto –...

 

10 years ago

Mwananchi

Jifunze kuweka kumbukumbu vizuri

Wiki mbili zilizopita, tulijifunza kupitia safu hii ya mbinu za mafanikio, tulijifunza kuhusu umuhimu wa kutumia muda kwa manufaa.

 

10 years ago

Michuzi

TRA YAPATA TUZO YA KUWEKA KUMBUKUMBU YA MAHESABU VIZURI

Na Sultani Kipingo Taasisi za serikali, mashirika ya umma wizara na idara mbalimbali za serikali zimeshauriwa kushiriki katika mashindano ya uwasilishaji wa taarifa bora za fedha za mwaka tofauti na ilivyo sasa ambapo makundi haya yamekuwa yakishiriki kwa uchache sana na sehemu kubwa ya washiriki kuachiwa taasisi na mashirika binafsi.  Akizungumza wakati wa hafla ya utoaji tuzo na vyeti kwa washindi katika uwasilishaji wa taarifa bora za fedha mwaka 2014, Naibu Waziri wa Fedha,...

 

11 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA BABA NELSON

Rabbiel Daniel Swai (7/3/1941 – 3/3/1997)


Ni miaka kumi na saba (17) ya majonzi na huzuni imepita, tangu ulipo tutoka gafla katika maisha ya duniani, siku ya Jumatatu na tarehe kama hii 3 March 1997.

Kama wakristo tunaamini, maisha ni safari na mungu ndiye aliyeamua kuwa wewe upumzike mapema.  Pamoja na kuwa umetutoka kimwili, ki roho bado uko nasi.

Unakumbukwa sana na mkeo mpendwa wako Elly Rabbiel Swai,  watoto wako  wapendwa Doris, Nelson, Clemence, Frank na Edward. Wakwe zako  Aikael...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO, KATIKA KITUO CHA KUTUNZIA KUMBUKUMBU CHA TAIFA (NATIONAL INTERNET DATA CENTRE) KIJITOMYAMA.

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Makame Mbarawa, kwa pamoja wakifunua kitambaa kuashiria uzinduzi rasmi wa Kituo cha kutunzia kumbukumbu cha Taifa (National Internet Data Centre) Kijitonyama, leo Okt 21, 2015.  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Makame Mbarawa (kushoto) na Mwakilishi wa Ofisi ya Uchumi na...

 

9 years ago

Vijimambo

IBADA YA KUMBUKUMBU YA MPENDWA BABA YETU GODFREY MNGODO COLUMBUS. OHIO

Familia ya Michael na Teddy pamoja na Mngodo wote, tunapenda kuwakaribisha ndugu, jamaa na marafiki zetu kwenye ibada maalumu ya shukurani, na kusherehekea maisha ya Marehemu Baba yetu Mzee GODFREY MBIU MNGODO, (pichani) itakayofanyika siku ya jumamosi 10/31/2015 kuanzia saa kumi jioni hadi saa tatu usiku ..Mahali ni 35 E.STANTON AVE, COLUMBUS OH 43214. Karibuni sana na Mungu awabariki.
Kwa maelezo zaidi na maelekezoMichael Mngodo 614 446 5565

 

10 years ago

Vijimambo

Ibada ya shukrani na kumbukumbu ya Baba Peter Msungu na Kaka Gerald A. Natumwa


Steve akisoma neno la kwanza wakati wa ibada hiyo ya shukurani na kumbukumbu.
Dada Kie akisoma wasifu wa Marehemu Gerald NatumwaNdugu Vitalis Gunda akitoa shukurani kwa niaba ya familia ya Steve na Esther Msungu

Binamu wa Steave Msungu , Ndugu  Vicent akisoma wasifu wa Marehemu Mzee Msungu















Picha zaidi hapa kwa iskajojo

 

11 years ago

Habarileo

NIDA waomba uvumilivu vitambulisho vya taifa

Mkurugenzi Mkuun wa NIDA, Dickson MaimuMKURUGENZI wa Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dickson Maimu amewataka watanzania kuwa wavumilivu katika usajili wa vitambulisho ingawa inachukua muda mrefu kwa sababu kitambulisho wanachopata ni muhimu sana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani